Mmmmh hatutaki sifa za hukooo. Cha msingi atuambie hapa Liverpool anakwama wapi kusajili.
Duu mbona mechi zote ugenini....
Utakuwa mchezo mgumu dhidi ya Bournemouth lakini naamini katika Spirit ya wachezaji wa Liverpool hasa hasa kipindi hiki ambapo radar ya ubingwa ipo upande wetuView attachment 3219036
Hawa madogo Dean Huijsen Miaka 19 na lllya zabarnya Miaka 22 tangu waanze kucheza pamoja pale kwenye ukuta wa Bournemouth hawajapoteza mchezo wowote.
Madogo Wana utambulisho wao wa kuvaa groves nyeusi mikononi na soksi fupi..
NB: inabidi tuwavue hizo Groves na tuzipandishe hizo soksi.(Just a jokes) π€£π€£π€£
Bono wanataka kucheza Europa au UCL hivyo wapo tayari kwa mapambano sana tu itakua mechi kali sanaaa.Utakuwa mchezo mgumu dhidi ya Bournemouth lakini naamini katika Spirit ya wachezaji wa Liverpool hasa hasa kipindi hiki ambapo radar ya ubingwa ipo upande wetu
Final before final π€π€π€π€bring its... The game is on.View attachment 3220326
Ndio kusema π€£π€£π€£
Real Madrid na Manchester City mmoja wao habari itaishia nafasi hii ya Play off maana anatakiwa mmoja tu kutinga hatua ya 16 Bora , hii inaenda kuwa final ya UEFA champions league play off.
Kesho anabamizwa, Man City wa moto asaivi ni balaa, sijui kama hata sisi tutatoka hata suluhu.Kesho game ya Ars vs City tutaangalia kwa raha sanaa, lolote baya limkute Arsenal πππ