Suso anajiandaa kwenda MILAN AC muda wowote kuanzia sasa mkuu
BR kocha wa ajabu sana,utamuacha vipi Suso umbakize Borin?
Suso ataondoka SUMMER nasikia..
Sometimes huwa nafikiri kuwa Kuna mashabiki wa manchester utd na Arsenal wapo kwenye board yetu pale LFC...maamuzi yao yamekuwa Shocking sana..
Imagine wanting to sell Lucas!!!!!
Hii club inaelekea wapi??..legends wanaondoka kila kukicha...
Nilisema mimi BR anajaribu kuziondoa signing za Benitez pale LFC, kuna haja gani ya kumuuza LUCAS??? SG anaenda MLS, Lucas nae anataka kuuzwa, team itabaki na "wakubwa" gani??
Point ya kumuuza Lucas ni ipi?? Kisa Allen???
Nimesoma sehemu jana kuwa anaweza ruhusiwa kuondoka now ili kupunguza mzigo wa wage kama Milan watakubali au asubiri hadi July aende bure kabisa
HAWEZI muuza Lucas Leiva
Leiva ndiyo mido wetu kwa sasa na kwa kipindi kirefu kinachokuja
Nasubiri nione uthibitisho wa kina Barret na Pearce...
Lakin mpaka sasa it seems he's off to inter..
We had good performance in the first 45 minutes, the second half was shambolic we had no desire to go forward its like we settled for a 1 goal win, no urgency, no pace though Markovic looked determined Borini was awful. What matters is 3 points, 5 points adrift the 3rd placed
Akimuuza Lucas kwa kiwango hiki anacho onyesha mashabiki watamuondoa BR nakuhakikishia!Mabango ya kumtokuwa na imani nae yatakuwa kila mahali!
Mkuu mbona kipindi cha kwanza tumecheza soka la hali ya juu sana lkn kipindi cha pili yena Sunderland wakiwa pungufu walituzidi mno?
Tatizo nini lilikuwa:
Akimuuza Lucas kwa kiwango hiki anacho onyesha mashabiki watamuondoa BR nakuhakikishia!Mabango ya kumtokuwa na imani nae yatakuwa kila mahali!
Mkuu mbona kipindi cha kwanza tumecheza soka la hali ya juu sana lkn kipindi cha pili yena Sunderland wakiwa pungufu walituzidi mno?
Tatizo nini lilikuwa:
Are we LOSERFOOLS?Daaaah mkuu bana
Kesho nazidi punguza gap kwako anyway na ndiyo utachukia zaidi
Bado masaa tu uchukie zaidiAre we MANURE?
Bado masaa tu uchukie zaidi
Deluded loserfools singing 'Markovic will be better than Di Maria'....