now ozil yuko more stronger..na akiwa katka ubora wake coutinho wenu hafui dafu
now ozil yuko more stronger..na akiwa katka ubora wake coutinho wenu hafui dafu
Ha ha ha ha ha kweli Ozil "now yuko more stronger" nimeona kawatesa Monaco leo dah
Has Fabinho let Ozil out of his back pocket?
Ukimuacha Sanchez, the rest of Arsenal midfielders are shite
you mean cazorla pia ni shit au kwa mujibu wa mechi ya leo km ni hivyo sawa..lkn si kuniambia
ramsey,cazorla,chambo are shits
Teh teh, Mesut Ozil is a magician,he disappears in big games😂😂😂😂😂
Kesho pale Atartuk..Henderson..Sakho...Glen & Gerard wote ni injured..Coutinho kapewa rest baada ya kucheza game 19 kwa mfululizo. Enrique na Leiva bado wagonjwa kama kawa...Captain atakua Skrtel.
BR tunaomba tuone combination ya Balo na sturridge itakuaje afu naboeka kuona Raheem akiwa striker..Na pia muweke Emre middle tuone kama yeye ndo mrithi dhabiti wa Stevie G...
Balo na DS
Hii combination haitokua coz DS no selfish na balo sio muongeaji kama suarez
siku mbaya oficin leo...
Wadau leo nimekaa na kujiuliza hivi ni nani atawaongoza wenzake leo kama captain? pale tutakapo shuka dimbani uturuki
Maana ##G8 yuko injury, ##Hendo naye yuko injury, ##Lucas naye nasikia bado majeruhi, ##Sakho naye injury, Labda ## Toure ila sizani kama atapangwa....
YNWA....Skatel!!!
Wadau leo nimekaa na kujiuliza hivi ni nani atawaongoza wenzake leo kama captain? pale tutakapo shuka dimbani uturuki
Maana ##G8 yuko injury, ##Hendo naye yuko injury, ##Lucas naye nasikia bado majeruhi, ##Sakho naye injury, Labda ## Toure ila sizani kama atapangwa....
YNWA....Skatel!!!
Tatizo la Skrtel ni Lugha na upole..lakini yeye ndo alitakiwa awe captain msaaidizi, Hendo naona bado aja mature..Game ya leo yeye ndo captain lakini!!
Wadau leo nimekaa na kujiuliza hivi ni nani atawaongoza wenzake leo kama captain? pale tutakapo shuka dimbani uturuki
Maana ##G8 yuko injury, ##Hendo naye yuko injury, ##Lucas naye nasikia bado majeruhi, ##Sakho naye injury, Labda ## Toure ila sizani kama atapangwa....
YNWA....Skatel!!!
Hivi kumbe skatel lugha ya malkia haipandi?