MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Sometimes huwa nafikiri kuwa Kuna mashabiki wa manchester utd na Arsenal wapo kwenye board yetu pale LFC...maamuzi yao yamekuwa Shocking sana..
Imagine wanting to sell Lucas!!!!!
Hii club inaelekea wapi??..legends wanaondoka kila kukicha...
Nilisema mimi BR anajaribu kuziondoa signing za Benitez pale LFC, kuna haja gani ya kumuuza LUCAS??? SG anaenda MLS, Lucas nae anataka kuuzwa, team itabaki na "wakubwa" gani??
Point ya kumuuza Lucas ni ipi?? Kisa Allen???
Imagine wanting to sell Lucas!!!!!
Hii club inaelekea wapi??..legends wanaondoka kila kukicha...
Nilisema mimi BR anajaribu kuziondoa signing za Benitez pale LFC, kuna haja gani ya kumuuza LUCAS??? SG anaenda MLS, Lucas nae anataka kuuzwa, team itabaki na "wakubwa" gani??
Point ya kumuuza Lucas ni ipi?? Kisa Allen???
