Na ni 100m hiyo hiyo Liverpool walitoa kumnasa huyo kiungo wakamkosa ,nimalize kusema kuna kitu kwenye huyo kiungoView attachment 3215307
Moja ya viungo bora ndani ya Premier league, Liverpool haukutunia pesa nyingi sana kupata saini ya vijana hawa
⚡️Mac Allister: £35m
⚡️Szoboszlai: £60m
⚡️ Gravenberch: £34m
£129m imetumika kuleta furaha kwa mashabiki, kuna team inatoa 100m kwa kiungo mmoja
Umejua kuipamba jersey yetu utasema umekuwa kweli shabiki wa ArsenalJezi nipe mkuu
Nikupe lipa namba ya muuzaji
Ukiweza ninunulie hata 2
Yaani utakuwa umeupiga mwingi, arsenal jezi yenu unyama ni mwingi Mwaisa
Ni timu tu hainaga vikombe.
Kuipamba ni kweli nzuri sana ila siwezi shabikia timu ambayo haichukuagi makombe ya maana😂Umejua kuipamba jersey yetu utasema umekuwa kweli shabiki wa Arsenal
Nitasubiri kuona ujumbe wako
Hahaha.........naona unaamua kutusagia kunguni sasa 🙌Kuipamba ni kweli nzuri sana ila siwezi shabikia timu ambayo haichukuagi makombe ya maana😂
Ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko arsenal kuchukua EPL UEFAHahaha.........naona unaamua kutusagia kunguni sasa 🙌
Kumbukeni mkiteleza kidogo tu tunachukua EPL 💪
Vibaya hivyo jirani, unadhani hatupendi nasi kuvaa medali za Ubingwa 🤗Ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko arsenal kuchukua EPL UEFA
Yeah.If we fail to beat them maana yake we are not champions material. Hizo ndio mechi za kibingwa
Kama FSG wangelifungua pochi wampe Klopp na Caicedo, trust me mpaka leo tungekuwa na Klopp as our coach.View attachment 3215307
Moja ya viungo bora ndani ya Premier league, Liverpool haukutunia pesa nyingi sana kupata saini ya vijana hawa
⚡️Mac Allister: £35m
⚡️Szoboszlai: £60m
⚡️ Gravenberch: £34m
£129m imetumika kuleta furaha kwa mashabiki, kuna team inatoa 100m kwa kiungo mmoja
Na kibaya zaidi wana chuki ya mwaka 2006 ambayo haiwezi kuwatoka wataibeba milele na milele.
2005 tulishinda Kombe la UCL lakini kwenye Ligi tukashindwa kuingia Top Four tukashika nafasi ya 5. Everton ndiyo wakashika nafasi 4.
Ikumbukwe kipindi kile Sheria za UEFA zilikuwa hazijafanyiwa marekebisho hivyo ilikuwa Timu za kushiriki mwisho ni 4 tu haziruhusiwi kushiriki timu 5.
Sasa Liverpool 2006 lazima ashiriki kama bingwa Mtetezi kwasababu kwenye Ligi hakuingia Top Four.
Hapo Sheria ikabidi Everton aliyeshika nafasi ya 4 akaenguliwa asishiriki UCL ili nafasi yake ashiriki Liverpool kama bingwa Mtetezi.
Ukawa uhasama mkubwa kwa Everton kuzidi kutuwekea chuki mpaka leo.
Hivyo game na wato watalazimisha kutuharibia lazima tujipange vizuri na tuwes
Game tough sana hiyo. Walinuna Rafa alipoajiriwa wakajua pandikizi hili, kwanzi hatuwezi kuletewa mafanikio na Ex LFC, hatutakiNa kibaya zaidi wana chuki ya mwaka 2006 ambayo haiwezi kuwatoka wataibeba milele na milele.
2005 tulishinda Kombe la UCL lakini kwenye Ligi tukashindwa kuingia Top Four tukashika nafasi ya 5. Everton ndiyo wakashika nafasi 4.
Ikumbukwe kipindi kile Sheria za UEFA zilikuwa hazijafanyiwa marekebisho hivyo ilikuwa Timu za kushiriki mwisho ni 4 tu haziruhusiwi kushiriki timu 5.
Sasa Liverpool 2006 lazima ashiriki kama bingwa Mtetezi kwasababu kwenye Ligi hakuingia Top Four.
Hapo Sheria ikabidi Everton aliyeshika nafasi ya 4 akaenguliwa asishiriki UCL ili nafasi yake ashiriki Liverpool kama bingwa Mtetezi.
Ukawa uhasama mkubwa kwa Everton kuzidi kutuwekea chuki mpaka leo.
Hivyo game na wato watalazimisha kutuharibia lazima tujipange vizuri na tuwe makini.
Heheh au sio??Jezi nipe mkuu
Nikupe lipa namba ya muuzaji
Ukiweza ninunulie hata 2
Yaani utakuwa umeupiga mwingi, arsenal jezi yenu unyama ni mwingi Mwaisa
Ni timu tu hainaga vikombe.