Doku hajawahi kuwa na madhara kwetu japo Pep huwa anapenda sana kumtumia kama wildcard kila tukikutana nao (Huyu huwa haanzi games za city ila vs Liverpool kama hataanza basi ni early second half sub). Kitu pekee ambacho huwa ni positive kwa Pep ni kuwa Doku huwa anamsumbua sana Trent na hivyo kum-pin back most of the time na Trent kushindwa ku venture forward zaidi.
In terms of end product Doku hajawahi kuwa na madhara kabisa zaidi ya dribbles na take-ons zinazoishia kuwa cleared or corners.
Doku, hana end-product, yeah.
But, he was so dangerous today, Trent failed to contain him completely, kilichotuokoa leo, City hawakuwa na fox/target-man kwenye box (Haaland), Doku/Savinho wote walikosa mtu anayeweza kumake-runs & create space in the box, ndiyo maana mipira yao mingi kwenye box ilikuwa inaishia kwa our defenders.
But, kama Haaland angekuwepo, hadithi ingekuwa nyingine, because Doku had all the space/time in the world, na 85% alifanikiwa kum-beat Trent kila akiwa na mpira, City walikosa a ruthless fox tu kwenye box, especially first half.
When was the last time Doku had a fun-time against a fullback? i love Trent so much, na nimeona sehem wanasema kuwa "Doku had Trent pants, but Trent never gave-up & fought until the last whistle", this is nonsense, because if Haaland angekuwepo kwenye ile line-up, narrative ingekuwa tofauti.
And, why ilikuwa easy kwa City ku-create space au kumpata Doku? our MF (bar Szobo) was below par again, its been like that for the past 5-6 games now, we were just lucky City MF was just way worse pamoja na defense structure yao, otherwise game ingeweza kuisha kama Villa Park au way worse.
At this stage, i dont really care, the title race is over, so its time for Slot & the owners, kuanza kufanya pre-evaluation ya kikosi.
Sijaweka akili sana kwenye CL, because its so hard to predict the outcome. but i will be happy na chochote kitakachojiri.
But, process ya ku-evaluate kikosi, ianze now.