King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Washabiki wa Everton Walishika hilo bango jana, wanadai bora Kabati lisilo na makombe ni vyepesi kulihamisha kwa miaka 30.
Dongo walilotupiga ni kwamba miaka 30 hatujabeba EPL tulikuwa tunabeba vikombe vya hovyo(vidogo) kwahyo bora wao ambao hawakubeba kabisa maana kabati lao ni jepesi kuliko sisi ambao tumebeba uchafu tukajaza kwenye kabati.
Kua hapa tulipo. Hakuna timu inakutana na Arsenal ina uhakika na ushindi
Ukinisoma kuna mahali nimesema "sometimes hizo maths huwa hazi apply kwenye real football world". Na nimeeleza namna kupoteza mechi kunavyoweza kuathiri team kwa kukosa muendelezo.Mkuu hongera sana umeandika vizuri uchambuzi wako kila mmoja ana mtizamo na ni vyema kila mmoja aheshimiwe maoni yake..sidhani kama yupo mtu anayependa timu yake iliyo moyoni ikapoteza ila tunasema vitu kutokana na experience tuliyopitia..kuhusu kusema timu ni afadhali ipoteze kuliko kudroo upo ushahidi city ameshatupita mara mbili na draw zetu nyingi akatwaa ubingwa japo yeye kafungwa mechi nyingi...mfano...
-------------'------ MAN CITY BINGWA 2018-19...
P w D L. Pts
1.Man city 38 32. 2. 4. 98
2.Liver. 38 30. 7. 1. 97
MAN CITY BINGWA 21-22
P W D L PTS
1.Man city 38. 29. 6. 3. 93
2.Liver. 38. 28. 8. 2. 92
Hii ni mifano tu sitaki uamini wala kusema wengine waamini hiki......
zumbemkuu
YWNA.......
Same. Kama sikosei NC ameifunga Arsenal haizidi mara nane tangu wakutaneWhat about Newcastle United?
Same. Kama sikosei NC ameifunga Arsenal haizidi mara nane tangu wakutane
Ukinisoma kuna mahali nimesema "sometimes hizo maths huwa hazi apply kwenye real football world". Na nimeeleza namna kupoteza mechi kunavyoweza kuathiri team kwa kukosa muendelezo.
Draw au Loss zote zina cost, kisicho cost ni ushindi tu lakini dunia hii hakuna kocha atakubali kusema eti bora afungwe mechi ili ijayo ashinde kuliko ku draw mechi na inayofuata atoe tena draw.
Football hasa PL hainaga cha team ndogo wala kubwa, hakuna guarantee kuwa mechi ijayo team fulani itashinda (anything can happen).
So focus ya kocha plan A ni WIN, plan B inaposhindikana ku WIN basi ni angalau ku rescue a point (DRAW).
Option ambayo obviously hakuna anaeitaka bali ni nyie mashabiki na hesabu zenu za kwenye calculator ni hiyo ya bora upoteze halafu inayofuata ushinde (una guarantee vipi ushindi mechi ambayo hujaicheza).
Mimi nikuambieni tu siku zote kila team inaingia uwanjani kwa garget ya maximum points (3) lakini kama hali imekuwa ngumu basi hata draw (1 point) ni bora kuliko LOSS ( zero points).
Bhana ni vituko vya mashabiki na pia inaitwa Derby half blue half red jana its meant more maana ilikua mechi ya mwisho kati ya Liverpool vs Everton kuchezewa uwanja huu sa Goodison Park.Ni namna ya kujifariji tu kwasababu kwenye hiyo miaka 30 bila ya EPL ndani yake muna 2 Champion League, 2 Supercup, 1 Europa Cup, 1 Club World Cup na 1 EPL achana na FA na Carabao sasa sijui wanapata wapi ujasiri wa kujiona wao Zero Trophy kuwa ni bora?
upo sahihi......Lengo liverpool ashinde ifikapo may tuinue makwapa kwa kuinua ndoo ya premier league 2024-25.. inshaAllah!Ukinisoma kuna mahali nimesema "sometimes hizo maths huwa hazi apply kwenye real football world". Na nimeeleza namna kupoteza mechi kunavyoweza kuathiri team kwa kukosa muendelezo.
Draw au Loss zote zina cost, kisicho cost ni ushindi tu lakini dunia hii hakuna kocha atakubali kusema eti bora afungwe mechi ili ijayo ashinde kuliko ku draw mechi na inayofuata atoe tena draw.
Football hasa PL hainaga cha team ndogo wala kubwa, hakuna guarantee kuwa mechi ijayo team fulani itashinda (anything can happen).
So focus ya kocha plan A ni WIN, plan B inaposhindikana ku WIN basi ni angalau ku rescue a point (DRAW).
Option ambayo obviously hakuna anaeitaka bali ni nyie mashabiki na hesabu zenu za kwenye calculator ni hiyo ya bora upoteze halafu inayofuata ushinde (una guarantee vipi ushindi mechi ambayo hujaicheza).
Mimi nikuambieni tu siku zote kila team inaingia uwanjani kwa garget ya maximum points (3) lakini kama hali imekuwa ngumu basi hata draw (1 point) ni bora kuliko LOSS ( zero points).
Kama nayo tutadraw basi utakuwa wendawazimuKwahiyo kwa maoni yako ungetamani matokeo ya jana tupoteze kabisa ili mechi ijayo tushinde? 😄,
Kiukweli mimi nasema ushindi kwanza ndo kipaumbele, ikishindikana basi hata sare ni bora zaidi kuliko kupoteza kabisa, haijalishi mechi ngapi.
Ndilo kombe lenu HiloKua hapa tulipo. Hakuna timu inakutana na Arsenal ina uhakika na ushindi
Mbona unaandika kama vile kuanzia hiyo past two seasons Arsenal inafungwa na Newcastle kila wakikutanaArsenal anayoizungumzia hapa sio ya 2017 bali ni hii ya current season or since past two seasons but unailinganisha na Newcastle kuwa 'tokea mukutane' means since their establishment! Why?
Kwanini ussichukue Arsenal ya this season vs Newcastle ya this season?
Zaidi ya city kuna timu itaonyesha trophies hapo England?Ndilo kombe lenu Hilo
Kuwa mlipo
Zaidi ya city kuna timu itaonyesha trophies hapo England?
Mbona unaandika kama vile kuanzia hiyo past two seasons Arsenal inafungwa na Newcastle kila wakikutana
Arsenal ikikutana na Newcastle kesho wakafungwa.Haya tuchukue msimu huu wa sasa mmoja tu halafu tulinganishe na kauli yako ya awali
Msimu mmoja uliopita mlishinda nini?Ni Liverpool inaweza kuonesha Trophies iwe Mickey Mouse au Big trophy, iwe Msimu mmoja au Mitano! Vyovyote vile lakini ina uwezo wa kuonesha Trophies zake
Usianze ngonjera za City.Zaidi ya city kuna timu itaonyesha trophies hapo England?
Itakua huelewi niliposema sisi hatuna kombe so tulichonacho ni nilichosemaUsianze ngonjera za City.
Onyesha kombe lako.
Sasa mkuu hebu wewe tupe mtizamo wako.Hamuwezi kuelewana kwasababu kila mmoja anamtafsiri mwenzake kwa angle yake anayoitaka yeye.
Pia hapa munazungumzia mitazamo ambayo kwa kawaida huwa haiondoi katika imani ya Mtu kwa kushawishiwa kwa hoja bali inaondoka kwa Mtu mwenyewe kuamua na ndiyomana kuna Mkolani alioneshwa Tai akaambiwa yule anapaa angani akasema haiwezekani yule hawezi kupaa kwasababu ni sungura. Akaambiwa yule sio sungura ni Tai basi akakataa.
Yule Tai akaruka na kupaa juu nbasi Mkojani akasema yule hata aruke mpaka aziguse mbingu basi ninachojua mimi yule ni sungura sio Tai.
Hili namaanisha Mtu akishakuwa na Mtazamo wamo wake hahitaji facts ili kuubadilisha bali ni mpaka pale tu atakapoamua mwenyewe.
YNWAupo sahihi......Lengo liverpool ashinde ifikapo may tuinue makwapa kwa kuinua ndoo ya premier league 2024-25.. inshaAllah!