Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Neil johnston alimnukuu BR kwamba SG ana shida ya hamstring na anahitaji kupumzishwa...au ni magumashi?

SG anapumzishwa kwaajili ya Everton, kama ataanza dhidi ya Bolton, basi itakuwa ni kwaajili ya kuongeza motisha kwenye team!!

but target ya BR kuhusu SG, nahis ni Everton..
 
SG anapumzishwa kwaajili ya Everton, kama ataanza dhidi ya Bolton, basi itakuwa ni kwaajili ya kuongeza motisha kwenye team!!

but target ya BR kuhusu SG, nahis ni Everton..

Mkuu habari za Ings zimefikia wapi? Huyu jamaa sitaki aje aisee
 
Mkuu habari za Ings zimefikia wapi? Huyu jamaa sitaki aje aisee

Pearce, King, Barret, Smith, Joyce wote wamereport..

Jamaa anaforce move, Burnley wanataka £5m, LFC wanademand £4m, hela ya Assaid ile, hawatak kuongeza hata senti...

lolote linaweza likatokea Aisee..

Tuombe lisiwezekane!!!
 
Liverpool quickly pull the plug on a potential exit for Lambert
Simon Jones: Aston Villa have been rebuffed in an attempt to sign Rickie Lambert on loan from Liverpool.
Manager Paul Lambert has been eager to add a striker but is struggling to get one in under budget.




 
Binafsi Naona kama tunafanya makosa sana kuacha january inapita bila striker kusajiliwa, hatujui kama D15 atamaliza salama au vp
 
Pearce, King, Barret, Smith, Joyce wote wamereport..

Jamaa anaforce move, Burnley wanataka £5m, LFC wanademand £4m, hela ya Assaid ile, hawatak kuongeza hata senti...

lolote linaweza likatokea Aisee..

Tuombe lisiwezekane!!!

Asked about reports that Burnley striker Danny Ings has signed a pre-contract with Real Sociedad, Balague "Spanish football expert" said: “He’s been compared to John Aldridge, they are looking for that. The pre-contract hasn’t been done yet.”
 
Yani mfano kama tungemleta Lacazatte kipindi hiki cha January alafu ile mwezi wa nane awe anaanza ligi kaizoea kama tulivyofanya kwa Dani, LS7 na Cou10 ingekua bonge la deal kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…