Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What was BR thinking sasa kuna hatari ya kuikosa £14 from sunderland aaaaagh
Bid yake Liverpool wali accept, tatizo Borini mwenyewe ndio hataki kurudi Sunderland, kadai yupo tayari kupigania nambq.
Mimi sijaona why hatukumjaribu james Rodriguez...kauzwa cheaper kumbe kuliko Suarez...tunge komaa who knows..
Quote of the day: Coutinho is the brain of the team-BR
Quote of the day: Coutinho is the brain of the team-BR
Kwa maana hiyo timu ndio itatengenezwa kupitia Coutinho? Tatizo hawa wachezaji wa South Amerika wakiwika tu akili zao zinahamia kwenda kuchezea Barca na R.Madrid. Tusije kushangaa na yeye kuja kutukimbia baadae.
Timu inanitisha, wamefungwa jana hawaonyeshi kusikitika.... Kufungwa ni gundu hata kama ni chandimu
Mkuu,mechi zenyewe hz hata zinavyochezwa hazieleweki eleweki
umenena vema! Kuna watu sijui hbr wanazisomaga wapi tu
Timu inanitisha, wamefungwa jana hawaonyeshi kusikitika.... Kufungwa ni gundu hata kama ni chandimu
Nafikiri kuna ufinyu wa uelewa wa kwenye nilichokiandika sijaongelea Borini kukataa kuuzwa. I wrote what I wrote after a recent friendly game try to think eeeh!!?
Ooh...come down mate! Tunajenga nyumba moja ndugu
Definitely, tuko kwenye ujenzi mmoja na ndiyo maana is better kuelewa mwenzako alimaanisha nini kabla ya kumjibu la sivyo itakuwa kama wale waliokuwa wanajenga mnara wa Babeli nimehuzunishwa na kuumia kwa mchezaji wetu and not otherwise