Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

5...ahaaahaaa ilikua ni wingi wa nafasi tulizo tengeneza game ya man u last season na kukosekana kwa jota iyo game. Sio kwamba timu inayumba asipokuwepo ilikua issue ya best finisher na nafasi za kufunga kwa iyo game.

Kwa sisi ambao tumezoea hizi Derby za Liverpool vs Manure hatukushangaa sana na wala hatukuona kuwa kutokuwepo kwa Jota ilikuwa ni tatizo.

Kila ule mwaka ambao ni Wabovu zaidi na sisi tunakuwa on fire ndiyo tunashindwa kuwafunga.

Si umeona msimu huu? Na kabla ya mwaka Jana na Juzi tulikutana na Manchester mbovu kuwahi kutokea wachezaji wake wote injury sisi tulikuwa full Mkoko Mane na Salah wamoto tukashindwa kuwafunga Klopp akasingizia upepo.
 
QUESTIONS.

Suarez or Salah?

Torres or Firmino?

Fabinho or Mascherano?

Hyppia or VVD?

Agger or Matip?

Coutinho or Alexis?

Alexis or Wijnaldum?

Alonso or Thiago?

Mane or Salah?

Nunez or Milan Baros?

Henderson or Szobo?

Allison or Reina
Salah
Torres
Fabihno
VVD
Countinho
Winadjum
Alonso
Salah
Nunez
Szobo
Allison

YNWA
 
Mo salah
Luis suarez
Fernando torres
Sadio mane
Roberto firmino

Nikiwapanga kwa mapenzi yangu ya kiushabiki wa kiliverpool itakua ivi

Mo salah
Roberto firmino
Fernando torres
Sadio mane
Luis suarez

Luis suarez tangu atuletee dharau sijawah mpenda tena
Binafsi naona Torres na Suarez as traitors
Arne Slot
Rafa Benitez
Gerrard Houlier

YNWA
no klopp?
 
Kelele nyingi huko London, umezisikia??

Arsenal wanaamini bila injuries walizonazo wangeweza kuwa outshine Liverpool. Wengi wanadai Liverpool are so Lucky this season.

Tu break kidogo huu utetezi wao.

Kwanza tuanzie hapa:-
IMG-20250301-WA0000.jpg

ilikuwa ni Matchday 13.
IMG-20250301-WA0001.jpg

Full health kwa key players wao and yet they were 9 points behind Liverpool. Since then LFC hajatoka hapo juu, na hapo Arsenal wapo almost full squad ila wapo behind kwa points 9.

Liverpool biggest summer signing ni Chiesa ambaye hana game time na kikosi cha sasa. Mara ya mwisho kuonekana uwanjani ni mechi gani vile??

-Vipi kuhusu Arsenal investment?? Hili lipo wazi wame invest last summer compare na LFC.

-Liverpool wana new technical bench from above to below, compare to Arsenal.

Arsenal possible points this season ni 87, sasa wana 54 na zimebaki 33 54+33=87.

Liverpool possible points this season 97, sasa wana 67 na zimebaki 30
67+30=97

Umegundua chochote??

Arsenal will have less (-2 points) compare to total collected last season (91).

Liverpool will earn atleast more points than last season (82 points).

LAST SEASON.

Until 1 March there was 1 different point between Liverpool and Arsenal.
IMG_20250301_031555.jpg

Na kwa wakati huo, Liverpool ilikuwa kwenye wimbi la mejeruhi compare to Arsenal.

IMG_20250301_031619.jpg

Salah alikosekana miezi mitatu hivi (AFCON + INJURIY) and yet Liverpool wali manage ku close gap licha ya kuwakosa key players wake kwa 85%.

Big blow kwa Arsenal ni Saka, yes hii ni big miss sana kwao, ila they could capitalize kama Arteta angeamua ku ditch his own traditional way of possessing na kuamua kucheza much direct football. Try 4-4-2, once hauna good wide players.

Last season key players stats between Salah & Saka (good advantage they are all Left footers and RW, first letter of their 2nd names is S).

Arsenal fans said Saka has a good season
Scored 16 goals and 9 assists,

Salah had a poor season and yet outshined Saka with 18 goals and 10 assists.

Je Salah akiwa na msimu mzuri Saka could’ve done otherwise??

Mins played Saka 2936
Mins played Salah 2536

Bado mnaongelea bahati?? mungu wa bahati ni mungu katili sana yakikukuta utaelewa hili.

Can you imagine how painful it was??
IMG-20250301-WA0011.jpg


And yet Liverpool didn't win a tittle,. How can you tell your grandson and granddaughter thst team with 97 points ety hawakuwa mabingwa?

IMG_20250301_034423.jpg
IMG_20250301_034453.jpg


Stevue akatuaminisha inawezekana, last 10 mins zilitosha kugeuza kibao kutoka treble na kuwa runners.

Tupo kwenye “bonus mode” Welcome Gunners kwenye marathon.

CATCH US IF YOU CAN...

“Welcome to Arne Slot Penitentiary”

YNWA
 
Back
Top Bottom