Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tores,mimi siendeshwi na matukio! Wakati wenzetu wanahesabu trophies,sisi tunahesabu clean sheets na kujisifia! Ridiculous! BR is a championship mediocre team! Ugomvi wangu na BR upo kwenye transfer dealings tu,na ego zake za kijinga! This man has won us nothing! Hizo tactics sijui nin,ndo kazi yake aliyoajiriwa kuifanya pale! Personally I will start rate him as a LFC manager,when he'll win atleast one major trophy,bring in atleast one world class player,make us compete at the highest competitions consistently,na sio kwa kumfunga mid table SOTON tu.

aisee kama umecopy kichwan kwangu af ukapaste kwako....yaan wana liver nikama wamesahu kipind tulichopitia uko nyuma IV KWA MAFANIKIO YA LAST SEASON TULIJUA HUU MSIMU TUTAKUWA TUNAGOMBANIA NAFAS YA NNE??? AAAAHAAAHAAAHAAA..AU TUMESAHAU KUWA UBINGWA ULIKUA NI BONUS NA DIS SEASON NDO UBINGWA NDO YALIKUA MALENGO ?...au atuon kwa MOU alisema last season anaandaa kikosi kwa ajil ya dis season na nadhan mnaona mambo ya livo.
 
Last edited by a moderator:
Me siyo ant-Br ila lazima nii-criticize timu inapokosea haya matokeo positive yametufanya kusahau (for yesterday), how you react personal ulipoiona line up..? (me nusura niahirishe kwenda kucheki game ila nilipiga moyo konde sababu niliahirisha shughuli zangu nyingine nyingi mapema)

Hebu tujaribu ku-think negavite side how can we react kama tungefungwa..?

Ingekuaje kama Cou asingechukua maamuzi magumu ya ku-shoot kwenye lile eneo? Ambazo tulizoea kuziona kwa G8, Riise, Alonso...

What the end results kama refa angeona Lovren alivyoshika ndani ya boksi...?

Tungezungumza nini time hii kama mshika kibendera angekuwa-onside kuhusu tukio alilolifanya Mignolet la kudaka out of the box.. ?

Ukitaka uaminiwe onyesha kuwa unaamika,BR kasababisha watu wasiwe na iman nae tangu mwanzon mwa ligi..so kurudisha iman ilopotea sio rahis kiivo..
 
JOÃO CARLOS "Vilaca" TEIXEIRA IS FUCKING READY!!!!

BR BRING THE FUCKING KID INNNNN!!!!!!

HAHAHAHAHAHAHAHAHHAHA!!

LFC BHANAAA!!!!
 
Next Summer, Ni Pjanic tu na Back Up GK!!!!

Ilori anarud Next season (Kolo anaondoka)

FLANAGAN atakuwa fit zaid next season!!!

MANQUILO is there (his time will Come tu)

WISDOM can be called back anytime!!

TIME for Rossiter and Chivierla and Canos to step up!!!

Then you Got, Origi and Ojo (Sema angalau Mr.Ojo kwa mbaaaaali)..

Cant wait to watch Ilori in them new kits!!!

LUIS ALBERTOOOOO!!!!!
 
Next Summer, Ni Pjanic tu na Back Up GK!!!!

Ilori anarud Next season (Kolo anaondoka)

FLANAGAN atakuwa fit zaid next season!!!

MANQUILO is there (his time will Come tu)

WISDOM can be called back anytime!!

TIME for Rossiter and Chivierla and Canos to step up!!!

Then you Got, Origi and Ojo (Sema angalau Mr.Ojo kwa mbaaaaali)..

Cant wait to watch Ilori in them new kits!!!

LUIS ALBERTOOOOO!!!!!

Meanwhile, BR ana mipango tofauti na hii, hakawii kuwaleta kina Essien, Mavuba na Santoni
 
Mkuu, usinikumbushe machungu miaka ile Manure walivokuwa wana-dominate league. Kuna games nyingi tu ilikuwa wapoteze lakini unakuta refereeing decisions zilikuwa zinawa-favour sana hadi nilikuwa nadondosha chozi, imagine!

Ubabe na ulalamishi wa Fergie (naona na Mourinho naye sasa anatumia sana ujanja huo) ulikuwa una-influence sana marefa.

Baada ya kushinda game controversially, kwenye post-match interview utakuta Fergie anasema "....sometimes you have decisions for you, sometimes against you. In the course of the season things even themselves out....". Pathetic!!

Kama tunapata decisions sasa in our favour sisi siyo wa kwanza bana!

Kweli mkuu

Ila zile kwetu hazijuwa favour bali nilikuwa nacheki zile human error za referees zisingekuwepo (yaani wangekuwepo on right zone for a right time)
 
BR.jpg
 
Tangu mwaka upinduke tumekushanya points nyingi kama msimu uliyopita

1: Liverpool DWWWDWW - 17 points
2: Arsenal LWWWLWW - 15 points
3: Chelsea LWWDWWD - 14 points
4: Southampton WWWLWDL - 13 points
5: Tottenham WLWWWLD - 13 points
6: Man City WDLDDWW - 12 points
7: Crystal Palace DWWLWDL - 11 points
8: Stoke DLWWDLW - 11 points
9: Man Utd DLWWDWL - 11 points
10: West Brom DWDLDWD - 10 points
11: Hull WLLLDWW - 10 points
12: Swansea DDLWDLW - 9 points
13: West Ham DDWLDDD - 8 points
14: Everton LDDWDLD - 7 points
15: Burnley DWLLDLD - 6 points
16: Newcastle DLLWDDL - 6 points
17: Sunderland LLLWDLD - 5 points
18: Leicester DWLLLLD - 5 points
19: QPR DLLLLWL - 4 points
20: Aston Villa DLLLLLL - 1 point
 
Tangu mwaka upinduke tumekushanya points nyingi kama msimu uliyopita

1: Liverpool DWWWDWW - 17 points
2: Arsenal LWWWLWW - 15 points
3: Chelsea LWWDWWD - 14 points
4: Southampton WWWLWDL - 13 points
5: Tottenham WLWWWLD - 13 points
6: Man City WDLDDWW - 12 points
7: Crystal Palace DWWLWDL - 11 points
8: Stoke DLWWDLW - 11 points
9: Man Utd DLWWDWL - 11 points
10: West Brom DWDLDWD - 10 points
11: Hull WLLLDWW - 10 points
12: Swansea DDLWDLW - 9 points
13: West Ham DDWLDDD - 8 points
14: Everton LDDWDLD - 7 points
15: Burnley DWLLDLD - 6 points
16: Newcastle DLLWDDL - 6 points
17: Sunderland LLLWDLD - 5 points
18: Leicester DWLLLLD - 5 points
19: QPR DLLLLWL - 4 points
20: Aston Villa DLLLLLL - 1 point

Tafadhali aione Ntuzu.
 
Last edited by a moderator:
[h=1]Fernando Torres set to return to LFC for Gerrard farewell match at Anfield[/h]
resize


Steven Gerrard has confirmed that he will be leaving Liverpool at the end of the season to play for the Los Angeles Galaxy in the MLS.
​
​​According to a report in Diario AS one of those players is now confirmed. Fernando Torres is currently at Atletico Madrid but had an excellent time at Liverpool earlier in his career. He left the club in 2011 for Chelsea.
He is not the only big name invited by Liverpool captain. Luis Suarez and Javier Mascherano have both been invited as have Bayern Munich duo Pepe Reina and Xabi Alonso.
​
​The game is due to take place during the international break on March 29, and AS claims Gerrard has been calling former team-mates across Europe to get them involved.
​
​Real Madrid right back, Alvaro Arbeloa is also expected to join the Spanish contingent for a Liverpool return at the end of next month.

 
Ukitaka uaminiwe onyesha kuwa unaamika,BR kasababisha watu wasiwe na iman nae tangu mwanzon mwa ligi..so kurudisha iman ilopotea sio rahis kiivo..

Binafsi, sijawahi hata siku moja kupoteza imani kwa BR this season. Not after transforming our team into an entertaining outfit, needless to mention our colourful last season.

What has happened early this season to BR used to happen countless times with Fergie back then - the only difference is that Fergie had those top players at his disposal to bail him out much earlier in the season.

So, kinachokosekana kwa LFC ni serious involvement ya FSG kwenye LFC football affairs. We need top top top players on the planet kama tunataka kupata any silverware....and this is not up to BR. Seriously.

Spend £200m on:
a top GK
2 top CBs
2 top CMs
1.5 top strikers

.....and don't forget to pay them handsomely. Refer ManCity & Chelsea...

Kikosi kilichopo sasa is a bunch of average charges....we can't win anything with it. Ask Wenger.
 
Next Summer, Ni Pjanic tu na Back Up GK!!!!

Ilori anarud Next season (Kolo anaondoka)

FLANAGAN atakuwa fit zaid next season!!!

MANQUILO is there (his time will Come tu)

WISDOM can be called back anytime!!

TIME for Rossiter and Chivierla and Canos to step up!!!

Then you Got, Origi and Ojo (Sema angalau Mr.Ojo kwa mbaaaaali)..

Cant wait to watch Ilori in them new kits!!!

LUIS ALBERTOOOOO!!!!!

Nakubali hawa waje tu mkuu, lakini kama squad players only. What LFC actually need is to spend £200m on at least 5 WC players if we want to win the EPL and/or CL kwenye zama hizi.
 
Nakubali hawa waje tu mkuu, lakini kama squad players only. What LFC actually need is to spend £200m on at least 5 WC players if we want to win the EPL and/or CL kwenye zama hizi.

si utakuwa Unafumua kikosi Chote tena???

We just need a back up GK, A player wa kuchukua part ya SG na Dynamic ST mmoja!!
 
Back
Top Bottom