Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool itapotea sana next season kama itaendeleza ujanja ujanja wa kutoleta an established ST au AM..

Ukiachana na Uinjury prone wa Danny, pia he's not enough kabisa kuifanya LFC ikompete kwenye titles au even top4..Danny ni mtu wa kuumia muda wowote ule, ndo maana niliskitika sana tulvyomkosa Remy..

Bony, ni ST mzuri kwa kiwango chake, but sidhan kama atafit katika mfumo huu wa LFC (iwe diamond au xmas tree)..hawez, hana pace, hana extra skills, na kikubwa HE'S NOT VERSATILE kabisa (ni kama carrol,demba Ba, Negredo, Soldado, Lukaku, Etc)..bora kuna wenzake hapo wana ile pace, lakin BONY hana pace, hawez kwenda sawa na pace ya kina Raheem, Markovic, lallana, phill, ibe, Suso, au kina kina Can na Hendo wakiwa wanadrive kutoka katikati..wachezaji kama hawa wanahitaji ST ambaye ananyumbulika, Bony hawez kuforce kuingia ndan ya box akiwa na mpira, either iwe pemben au katikati (tofaut na Suarez na Danny)..ili BONY ashine LFC, BR atahitajika kubadilisha mfumo, na kumsimamisha ST mmoja mbele..and we saw that last season, Aliposimama Danny peke yake, MIGS ndo alikuwa Hero wetu kwenye game zile SITA za mwanzo bila Diaz, tulikuwa tunashinda bao MOJA MOJA tena kwa presha sana..na hata Diaz kipind flan alivyosimama Peke yake, tulsttuggle (ni mpaka coutinho alivyokuwa anaingia kucheza deeper akitokea kulia, ndo suarez alilishwa mipira mingi sana).Na unapocheza na COUTINHO lazima uwe na Pace sana, Coz yupo fasta saaaana katika link Ups

Sioni sababu ya kuwa na HELA nyingi, afu uende kumsajili BONY..wakat kuna options kibao out there (ST kibao wapo kwenye market sahiv)

With BONY(kama akija) and DANNY as our main STs i cant see us going anywhere...
Humjui bony kabisa.... He is pact, skillful, powerful and accurate
 

Attachments

  • 1407070717699.jpg
    1407070717699.jpg
    176.7 KB · Views: 107
Winfrey bony Anajua mpira, ana kasi, ana positioning mzuri sana na anamudu sana fast soka ya Liverpool....
 
Wakuu kuna maendeleo yyt kwa Moreno?

Maendeleo ya Moreno kutoka vyomba vya habari Spain wanakwenda vema,Tayari Liverpool wamekubaliana na mchezaji kumpa mkataba wa 5yrs kwa kila mwaka €1.5m kilichobaki ni Sevilla wao wanataka chochote watakachokuliana na Liverpool walipwe cash kwa Lengo la kutumia cash hiyo kutafuta mshambuliaji mwingine.
 
Maendeleo ya Moreno kutoka vyomba vya habari Spain wanakwenda vema,Tayari Liverpool wamekubaliana na mchezaji kumpa mkataba wa 5yrs kwa kila mwaka €1.5m kilichobaki ni Sevilla wao wanataka chochote watakachokuliana na Liverpool walipwe cash kwa Lengo la kutumia cash hiyo kutafuta mshambuliaji mwingine.

Huyu kuja ni muhimu zaidi hata ya Reus!Huku Flano kule Moreno haki naapia tunapiga yyt yule!

Pia tutajivunia sana benchi letu
 
Huyu kuja ni muhimu zaidi hata ya Reus!Huku Flano kule Moreno haki naapia tunapiga yyt yule!

Pia tutajivunia sana benchi letu

Kweli mkuu! Halafu deal la Javier Manquilo is done kakwea pipa to anfield kwa ajil ya medical. Naona dogo ataleta upinzani kwa flano na Gj kama atamantain kiwango.
 
Huyu kuja ni muhimu zaidi hata ya Reus!Huku Flano kule Moreno haki naapia tunapiga yyt yule!

Pia tutajivunia sana benchi letu

Hivi huyu Moreno ni mzuri kiasi gani wakuu maana isije ikawa kama ya Paul Konchesky au Andrea Dossena.
 
Hivi huyu Moreno ni mzuri kiasi gani wakuu maana isije ikawa kama ya Paul Konchesky au Andrea Dossena.
Ikatokea Kama Kinchesky nitalia moyoni duh hehehehe! tello mkuu chebi najuwa unaipenda Barca ila Tello si mchezaji wa kuchezea LFC wala timu zozote kubwa ndio kachezea Taifa kubwa Kama Barca ila Tello kapata sifa tu za kusifiwa nilikuwa nikiomba sana Tello asije LFC mpira wake bora kumtengeneza Ibe kwenye umaliziaji.
 
Hivi huyu Moreno ni mzuri kiasi gani wakuu maana isije ikawa kama ya Paul Konchesky au Andrea Dossena.

Nimemuona Youtube!Moreno mzuri sana kwenye kushambulia na kuanzisha mashambulizi!

Kuwa na caps 5 kwenye senior team kwa nchi yake Spain hadi sasa kwa umri wa miaka 22 tu kunajidhihirisha kuwa ni mzuri
 
Back
Top Bottom