man city atacheza na chelsea ndani ya mechi 5 tu zijazo..
kumbukeni mwaka jana chelsea ilifunga liverpool njea na ndani. pia ilifunga city nje na ndani..
chelsea wako vizuri sana kimfumo kuliko LFC...
kumbukeni mwaka jana chelsea ilifunga liverpool njea na ndani. pia ilifunga city nje na ndani..
chelsea wako vizuri sana kimfumo kuliko LFC...
Na ukumbuke msimu uliopita hizi timu ndogo ndio zilimpa Chelski shida sana.
Kumbuka ndio timu pekee ambayo Man city ilishindwa kuifunga....
Wakiweza kuzifunga timu ndogo msimu huu nadhani hizi ''big four' teams hazitawapa tabu sana..!
I'm an #arsenalFan though..!