Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Manchester ya maana zaidi imetoka chini ya Mzee Ferguson!Hizo zingine zilikuwa far behind kwa Liverpool
Kaka, kwa heshima na taadhima, soma tena post yangu na ujibu maswali yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manchester ya maana zaidi imetoka chini ya Mzee Ferguson!Hizo zingine zilikuwa far behind kwa Liverpool
Manchester ya maana zaidi imetoka chini ya Mzee Ferguson!Hizo zingine zilikuwa far behind kwa Liverpool
Ni kweli Gerard ni mkali ya Michael..lakini kwa Scholesy, Gerard atasubiri sana...
Na Scholesy kwenye prime yake? Si ni Scholesy alikuwa akililiwa na waingereza arudi national team wakati kastaafu? Umesikia waingereza wakimlilia Gerard arudi?
Pili, nipe vigezo vinavyomfanya Gerard awe bora kuliko Scholesy.
Wakati SG anapewa mikoba ya tean ya Taifa huyu Carrick hata ku make kwenye wachezaji 23 wa Euro 2012 na WC alishindwa!
Kwa SG kijana wako Carrick alisubiri sana
sg kawahi kuwa mchezaji bora wa epl mwaka 2005 enzi hizo scholes nae yupo kwenye prime time!scholes hajawahi kuwa mchezaji bora wa epl
sg kateuliwa kuwa nahodha wa uingereza mwaka gani?wakati anateuliwa scholes alikuwa kaisha staafu soka?
Kuna ukweli hapa!nyie washabiki mnashangaza sana....nyinyi ndio mlikuwa mnasema kila siku humu SG hafai kuanza,anaslow down timu yenu na malalamiko kibao!!! sasa BR kafanya kitu sensible ambacho ni ku-manage playing time ya SG kwasababu he is no longer 24yrs old,he is 34!!! kitu hicho hicho SAF kakifanya kwa scholes/giggs na wakaweza kucheza kwa muda mrefu zaidi.....sioni kwanini mnaacha kumshangaa SG mnalaumu eti BR ndio kasababisha aondoke...stop sugarcoating SG is past his best and he doesnt deserve starting berth EVERY GAME.....BR IS RIGHT
SG kawahi kuwa mchezaji bora wa EPL mwaka 2005 enzi hizo Scholes nae yupo kwenye prime time!Scholes hajawahi kuwa mchezaji bora wa EPL
SG kateuliwa kuwa nahodha wa Uingereza mwaka gani?Wakati anateuliwa Scholes alikuwa kaisha staafu soka?
Hapa watu watapima mm na ww nani mweupe!!Kaka kumbe wewe mweupe hivi?
try to compare epl best player award na epl title. I'd rather say titles......
kocha mfupi, wachezaji wote wafupi, ndio maana tunakua bullied kitoto, we need big players who a fast... Martinez, Origi, wanafit the frame
Doh! Kaka umekuwa mtabiri siku hizi?
Busby babes walitamba miaka ya 1960 hadi 1970. SAF alivyokuja mwaka 1986, ikamchukua si zaidi ya miaka 10 kutengeneza timu nyingine kali. Sasa kipi kinakufanya useme itachukua miaka 100 kutengeneza timu nyingine kali ya United?
Na hilo la kusema kwamba United HAITOPATA TENA EPL hata moja tu, sababu ni zipi?
My point:Scholes alipo staafu Man U walitwaa EPL mara kibao tu!!SG angeondoka Liverpool hata FA wasingechukua
Pundits inabidi uangalie sana kwenye team yako una nani na msaada wako ni nn!Huyu hata enzi za Babu akiwa kwenye prime time yake alishindwa kuwa EPL player of the year
Hapa watu watapima mm na ww nani mweupe!!
1.Taja kikosi cha Man U alicho chezea Scholes na onyesha kama bila yy Man U isingetwaa ubingwa
2.Baada ya kustaafu Man U walichukua ubingwa mara ngapi bila kuwepo Scholes
3.Mchukue SG muondoe kwenye kikosi cha Liverpool kuanzia 2000-2012 then pima kama wangechukua hata FA
Kaka unazidi kujiabisha tu!Scholes effect yake Man U ilikuwa ndogo sana hata bila yy Man U walizidi kutwaa ubingwa!Bila SG Liverpool wangetwaa nn?Hata Cardif Capital Cup mwaka juzi tusingechukua!
Mbu njoo hata nizidi kukufunza
Gerrard since wameondoka kina Hamman,Alonso,Riise hakuna Cha maana alichofanya siku hizi kazi yake kubwa ni kupiga penati na last season yeye ndiye kawakosesha ubingwa
Wachezaji wengi wa Kingereza hawana talent Lampard,Giggs,Beckham,Caragher,Neville, Terry,Rooney wote wanaangukia kwenye hili kundi but Scholes alikuwa daraja lingine kabisa
Euro ya 2004 Scholes anawayeyusha tu Waingereza hadi media zinamponda!Hajawahi kuwa bora ukiacha kubebwa na weledi wa kikosi cha Babu!
Kumfananisha SG na Scholes ni matusi makubwa hasa kama unajua kuchambua soka
Mkuu keeper ni sawa lakini tunatatizo kubwa kubwa pia la striker
SG silaha yake kuwa ni[ilikuwa] energy,lung bursting runs all around the pitch,box to box.....carrick silaha yake ni brain na [long passes] hakimbii kimbii hovyo kama SG.