Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Hahahaha... Nshakushtukia tuuu! Poa mkuu, jana walau niliweza kupata nafasi ya kupumua maana Man U walizidi kutubana sana.Hahahahaha Mkuu my side is very well known to everybody who loves football katika jamvi letu mwanana 🙂. Hongera kwa ushindi wenu wa jana 2-0.
Sasa jamaa alimchelewesha Torres wapi? Anyway; labda ndo strategies za ushindi zenyewe hizi