The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
A.Moreno is now a LFC player...atavaa jezi no.18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alberto moreno kashatangazwa rasmi www,liverpoolfc,com lfc ynwa! Game ijayo atacheza kwenye majaliwa ya kuwa hai.
Waje tuwapige 3-0 kesho tujitaharishe wageni wataojaa Humu watachungulie kwa uchungu kesho LFC tu napiga mtu 3-0.Bring them Southampton tomorrow...!
Hahahahahaha! Mkuu ume-note kitu gani ktk iyo kauli?
Waje tuwapige 3-0 kesho tujitaharishe wageni wataojaa Humu watachungulie kwa uchungu kesho LFC tu napiga mtu 3-0.
Hapo ndo patakuwa patamu...afu tunakaa kileleni with a clean sheet!
YNWA.
BR is not a man to be trusted rather he should be believed.
Nasema hivyo kwa kua hana tactics za kubadili mbinu za mchezo hasa pale PLAN YAKE INAPOFELI.
Ni kocha mzuri kwa kua ametufikisha hapa tulipo sasa lakn hana mbinu za kubadili matokeo ya gemu tunazozidiwa.
Kingine ni kwamba hawezi kufanya mabadiliko yanayocorrespond na mapungufu yaliyopo uwanjani!!!!.
Ukitaka kuthibitisha hili review mechi tulizofungwa chini ya uongozi wake.BR anategemea aanze gemu kwa speed kubwa sana ili apate magoli ya mapema then baada ya hapo timu inalegea.
Blac kid ameshakujibu.....amemaliza ......sina cha ziada cha kuongeza ktk hili.
Mkuu umekuwa biased kwenye assesment yako.Kwanza, unaposema BR hana mbinu ya kubadili matokeo ya mechi tulizozidiwa unazo takwimu za mechi tulizotanguliafungwa tukajashinda? unakumbuka tactic zilizotumika kwenye mechi nne za mwanzo mwa msimu? mfano gemu ya villa na stoke? Pili, kuhusu mabadiliko hata wewe ungekuwa kwenye lile bench ungepata shida hiyo hiyo. Timu haikuwa na depth hata kidogo, akiwepo suarez na sturridge ndani sub ni aspas na moses, unafanyaje hapo?BR is not a man to be trusted rather he should be believed.
Nasema hivyo kwa kua hana tactics za kubadili mbinu za mchezo hasa pale PLAN YAKE INAPOFELI.
Ni kocha mzuri kwa kua ametufikisha hapa tulipo sasa lakn hana mbinu za kubadili matokeo ya gemu tunazozidiwa.
Kingine ni kwamba hawezi kufanya mabadiliko yanayocorrespond na mapungufu yaliyopo uwanjani!!!!.
Ukitaka kuthibitisha hili review mechi tulizofungwa chini ya uongozi wake.BR anategemea aanze gemu kwa speed kubwa sana ili apate magoli ya mapema then baada ya hapo timu inalegea.
Hujui kabisa unachosema... Br changes tactics anavyotaka na kwa smoothness ya ajabuBR is not a man to be trusted rather he should be believed.
Nasema hivyo kwa kua hana tactics za kubadili mbinu za mchezo hasa pale PLAN YAKE INAPOFELI.
Ni kocha mzuri kwa kua ametufikisha hapa tulipo sasa lakn hana mbinu za kubadili matokeo ya gemu tunazozidiwa.
Kingine ni kwamba hawezi kufanya mabadiliko yanayocorrespond na mapungufu yaliyopo uwanjani!!!!.
Ukitaka kuthibitisha hili review mechi tulizofungwa chini ya uongozi wake.BR anategemea aanze gemu kwa speed kubwa sana ili apate magoli ya mapema then baada ya hapo timu inalegea.
Mkuu kayasema mwenyewe hayo, au amelishwa maneno na wanablogger?
Mkuu umekuwa biased kwenye assesment yako.Kwanza, unaposema BR hana mbinu ya kubadili matokeo ya mechi tulizozidiwa unazo takwimu za mechi tulizotanguliafungwa tukajashinda? unakumbuka tactic zilizotumika kwenye mechi nne za mwanzo mwa msimu? mfano gemu ya villa na stoke? Pili, kuhusu mabadiliko hata wewe ungekuwa kwenye lile bench ungepata shida hiyo hiyo. Timu haikuwa na depth hata kidogo, akiwepo suarez na sturridge ndani sub ni aspas na moses, unafanyaje hapo?
Au umefunga 3 halafu unapigwa 2 za fastafasta, unaona kabisa dakika zmebaki chache na defenders wameelemewa, sub yupo tuore unaona ngoja nitoe striker au attackng midfielder mmoja niweke beki akaongeze nguvu backline ulinde hako kagoli kamoja, cha ajabu huyo beki uliyemweka ndo anakufunga, full tym kibao kinasoma draw ya 3 kwa 3. Hahahahahahahaha!