Still early DoouugSlot winning the league, first time of asking, ni very bad look kwa Arteta.
Arsenl fans were comparing him with Klopp, because he "challenged" pep/man city & finished above us for 2 seasons mfululizo.
Now, a dude with no hair from Holland, will get a guard of honour from him and his team in May.
Football is so funny.
Elliot ana potential nadhani mwalimu tu huwa hamwamini lakini unaweza kuona games anazopewa nafasi huwa anafanya jambo. Work rate yake ni nzuri.Guess being a local lad carries the kid.
But ni mzigo kabisa huyu dogo. Atakupa tabasamu mechi moja tu then utanuna mechi nyingi tu..
Tuwape Westham huyu dogo na Elliott aafu watuachie Kudusππif dreams were horses..........
YNWA
Upo sawa mkuu, that's part of football. Hata sisi tulipoteza ubingwa kwa point moja kwasababu van Dijk alikuwa majeruhi. Pengine ingekuwa tunafukuzia ubingwa wa tatu ndani ya miaka mitano.Kutokuwapo kwa Haaland ndiyo mpira ulivyo. Na sisi tungesema kutokuwapo kwa Gakpo! Pengine angekuwapo labda mambo yangekuwa mabaya kwao pia
Slot yupo very flexible, angalia namna amechange system throughout the season. Playing Grav as DM the whole season, playing false nines in the name of Diaz (hat trick vs Leverkusen) and yesterday Szobo (goal and assist).Trent nawaza kocha aje amjaribu LW siku moja , hii afanye tukishakuwa na uhakika na ubingwa .
Fan ubingwa tunatangazwa April mwanzo kabisa.
Si tunawalaumu wamiliki mkuuAcheni kuwalaumu midfiled epl ninligi ngumu sana inahitaji pumzi wachezaji wanachoka game moja ni kama tatu za league 1 ama mbili za la liga
Klopp alitumia sana huu mfumo na ulimlipa vizuri, unaweza kuona jinsi Trent na Robbo walivyokuwa na assists+goals nyingi kwa kupewa uhuru wa kushambulia sana na kurudi kukaba inapihitajika.3-5-2 ni mfumo unaotumia Wingerbacks kazi zao kushambulia na kurudi nyuma kusaidia ulinzi
Wanafanya kazi zote mbili ya Winger timu ikiwa inashambulia, na Fullback timu ikiwa inashambuliwa TIMING
Mlaumu Caicedo, Enzo na Palmer. Sisi Liverpool hatuna wa kumlaumu kaka.Acheni kuwalaumu midfiled epl ninligi ngumu sana inahitaji pumzi wachezaji wanachoka game moja ni kama tatu za league 1 ama mbili za la liga
Tusubiri summer mkuu tumeshaahidiwa usajili mzuri na tuna target ya Isak mwenye goal 50 kwenye mechi 76.Si tunawalaumu wamiliki mkuu
Na iwe hivyo usajili wa wachezaji wachache tu makiniTusubiri summer mkuu tumeshaahidiwa usajili mzuri na tuna target ya Isak mwenye goal 50 kwenye mechi 76.
Tukimpta huyu plus DM, LB, RB na cover CB basi quadruple ipo next season.
The cards are in FSG's hands.
Kwa current market value ni ngumu kupata mchezaji proven kama hauko tayari ku cash in 60 to 70m pounds kupata kile unataka utaishia kwa hawa cheap bargains wa 30 to 40 million pounds ambao wana potential (which can never be attained/achieved) ambao tumekuwa lucky kuwapata kama Grav na Macca.Na iwe hivyo usajili wa wachezaji wachache tu makini
Lakini mpaka siku hiyo ifike ndio niamini maana hawa FSG sometime wanatia hasira
Ishu ni kwamba FSG ni wapenzi wa "small" squad kubana matumizi ndio maana unaona mahitaji yapo ya kusajili lakin wenyewe wanajitetea kwamba kikosi kipo na ni kamili but we have quantity over quality players..Elliot ana potential nadhani mwalimu tu huwa hamwamini lakini unaweza kuona games anazopewa nafasi huwa anafanya jambo. Work rate yake ni nzuri.
Jones (the cocky midfielder) ni mzuri sana hasa akiwa na mpira ila nadhani ange strive zaidi tukiwa na proper holding midfielder ambaye atafanya Jones awe na less defensive duties.
Otherwise Jones ni good squad player, he has a chance to up his game.
Elliot na Jones wana potential ya kuwa big players. They are only hindered by the fact kuwa hatuna DMs wakuwafanya wacheze free role (IMHO). Japo naona work rate ya Elliot ni kubwa na akipewa minutes ana deliver.Ishu ni kwamba FSG ni wapenzi wa "small" squad kubana matumizi ndio maana unaona mahitaji yapo ya kusajili lakin wenyewe wanajitetea kwamba kikosi kipo na ni kamili but we have quantity over quality players..
Elliot na Jones wanashikilia wages na nafasi aisee sio kingine..
I love Elliot as a player lakin we are past his output same case na Jones ni wachezaji wanaotupa very minimal expectations....
Nwa let's enjoy the ride. Epl trophy kama naiona ikiwa na red ribbons π€π€π€π€π€
YNWA
Elliot na Jones wana potential ya kuwa big players. They are only hindered by the fact kuwa hatuna DMs wakuwafanya wacheze free role (IMHO). Japo naona work rate ya Elliot ni kubwa na akipewa minutes ana deliver.
If we keep them okay, if we get rid then quality additions are welcome
Jones ni aina ya wachezaji wanaopendwa na makocha (punda)...same case ilikuwa kwa HendersonElliot it's Ok I can agree with you, but I don't see anything like a big player on Jones.
He's destined to be a mediocre
Ni kweli Elliot ni very progressive thinker kuliko MF wetu wote ishu tu inakua vile akicheza sana sana RMF ambayo hio namba kwa sasa anayo bwana Szobo...Elliot na Jones wana potential ya kuwa big players. They are only hindered by the fact kuwa hatuna DMs wakuwafanya wacheze free role (IMHO). Japo naona work rate ya Elliot ni kubwa na akipewa minutes ana deliver.
If we keep them okay, if we get rid then quality additions are welcome