MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Tatizo ni coaching, you are very right
Hata strikers wetu wamekua legelege kwasbabu mazoezi yao yapo kwenye tactics kuliko nguvu, accurancy na tenacity.. ndio maana Sterling missed sitters because kwa mazoezini yale yote yangeingia tu... tumewashusha viwango defenders na kipa kusaidia tactics za attacking
BR anahitaji defence coach au aishie...
Naamini kabisa hata akina Lovren wanaweza kuwa wazuri tu wakipata kocha mwenye kufundisha defensive plans
Just get Cracke au Carragher to do the job...
Lakin BR hatak hicho kitu, kawajaza washikaj zake kina Marsh ambao ni upuuzi mtupu..
Hata AGGER alianza kuwa legelege chini ya BR..