hakuna hiyo kitu, Ben smith na kina James Pearce wanasema Sanchez hajawaambia LFC kuwa hayupo interested..
Ni LFC tu, ambao wameoffer Wages za kijinga (na huo ndo ukweli ambao tunaukwepa sana kuuamini)..
LFC, for the past 3 years wameshindwa kuwin any battle katika kugombania mchezaji na team zingine..hiyo ndo FACT..
Na nadhan hyo transfer commitee imeharibu kila kitu..
Kipindi cha Benitez, Xabi Alonso prefered zaid kuliko hata tunavyoaminishwa kuhusu sanchez, move ya kwenda Arsenal over Liverpool..
Lakin at the end akaishia LFC..kipind kile kina comolli walikuwa wanaijua transfer market..
Ayre, alsema the same thing kuhusu MK, salah, Willian na Dempsey kuwa waliprefer kwenda chelsea, Dortmund na Spurs effectvely..
Na sahv anatuaminisha hivyo kwa sanchez..
Mkuu
the maginificent na wewe unaBuy ---- iliyosemwa jana kwenye LiverpoolEcho kuwa Family ya Sanchez inapenda kuishi London, ndo maana LFC walishindwa kumconvice Sanchez?..kisa London???
Swali ambalo tunatakiwa tujiulize kama Liverpool fans, ni kwann LIVERPOOL for the past 3 or 4 years inashindwa kukamilisha BIG SIGNING???