Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa sisi ambao tumezoea hizi Derby za Liverpool vs Manure hatukushangaa sana na wala hatukuona kuwa kutokuwepo kwa Jota ilikuwa ni tatizo.

Kila ule mwaka ambao ni Wabovu zaidi na sisi tunakuwa on fire ndiyo tunashindwa kuwafunga.

Si umeona msimu huu? Na kabla ya mwaka Jana na Juzi tulikutana na Manchester mbovu kuwahi kutokea wachezaji wake wote injury sisi tulikuwa full Mkojo Mane na Slah wamoto tukashindwa kuwafunga Klopp akasingizia upepo.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kuna mech moja ugenini kwao wapo hovyo majeruhi kama yote na Henderson akanuna balaa kupewa sub kiasi wale ma pundit fuata upepo wakasema Henderson future is over at Liverpool lakini Klopp wala akakausha kama sio ishu aafu akaja akamtoa kimya kimya 🤣🤣Saudi.

YNWA
 
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚

Usisahau pia tylishawishiwa hapa kuwa Amorim ni kama Klopp aje Liverpool
Nipo hapa bila Slot naamini tungekua nae Amorim. Manchester United 'imeoza' wanataka quick fix... Nilivyoona wanamnunua Casmiro almost £70m na kumpa over 300k wages kwa wiki same na Sancho nikajua hawa ni wagumu wa kuelewa wanatembelea past glory... Wakat Klopp anasema apewe angalau miaka minne ndio adelive kombe mwanzoni hakueleweka lakin baadae akaanza usajili ambao uliendana na kipato cha timu ukitazama mishahara wakati wana join ya akina Fabby, Mane, Gini, Salah, Robbo, Allison nk ilikua ya kawaida sana kwa kua walikua well scouted impact yao watakayoleta wakiwa na kiu ya mafanikio sanaaa.
Bila kubadili mfumo kwa kweli Manjesta mateso yataedelea kuwepo hata atue Klopp au Pep pale shinda itakua hivi hivi.
They are rotten beyond quick fix.

YNWA
 
Captain umemu-underrate Legendary Ian Rash
Mkuu huyu MBE enzi hizo alikua ndio Gerrard wa sasa akiwa one man club ... Made over 600 appearances for Liverpool winning 8 'EPL' etc...

Ian bhana alitukimbia mara akarudišŸ¤“šŸ¤“huyu hata Manjesta angetua.
Kwenye Kop favourite of all time wenye timu yao hukoo wanakwenda hivi....
Gerrard
Dalglish
Ian
....

YNWA
 
Kelele nyingi huko London, umezisikia??

Arsenal wanaamini bila injuries walizonazo wangeweza kuwa outshine Liverpool. Wengi wanadai Liverpool are so Lucky this season.

Tu break kidogo huu utetezi wao.

Kwanza tuanzie hapa:-
View attachment 3254072
ilikuwa ni Matchday 13.
View attachment 3254073
Full health kwa key players wao and yet they were 9 points behind Liverpool. Since then LFC hajatoka hapo juu, na hapo Arsenal wapo almost full squad ila wapo behind kwa points 9.

Liverpool biggest summer signing ni Chiesa ambaye hana game time na kikosi cha sasa. Mara ya mwisho kuonekana uwanjani ni mechi gani vile??

-Vipi kuhusu Arsenal investment?? Hili lipo wazi wame invest last summer compare na LFC.

-Liverpool wana new technical bench from above to below, compare to Arsenal.

Arsenal possible points this season ni 87, sasa wana 54 na zimebaki 33 54+33=87.

Liverpool possible points this season 97, sasa wana 67 na zimebaki 30
67+30=97

Umegundua chochote??

Arsenal will have less (-2 points) compare to total collected last season (91).

Liverpool will earn atleast more points than last season (82 points).

LAST SEASON.

Until 1 March there was 1 different point between Liverpool and Arsenal.
View attachment 3254080
Na kwa wakati huo, Liverpool ilikuwa kwenye wimbi la mejeruhi compare to Arsenal.

View attachment 3254082
Salah alikosekana miezi mitatu hivi (AFCON + INJURIY) and yet Liverpool wali manage ku close gap licha ya kuwakosa key players wake kwa 85%.

Big blow kwa Arsenal ni Saka, yes hii ni big miss sana kwao, ila they could capitalize kama Arteta angeamua ku ditch his own traditional way of possessing na kuamua kucheza much direct football. Try 4-4-2, once hauna good wide players.

Last season key players stats between Salah & Saka (good advantage they are all Left footers and RW, first letter of their 2nd names is S).

Arsenal fans said Saka has a good season
Scored 16 goals and 9 assists,

Salah had a poor season and yet outshined Saka with 18 goals and 10 assists.

Je Salah akiwa na msimu mzuri Saka could’ve done otherwise??

Mins played Saka 2936
Mins played Salah 2536

Bado mnaongelea bahati?? mungu wa bahati ni mungu katili sana yakikukuta utaelewa hili.

Can you imagine how painful it was??
View attachment 3254078

And yet Liverpool didn't win a tittle,. How can you tell your grandson and granddaughter thst team with 97 points ety hawakuwa mabingwa?

View attachment 3254086View attachment 3254087

Stevue akatuaminisha inawezekana, last 10 mins zilitosha kugeuza kibao kutoka treble na kuwa runners.

Tupo kwenye ā€œbonus modeā€ Welcome Gunners kwenye marathon.

CATCH US IF YOU CAN...

ā€œWelcome to Arne Slot Penitentiaryā€

YNWA
Arsenal ni fungu la kukosa
 
Mkuu huyu MBE enzi hizo alikua ndio Gerrard wa sasa akiwa one man club ... Made over 600 appearances for Liverpool winning 8 'EPL' etc...

Ian bhana alitukimbia mara akarudišŸ¤“šŸ¤“huyu hata Manjesta angetua.
Kwenye Kop favourite of all time wenye timu yao hukoo wanakwenda hivi....
Gerrard
Dalglish
Ian
....

YNWA

Kweli sio hivi? šŸ‘‡
1. Ian Rush
2. Kenny Daglish
3. Steven Gerrard

Hao wazee wawili wa mwanzo ni kama Damu ya Liverpool na wamefanya makubwa kuliko Gerrard.

Kila alichokifanya Gerrard na wao wamekifanya, ila kuna vitu wao wamefanya Gerrard hakuwahi kuvifanya.

Kuna mmoja angekuepo hapo ila aliamua kuitosa Timu ni yule Mzee wetu Kevin Keegan aliamua kutukimbia wakati tunamuhitaji.
 
Tukiwa tunajiandaa kupokea Guard of Honour kutoka kwa Arsenal hebu tujikumbushe baadhi ya Vichekesho vilivyowahi kutokea for the past 5 years.

1. Mane ndiye anayeibeba Liverpool na sio MO Salah.

2. MO Salah auzwe tuna Xaqiri wa kuziba nafasi yake ni bora kuliko Salah.

3. Mshabiki wa Arsenal walijazana ujinga na kuaminishana kuwa SAKA ni bora kuliko Salah na wakafikia kuamini kuwa Saka ni best Winger in the World.

4. Origi ni bonge la Striker

5. Jota hawezi kukosa goli kizembe asipokuwpo Timu inayumba.

6. Ongeza na wewe .........
Nadhani issue ya Jota ni kama imekuwa mmeiongelea baada ya kumiss vs Villa lakini angalau tunaweza kuangalia conversion rate ya mchezaji na kufanya comparisons. Pia huwa tunaangalia idadi ya big chances player ana miss compared to whoever you are making comparisons with.

Jota anaweza kuwa anakosa magoli lakini who often does he miss and how often does he miss big chances?

Hayo ndio maswali ya kujiuliza.
 
Lets play a game.

RANK THESE LFC FORWARDS

Fernando Torres
Luis Suarez
Mo Salah
Sadio Mane
Roberto Firmino
For me raking them depends with a lot of variables including individual statistics like goals and assists, team achievements (trophies won), consistency across seasons, technical ability, tactical awareness, impact on the game, discipline etc

In terms of technical ability and tactical awareness.
-Firmino
-Salah
-suarez
-Mane
-Torres

In terms of individual stats and trophies won
-Salah
-Mane
-Firmino
-Suarez
-Torres

Consistency and impact on the game (ukitoa salaha hao wengine ni kama the same tu)
-Salah
-Suarez
-Torres
-Mane
-Firmino

Discipline wise
-Salah
-Torres
  • Firmino
  • Mane
-Suarez
 
Nadhani issue ya Jota ni kama imekuwa mmeiongelea baada ya kumiss vs Villa lakini angalau tunaweza kuangalia conversion rate ya mchezaji na kufanya comparisons. Pia huwa tunaangalia idadi ya big chances player ana miss compared to whoever you are making comparisons with.

Jota anaweza kuwa anakosa magoli lakini who often does he miss and how often does he miss big chances?

Hayo ndio maswali ya kujiuliza.

Jota sasahivi ndiyo haongelewi na hata baada ya game ya Aston Villa sikumbuki kuwa Jota aliwahi kuwa Topic hapa.

Msimu wa kwanza Jota kuja Liverpool ndiyo tulimuongelea Jota kuwa hata kule Wolves hakuwa Regular Stater kwasababu Jota ni most Inconsistency Player.

Jota anaweza kukufurahisha game 4 mfululizo then akapotea game 8 mfululizo na huo ndiyo uchezaji wake wala hauwezi kubadilika.

Ni kama aina fulani ya Gabriel Jesus alipokuwa Man City alikuwa anaweza kufunga goli 7 kwa michezo miwili tu (Mchezo mmoja Hat Trick na mchezo mmoja goli 4) then anapotea kwenye michezo 10 inayofuata Pep akaamua kumuuza.

Hivyo Inconsistency ni uchezaji wa Jota tokea yupo Wolves na hilo tunalijua ndiyomana hatumjadili.

So, haupo sahihi kusema kusema tumemuongelea Jota kwasababu ya game yake against Villa.

Jota ndani ya Liverpool hajawahi kuwa tegemeo tokea Klopp mpaka sasa Slot wala hajawahi kuwa World Class Striker wala hajawahi kuwa Clinical Finisher.

Ni average player tu ambaye kuna siku anaamka vizuri akafunga then anapotea.
 
Kweli sio hivi? šŸ‘‡
1. Ian Rush
2. Kenny Daglish
3. Steven Gerrard

Hao wazee wawili wa mwanzo ni kama Damu ya Liverpool na wamefanya makubwa kuliko Gerrard.

Kila alichokifanya Gerrard na wao wamekifanya, ila kuna vitu wao wamefanya Gerrard hakuwahi kuvifanya.

Kuna mmoja angekuepo hapo ila aliamua kuitosa Timu ni yule Mzee wetu Kevin Keegan aliamua kutukimbia wakati tunamuhitaji.
Gerrard nadhani kwa kua ndio last standing real Kop ambae wengi kwa hiv karibuni tumeshuhudia maajabu yake mengi uwanjani na pia ile kukomaa atastafia Liverpool bila kua na tamaa ya ela ukumbuke walileta ofa nono Chelsea na Real Madrid lakin alitulia tuli kuodoka just for the love of the badge...
Kingine Gerrard alicheza na mediocre players ambao leo hii hata benchi ya wachezaji wa akiba hawagusi lakin hakuangalia hayo mbali alipambana akiamini one day yes.. Hakuweza kua serial winner lakin naamini mchango wake pia ulivutia hata hawa FSG kuja kuwekeza Liverpool kwa kujenga baseline makini....

YNWA
 
Jota sasahivi ndiyo haongelewi na hata baada ya game ya Aston Villa sikumbuki kuwa Jota aliwahi kuwa Topic hapa.

Msimu wa kwanza Jota kuja Liverpool ndiyo tulimuongelea Jota kuwa hata kule Wolves hakuwa Regular Status kwasababu Jota ni most Inconsistency Player.

Jota anaweza kukufurahisha game 4 mfululizo then akapotea game 8 mfululizo na huo ndiyo uchezaji wake wala hauwezi kubadilika.

Ni kama aina fulani ya Gabriel Jesus alipokuwa Man City alikuwa anaweza kufunga goli 7 kwa michezo miwili tu (Mchezo mmoja Hat Trick na mchezo mmoja goli 4) then anapotea kwenye michezo 10 inayofuata Pep akaamua kumuuza.

Hivyo Inconsistency ni uchezaji wa Jota tokea yupo Wolves na hilo tunalijua ndiyomana hatumjadili.

So, haupo sahihi kusema kusema tumemuongelea Jota kwasababu ya game yake against Villa.

Jota ndani ya Liverpool hajawahi kuwa tegemeo tokea Klopp mpaka sasa Slot wala hajawahi kuwa World Class Striker wala hajawahi kuwa Clinical Finisher.

Ni average player tu ambaye kuna siku anaamka vizuri akafunga then anapotea.
Mimi binafsi sidhani kama inconsistency ya Jota inasababishwa na form bali ni injuries. Jota amekuwa injury prone sana kiasi kwamba these days ni adhimu kumuona akicheza games kumi mfululizo bila injury.

So speaking of a clinical finisher nakupa article ya opta hapa uisome then utajiuliza tena. Is Ruthless Diogo Jota Liverpool's Most Clinical Forward?

Nakukumbusha pia msimu wa 2021/22 Jota alifunga goals 21 kwenye games 55 which is not bad for a striker in the Premier League (the goals are in all comps though) mwenye record mbaya ya injuries.

I never said Jota is world class.
 
Mimi binafsi sidhani kama inconsistency ya Jota inasababishwa na form bali ni injuries. Jota amekuwa injury prone sana kiasi kwamba these days ni adhimu kumuona akicheza games kumi mfululizo bila injury.

So speaking of a clinical finisher nakupa article ya opta hapa uisome then utajiuliza tena. Is Ruthless Diogo Jota Liverpool's Most Clinical Forward?

Nakukumbusha pia msimu wa 2021/22 Jota alifunga goals 21 kwenye games 55 which is not bad for a striker in the Premier League (the goals are in all comps though) mwenye record mbaya ya injuries.

I never said Jota is world class.

Mkuu article uliyoweka ujumbe wake umebeba Mantiki ya kuwa Je, Dogo Jota ni most Clinical forward wa Liverpool?

Sasa Mkuu pale Liverpool kwani Striker si ni Jota na Nunez tu? Sasa huoni kama hii Liverpool's most clinical finisher inatidanganya hapa kwasababu anayeshindana naye ni Nunez?

Liverpool Striker wa Mwisho wa maana ni Luis Suarez baada ya hapo hatujawahi kuwa na Striker wa maana hivyo Jota ni sahihi kuwa our most clinical finisher lakini siyo kwamba ni bora kiasi hicho ila kwa Timu yetu hana mpinzani kwasababu hatuna bora kuliko yeye.
 
Kelele nyingi huko London, umezisikia??

Arsenal wanaamini bila injuries walizonazo wangeweza kuwa outshine Liverpool. Wengi wanadai Liverpool are so Lucky this season.

Tu break kidogo huu utetezi wao.

Kwanza tuanzie hapa:-
View attachment 3254072
ilikuwa ni Matchday 13.
View attachment 3254073
Full health kwa key players wao and yet they were 9 points behind Liverpool. Since then LFC hajatoka hapo juu, na hapo Arsenal wapo almost full squad ila wapo behind kwa points 9.

Liverpool biggest summer signing ni Chiesa ambaye hana game time na kikosi cha sasa. Mara ya mwisho kuonekana uwanjani ni mechi gani vile??

-Vipi kuhusu Arsenal investment?? Hili lipo wazi wame invest last summer compare na LFC.

-Liverpool wana new technical bench from above to below, compare to Arsenal.

Arsenal possible points this season ni 87, sasa wana 54 na zimebaki 33 54+33=87.

Liverpool possible points this season 97, sasa wana 67 na zimebaki 30
67+30=97

Umegundua chochote??

Arsenal will have less (-2 points) compare to total collected last season (91).

Liverpool will earn atleast more points than last season (82 points).

LAST SEASON.

Until 1 March there was 1 different point between Liverpool and Arsenal.
View attachment 3254080
Na kwa wakati huo, Liverpool ilikuwa kwenye wimbi la mejeruhi compare to Arsenal.

View attachment 3254082
Salah alikosekana miezi mitatu hivi (AFCON + INJURIY) and yet Liverpool wali manage ku close gap licha ya kuwakosa key players wake kwa 85%.

Big blow kwa Arsenal ni Saka, yes hii ni big miss sana kwao, ila they could capitalize kama Arteta angeamua ku ditch his own traditional way of possessing na kuamua kucheza much direct football. Try 4-4-2, once hauna good wide players.

Last season key players stats between Salah & Saka (good advantage they are all Left footers and RW, first letter of their 2nd names is S).

Arsenal fans said Saka has a good season
Scored 16 goals and 9 assists,

Salah had a poor season and yet outshined Saka with 18 goals and 10 assists.

Je Salah akiwa na msimu mzuri Saka could’ve done otherwise??

Mins played Saka 2936
Mins played Salah 2536

Bado mnaongelea bahati?? mungu wa bahati ni mungu katili sana yakikukuta utaelewa hili.

Can you imagine how painful it was??
View attachment 3254078

And yet Liverpool didn't win a tittle,. How can you tell your grandson and granddaughter thst team with 97 points ety hawakuwa mabingwa?

View attachment 3254086View attachment 3254087

Stevue akatuaminisha inawezekana, last 10 mins zilitosha kugeuza kibao kutoka treble na kuwa runners.

Tupo kwenye ā€œbonus modeā€ Welcome Gunners kwenye marathon.

CATCH US IF YOU CAN...

ā€œWelcome to Arne Slot Penitentiaryā€

YNWA
Safi sana
 
Back
Top Bottom