Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alicho ki-post Skrtel IG after 3 match ban baada ya appeal yake kukataliwa
Alicho ki-post Skrtel IG after 3 match ban baada ya appeal yake kukataliwa
Mkuu hapa alimaanisha nini. Sijamuelewa
Mkuu hapa alimaanisha nini. Sijamuelewa
Kwamba FA is more than a joke na hii inaweza m backfire akaongezewa game hadi 2 zaidi
Ukifungiwa tena baada ya kushindwa rufaa yako haina haja ya ku mock maamuzi ya FA
Some time FA ni wapumbavu na wabaguzi. Issue ya Suerez Vs Evra na Terry Vs Ferdinand.
Ni kweli mkuu
Lkn alipaswa kutumia hekima tu kuwa kwa sasa Liverpool inamuhitaji Skrtel kuliko kipindi chochote kile
Kweli Lovren ndiyo tumtegemee Emirates jamani?
Soo sad, na huu mfumo wake ni lazima aubadilishe na akiung'ang'ania tutapoteza nusu ya mechi zilizobaki
Mkuu hapa alimaanisha nini. Sijamuelewa
Ngoja aongezewe bakhshishi ndiyo atapata akili...
Ngoja tusubiri tuone mwisho wake