Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ya wajukuu na vitukuu vyake🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓@Saint Anne salama
Bobby anakula good time 🤓🤓🤓anasaka ela ya wajukuu
YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya wajukuu na vitukuu vyake🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓@Saint Anne salama
Bobby anakula good time 🤓🤓🤓anasaka ela ya wajukuu
YNWA
Kobbie Mainoo atakuwa free FSG wachangamkie dili.
Watu wanawaza treble humu unaambiwa 😂😂
Leo Southampton lazima wapasuke
Hakika mkuuHii ndo EPL,
Second half Slot afungue password yakuwafunga hawa jamaa. Point 3 ni muhimu sana leo.
Hilo goli la Nunez nakuhakikishia goli lingekuwa wazi angekosa.Ya wajukuu na vitukuu vyake
pole brother kwa kuweka akiba kicheko chako. Bora ungecheka tangu Half Time. leo akiba imeozaSisi tunasubiri FT tuanze kucheka
Sasa nina uhakika EPL tunachukua. Sina mashaka tena kuanzia leo.Hakika mkuu
Kipindi cha pili Southampton watataka kushikilia Bomba lazima tuwapelekee moto kisawasawa Mpka walegee
Mwenye kucheka FT ndio mshindi.Sisi tunasubiri FT tuanze kucheka
Sisi tunasubiri FT tuanze kucheka
Huwa kuna kaconfidence fulani tukiwa tunaongoza ghafla ENDO uone kasimamishwa aingie.