Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Three at the back I don't thing if we have mbadala wa Can kwa sasa. My point was on the long run.

My concerns for UEFA league ni muda mchache wa mazoezi plus jet leg, ila point yako ya kuwa FA ni ngumu ina-make sense...hebu angalia matokeo so far...

Cambridge United 0, 0 Man United

Rovers 3, 1 Swansea City

Man City 0, 2 Middlesbrough

Tottenham 1, 2 Leicester City

Southampton 2, 3 Crystal Palace

Chelsea 2, 4 Bradford


Ai!...kuna watu wamevuliwa nguo...

Nilikuwa nawahofia zaidi ChelShit na ManShit. Wametoka hao nadhani FA tunaweza kuwa na chance.

Advantage ya UEFA ni kuwa tukichukua trophy tunaingia kwenye UCL msimu ujao hata kama hatutaingia top 4.
 
Utumbo mtupu leo FA Cup ila FA Cup inaonyesha katika ligi za Europe ni Best MPaKA timu za uchochoroni kuliko spain Copa Del Ray, wachezaji wa kiengereza msimu mmoja good Mmoja bad ndio Lallana Yule Lallana Mie ananiuzi angekuwa Grame Souness angempa bonge la Bao la Uso angekazana Game za Kushinda 3 tunarembesha.
 
Utumbo mtupu leo FA Cup ila FA Cup inaonyesha katika ligi za Europe ni Best MPaKA timu za uchochoroni kuliko spain Copa Del Ray, wachezaji wa kiengereza msimu mmoja good Mmoja bad ndio Lallana Yule Lallana Mie ananiuzi angekuwa Grame Souness angempa bonge la Bao la Uso angekazana Game za Kushinda 3 tunarembesha.

Copa Del Rey unalijua au umeliona juzi tu unakuja kuongea humu? Kwa taarifa yako vigogo kama real Madrid tena full mziki kipindi hiyo Raul, Roberto Carlos, David Beckham washapigwa 3 na timu ya daraja la pili wakatolewa nje ya mashindano. Usiniambie kwa vile timu kama Chelsea kufungwa na Bradford ndio soka la Uingereza liko juu, sema timu mbovu mbovu ueleweke vema.
 
Copa Del Rey unalijua au umeliona juzi tu unakuja kuongea humu? Kwa taarifa yako vigogo kama real Madrid tena full mziki kipindi hiyo Raul, Roberto Carlos, David Beckham washapigwa 3 na timu ya daraja la pili wakatolewa nje ya mashindano. Usiniambie kwa vile timu kama Chelsea kufungwa na Bradford ndio soka la Uingereza liko juu, sema timu mbovu mbovu ueleweke vema.
Nimeliona Juzi.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hamjambo wote? Malafyale kaka nilifikiri nyie mtafanya maajabu mkasahau mwenzako akinyolewa wewe tia maji,hutu tutimu hutu tunawatoa watu wazima nishai.....hongereni kwa droo.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
BR slating MB kwenye media AGAIN.

MB hawez kupress!!!!???..so Lambert na Borini nao wanajua kupress????

BR's Management on MB has been very poor Aisee..kama anadhani ni njia ya kumuamsha, Well syo kwa kila mchezaji huwa inafakiwa..
 
BR slating MB kwenye media AGAIN.

MB hawez kupress!!!!???..so Lambert na Borini nao wanajua kupress????

BR's Management on MB has been very poor Aisee..kama anadhani ni njia ya kumuamsha, Well syo kwa kila mchezaji huwa inafakiwa..
Ameona ndio njia ya sababu..... BR hata ashinde game Ngapi ajue Ofisi msimu unaokuja top 4 nje ya top 4 vyote kazi Hana sababu Rafael Benitez na uhakika Asilimia kubwa Anarudi.
 
Ameona ndio njia ya sababu..... BR hata ashinde game Ngapi ajue Ofisi msimu unaokuja top 4 nje ya top 4 vyote kazi Hana sababu Rafael Benitez na uhakika Asilimia kubwa Anarudi.

Inasemekana FSG hawampendi Benitez..

But me nadhan FSG wangeuza Team kabisa!
 
BR slating MB kwenye media AGAIN.

MB hawez kupress!!!!???..so Lambert na Borini nao wanajua kupress????

BR's Management on MB has been very poor Aisee..kama anadhani ni njia ya kumuamsha, Well syo kwa kila mchezaji huwa inafakiwa..

The enemy of MB has been MB himself. Already BR has given him a host of chances - and I recall many LFC fans here gave BR lots of nasty stick because of that - but the nigger bottled it.

As a manager what do you do? Send your message across and this is what BR is doing...now it's down to MB to deliver or bolt back to Italy!!
 
Inasemekana FSG hawampendi Benitez..

But me nadhan FSG wangeuza Team kabisa!

Mkuu, na mimi FSG siwapendi kabisa. Sidhani kama kuna watu serious na mpira pale....they have got absolutely zero attention to details when it comes to player deals and dealings.
 
Tulichza vyema lkn bao halikupatikana!Tunaenda kuwatoa kwao

Tulikosa striker pale. Sterling ni mzuri kwa ku-take defenders out of position but he's not an Eden Hazard whose final ball is always a killer.

Kwa upande wa central midefield, tuna mchezaji mmoja tu pale - Cou.
Lucas & Hendo don't deliver consistently, and for me that's not LFC way.

Those areas need a lot of reinforcement next summer...
 
Coutinho naye is very poor kwenye finishing,LFC tuna mchezaji mmoja tu ambaye ni CAM anayejua how to score....ni yule dogo Joao Carlos Teixeira! Ningekuwa LFC manager,ningempiga benchi yule mpuuzi Raheem Sterling,nimpe chance dogo Texeira! Kwa wale msiomfahamu vizuri huyu dogo,muangalieni kwenye game yao na Arsenal leo...sterling ananiboa sana...sometimes natamani zile injury alzopata DS angezipata Sterling...a very stupid kid na anapambwa sana na media za england
 
Tulikosa striker pale. Sterling ni mzuri kwa ku-take defenders out of position but he's not an Eden Hazard whose final ball is always a killer.

Kwa upande wa central midefield, tuna mchezaji mmoja tu pale - Cou.
Lucas & Hendo don't deliver consistently, and for me that's not LFC way.

Those areas need a lot of reinforcement next summer...

CAN is just wasted kwenye CB. ni CM mzuri kuliko Henderson..and i cant believe next season Captain wetu atakuwa ni Henderson..
 
The enemy of MB has been MB himself. Already BR has given him a host of chances - and I recall many LFC fans here gave BR lots of nasty stick because of that - but the nigger bottled it.

As a manager what do you do? Send your message across and this is what BR is doing...now it's down to MB to deliver or bolt back to Italy!!

BR anaposema kwamba, kama huwez kupress huwez kucheza tena LFC huo ni ujinga..as a coach ulikuwa unajua kabisa kuwa MB hana mpira wa kupress, so kwann ulimsajili???

he used to slat Sakho kwenye media last season, mpaka summer akamnunua Lovren (LCB ambaye hatukumuhitaji kabisa)..lakin sahiv Sakho is proving kuwa jamaa alikuwa wrong sana...

me sijawahi kumuona MP akimuongelea vibaya Mangala kwa perfomances zake mbovu kwenye Media...

BR anasema MB alikuwa hajaumia, lakin ALIAMUA KUMUACHA tu..

me MB siwez kum-rule out mpaka nione anacheza sambamba na DS.
 
Back
Top Bottom