Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MB is our really hero maana angekosa pale baada ya kukiuka amri ya BR kuwa Hendo ndiyo mpiga penalty angeweza hata kukatwa mshahara

Sure aisee wht we wanted ni ushindi tu!!!na statistically hatukua na mpigaji mzuri wa penalty mle ndani zaidi ya Balotelli, ila uyu mtoto hii tabia yake sio nzuri. Aya penalty imepigwa na imefungwa but still aliendelea kununa

 
FACT :
Penalties, career stats:

Daniel Sturridge - 2 taken, 1 scored.
Jordan Henderson - 1 taken, 0 scored
Mario Balotelli - Official - 28 taken, 26 scored

I think.....Balo got it right....
 
Leo BR ametia angalizo kua JH hana guarantee kua liverpool's next captain.
nafikiri watu wanamuona kua as a automatic next captain but that is not necessary the case.....
nimefurahi sana Maana JH amejiona kua tayari keshapewa ucaptain....
 
Leo BR ametia angalizo kua JH hana guarantee kua liverpool's next captain.
nafikiri watu wanamuona kua as a automatic next captain but that is not necessary the case.....
nimefurahi sana Maana JH amejiona kua tayari keshapewa ucaptain....

safi sana... kwanza hata mkataba mpya hajasaini

This is great news
 
Leo BR ametia angalizo kua JH hana guarantee kua liverpool's next captain.
nafikiri watu wanamuona kua as a automatic next captain but that is not necessary the case.....
nimefurahi sana Maana JH amejiona kua tayari keshapewa ucaptain....

Good, alafu nadhani BR atakua amerudia hii kitu maana alishawahi kusema before kua Hendo kua vice haimpi guarantee ya kuja kua nahodha LFC
 
Liverpool manager Brendan Rodgers insists Mario Balotelli was the right choice in penalty 'drama' ahead of Jordan Henderson

Brendan Rodgers has confirmed Mario Balotelli was right to take the penalty that secured Liverpool a crucial Europa League win as he clarified the moment of controversy.
The Italy striker was accused of being a little bit disrespectful by Steven Gerrard after he took the ball off Jordan Henderson in the dying moments of their last 32 clash with Besiktas.
But Rodgers, who feels 'a drama' has been made out of the incident, explained the system that is in place for what happens if Liverpool get a penalty.
Gerrard is the No1 taker but, in his absence last night, Henderson was designated to take over, given that Balotellli was a substitute. Once Balotelli came on, however, he was entitled to take charge of the situation as Rodgers says he is Gerrard's deputy.
Rodgers said: 'Steven and Mario are the top two penalty takers, but obviously neither of them were on the pitch at the start so you have to nominate someone. Jordan was nominated, but when we had a penalty Mario had come onto the field.
'So Jordan, being someone with responsibility and trust, gave the penalty to Mario so there was no issue. There was a little bit of a kerfuffle around it because he wanted to make sure Mario was happy to take it, but that was it really.

'I always assign responsibility every single game and I think in my time here that was been the first time this has ever reared its head. We have a whole raft of penalty takers here who are outstanding. Rickie Lambert has hardly missed a penalty in his career, so there is another taker if he is on the pitch.
'If you are the vice captain and the captain is on the bench and then he comes on, then it is the etiquette to give him the armband. It is a similar thing with the penalty.
'If Steven is on the field there is no drama. He is the first choice penalty taker. After that if Mario is on the field he takes the penalty. His history shows he scored nearly 30 penalties in big games and he is an outstanding penalty taker.
'But at the start none of them were on, so Jordan was the nominated penalty taker. Jordan was happy enough to take it, but he gave it to Mario. It is his goal there is no drama.'
Rodgers, whose side travel to Southampton on Sunday, was quick to praise Henderson for his maturity in the situation but he made a point of stressing that no decision has been made about whether the England international will take over the club captaincy when Gerrard eventually moves to LA Galaxy.
Rodgers said: 'Jordan showed what a team player he is. Mario is an outstanding penalty taker and we won the game. Jordan showed what a leader he is.
'People see him as that automatic next captain but that is not necessarily the case. People are trying to catapult him into the next Steven Gerrard but he is a totally different player. He is working his role very well. It is a very, very important role.'


 

Rodgers says: "There has been a lot more drama made about it from you [the media] than us. It's very clear who the penalty takers are. When Steven plays he is number one. With the players on at the start of the game Jordan was nominated penalty taker.
"But if Jordan, Steven and Mario are on the pitch at the same time then we normally have Steven or Mario take penalties."
 
Well said Rogers...

No gurantee JH will be next captain and for me nooo... i will give to Skatel or Sakho as he is the french Capt now...

Sturridge and RS have egos and british media support them but for me MB can still make is at Liverpool...
 
Halafu huu 'uingereza' ndo unaifanya timu yetu ionekane average.Kuna wachezaji pale wanakuwa overrated sana kisaeti ni waingereza!Nao wanavimba kichwa na kujiona wao ndo waamuzi wa kufanya kila kitu.

Kitu gani hasa kimemfanya Handerson kuwa vice captain zaidi ya uingereza wake?Yeye ni mchezaji muhimu zaidi baada ya Gerrad?

Na kwa nini timu yenye wachezaji wa mataifa mbalimbali ionekane ni sahihi tu kuwa na makepteni wote wawili wataifa moja zaidi ya huo uingereza wa kiboya?

Kinachomfanya Sterling atake kulipwa mahela mengi huku output yake kwenye timu haionekani kivile ni nini zaidi ya huo uingereza?

Sturrigde kutojisikia vizuri Baloteli kupiga penati ni nini zaidi ya huo uingereza wao yeye na JH?

Kinachomfanya Allen awe mchezaji anayeanza huku uwezo wake ukionekana bila ubishi kuwa ni mdogo ni ninizaidi ya huo uingereza wao?

Mimi binafsi naona mtu anayefaa kabisa kuwa kiongozi baada ya Gerrag ni lazima awe nguzo muhimu kwenye timu,akikosekana pengo laki lipo wazi kabisa.Martin Skrtel

Mchezaji mpiganaji anayepigana timu ishinde,sio yeye asifike.Anaisaidia timu kwenye mazingira magumu hata kama ameumia.Martin Skrtel,refer mechi na arsenal christmass season

Ni mhamasishaji na wenzake hujisikia comfortable kuwa nae kwenye pitch.Martin Skrtel

Hapewi armband just for one reason,sio mwingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…