Pole sana...najua unaumia..lakini ndiyo mpira huo chifu...
Una matatizo wewe, kudhulumiwa hukuona pale ambapo mnafanyiwa nyinyi. Kwa Gerard ni red card lakini kwa Jones si red card kwa makosa yale yale!!! Mpira unastahili kuwa na maamuzi ya haki kwa pande zote mbili na si ya upendeleo huo ndio mpira si huu mpira unaoupigia debe wewe.
Wapi nimesema kwa Jones siyo red card!? Arifu niaje bana?
Huu ndiyo utamu wa soka 
Hongereni sana Man U......ila mbio za top 4 ndio kma zimekolea, msitu rule out
Bado tuna nafasi ya kuqualify for champions league. 8 games anything can happen
Utamu wa soka ni pale timu inapopata ushindi wa haki na siyo ushindi kama huu, unajua kuhusu ushabiki wangu mimi mara nyingi huwapongeza pale mnaposhinda hata kama ni kutufunga gunners, lakini huu ushindi wa kuwa 12 uwanjani dhidi ya 10 siufagilii kwani nanyi mlistahili kabisa kubaki 11.
Refa kawapa points 3 leo!Wa kwanza kutoka alistahili awe Jones then SG
Penalty ya ajabu kabisa pia!!
SG gave them a game
Poor challenge from the most experienced player in the league
Pole sana mkuuMechi kubwa kwa BR
Mechi kubwa kwa Liverpool
Tutashinda
Refa kawapa points 3 leo!Wa kwanza kutoka alistahili awe Jones then SG
Penalty ya ajabu kabisa pia!!
Nakumbushia ile ban yako au na leo unabadilisha maneno?Refa kawapa points 3 leo!Wa kwanza kutoka alistahili awe Jones then SG
Penalty ya ajabu kabisa pia!!