Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahahaha Mkuu my side is very well known to everybody who loves football katika jamvi letu mwanana 🙂. Hongera kwa ushindi wenu wa jana 2-0.
Hahahaha... Nshakushtukia tuuu! Poa mkuu, jana walau niliweza kupata nafasi ya kupumua maana Man U walizidi kutubana sana.

Sasa jamaa alimchelewesha Torres wapi? Anyway; labda ndo strategies za ushindi zenyewe hizi
 
Hahahaha... Nshakushtukia tuuu! Poa mkuu, jana walau niliweza kupata nafasi ya kupumua maana Man U walizidi kutubana sana.

Sasa jamaa alimchelewesha Torres wapi? Anyway; labda ndo strategies za ushindi zenyewe hizi

Labda Torres bado hajawa 100% ya kuweza kustahamili mikikimikiki ya 90 minutes, kwa hiyo anazoziweza labda ni 15 to 20 minutes tu kwa sasa.
 
Hizi kadi mbona nyingi wazee wa bwawa la maini walikamia sana huu mchezo?
 
Kazi imerudi kama mwanzo sasa........naona hiyo fourth spot kazi ipo......leo Villa wameshinda na Spurs nao wanaelekea kushinda pia....
 
Duh sasa hata kombe la mbuzi linataka kuwa kasheshe, dakika ya 18 Liverpool 0 - Unirea 1
 
Tumesawazisha, Liva 1- Unirea 1. Mascherano kapiga shuti kali kinoma
 
Captain Gerald kaongeza chumvi kwenye kidonda cha jamaa... Liva 3 - Unirea 1
 
Kidogo tunapumuwa sasa lakini kazi ipo last 16.....kuna Fenerbahce au Lille OSC wanatusubiri.....
 
Kidogo tunapumuwa sasa lakini kazi ipo last 16.....kuna Fenerbahce au Lille OSC wanatusubiri.....

hivi na nyie mpo?haya hongereni na ushindi wenu kwenye KIKOMBE CHA MBUZI
 
Congrats to liverpool, i missed this game!!😀
 
dk ya 30 liverpool 1 blackburn 0 lets hope for the best maana totenham wameshinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…