MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
nimeongea jana hapa, kuhusu hii saga ya Remy, kina The Magnificent na rubaman wakawa wanaona kama nalalamika sana!!
Remy KATOSWA kwasababu ya BORINI..
Na ni upuuzi kuona unamtosa mchezaji ambaye alikuwa na uwezo wa kufikisha magoli 15-20 akicheza na kina Anita, boby zamora, Sissokho, Ameobi..kwa ajili ya mchezaji ambaye kacheza na kina luis suarez, SG na kina Phill..na hakufikisha hata magoal ma3..
Vyombo vya habari vinamtia kiburi sana BR, anajiona kama Fergie au Mourinho..Atafeli vibaya sana.
Remy KATOSWA kwasababu ya BORINI..
Na ni upuuzi kuona unamtosa mchezaji ambaye alikuwa na uwezo wa kufikisha magoli 15-20 akicheza na kina Anita, boby zamora, Sissokho, Ameobi..kwa ajili ya mchezaji ambaye kacheza na kina luis suarez, SG na kina Phill..na hakufikisha hata magoal ma3..
Vyombo vya habari vinamtia kiburi sana BR, anajiona kama Fergie au Mourinho..Atafeli vibaya sana.
Last edited by a moderator: