Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Msipende kila wakati kukimbilia kutoa lawama, hata angefanya kwa kufuata mtazamo wako stil mngefungwa lawama ungezipindua tena, soka Lina mambo mengi .... Narudia kusema mpira wa sasa ni pesa, man city ni timu iliyotumia pesa nyingi kuwekeza Ktk soka na kwa Muda mrefu , liver hawajafanya na wakifanya ni mambo ya bei rahisi , ifike wakati watu wakubali kushindwa

Your not an LFC fan, so u dont know what the ----ing you talking about..

Tunachoangalia hapa ni uhalisia, kwenye mpira kuna kushinda, kuwin ma kuloose, but inategemea umeipanga team kias gani mpaka ufikie kufungwa..makosa madogo madogo yanaweza kufutwa tu kama kocha akiwa makini..

Moreno ni mchezaji mpiya, Hajacheza a competitive match tangu ile fainal ya Europa League dhid ya Benifica, leo hii unakuja kumuanzisha kwenye game ngumu ya away tena dhidi ya Watetezi wa EPL??(ungefanya hivyo kama ungekuwa kocha???) je Mangala wa Man city yupo injured? the answer is NO, kwann Pelegrin haMrush???

Manquillo alikuwa ni mmoja ya wachezaji bora katika game yetu na southampton..yet he was dropped.. can you tell me why BR dropped him??

Na kingine, Shabik yoyote wa LFC duniani wanajua kuwa Coutinho anaperfome vizuri akicheza nyuma ya ST, asa kama sisi mashabiki tunaliona hilo, kwanini manager halioni hilo na anafanya mazoez kila siku na Coutinho..Versatile can be an issue, lakin hata Messi ukimpeleka namba 7 au 8 hawez kuperfome kama anavyoperfome kwenye namba yake ya kila siku..so kwann umpeleke mchezaji akacheze namba ambayo anaboronga kila siku??..for what??

Na cha mwisho individual errors ndo zilitucost ubingwa last season, every team zinakutana na individual errors lakin za LFC zimezid, leo makosa ya Moreno na Lovren ndo yametucost(kama ni kweli kwann nisilalamike??)..na tunasema kila siku hapa LFC inahitaj defensive coach..msimu huu SUAREZ hayupo kusema kwamba atafukia makosa ya Mabeki kwa kuscore magoal mengi..

Kuna makosa madogo madogo ambayo ni innevitable..lakini haya tunayoyafanya ndo yanatucost kila siku, Mbona hamtak kufumbua macho na kuyaona hayo???

Kisa Ni BR ndo tusimkritsize??..
 
Your not an LFC fan, so u dont know what the ----ing you talking about..

Tunachoangalia hapa ni uhalisia, kwenye mpira kuna kushinda, kuwin ma kuloose, but inategemea umeipanga team kias gani mpaka ufikie kufungwa..makosa madogo madogo yanaweza kufutwa tu kama kocha akiwa makini..

Moreno ni mchezaji mpiya, Hajacheza a competitive match tangu ile fainal ya Europa League dhid ya Benifica, leo hii unakuja kumuanzisha kwenye game ngumu ya away tena dhidi ya Watetezi wa EPL??(ungefanya hivyo kama ungekuwa kocha???) je Mangala wa Man city yupo injured? the answer is NO, kwann Pelegrin haMrush???

Manquillo alikuwa ni mmoja ya wachezaji bora katika game yetu na southampton..yet he was dropped.. can you tell me why BR dropped him??

Na kingine, Shabik yoyote wa LFC duniani wanajua kuwa Coutinho anaperfome vizuri akicheza nyuma ya ST, asa kama sisi mashabiki tunaliona hilo, kwanini manager halioni hilo na anafanya mazoez kila siku na Coutinho..Versatile can be an issue, lakin hata Messi ukimpeleka namba 7 au 8 hawez kuperfome kama anavyoperfome kwenye namba yake ya kila siku..so kwann umpeleke mchezaji akacheze namba ambayo anaboronga kila siku??..for what??

Na cha mwisho individual errors ndo zilitucost ubingwa last season, every team zinakutana na individual errors lakin za LFC zimezid, leo makosa ya Moreno na Lovren ndo yametucost(kama ni kweli kwann nisilalamike??)..na tunasema kila siku hapa LFC inahitaj defensive coach..msimu huu SUAREZ hayupo kusema kwamba atafukia makosa ya Mabeki kwa kuscore magoal mengi..

Kuna makosa madogo madogo ambayo ni innevitable..lakini haya tunayoyafanya ndo yanatucost kila siku, Mbona hamtak kufumbua macho na kuyaona hayo???

Kisa Ni BR ndo tusiwalk.tsize??..

Bro huwo ni mtizamo wako.
Nafasi tulizopata atukuzitumia Hilo Je ukuliona?
Binafsi ni mapema kumlaumu kocha.
Pale Liverpool Kuna wachezaji 46 sasa kama kila funs atataka anayempenda acheze Mbona utakuwa bahara.Nami mtizamo wangu ningependa Balotel acheze.
 
Inaelekea ndo kilichobaki siku hizi. Watu tunavizia vifo vitokee kwa wengine ndo tutoe pole. kifo kikitokea kwetu, nyumba zinakimbiwa

Inaonekana huu msiba umekugusa sana,tulivyopata msiba tulipata wageni wengi.Safari bado ni ndefu hata kule kwenu tutakuja kutoa pole wakati ukifika
 
Bro huwo ni mtizamo wako.
Nafasi tulizopata atukuzitumia Hilo Je ukuliona?
Binafsi ni mapema kumlaumu kocha.
Pale Liverpool Kuna wachezaji 46 sasa kama kila funs atataka anayempenda acheze Mbona utakuwa bahara.Nami mtizamo wangu ningependa Balotel acheze.


Ha ha balotellu garass hilo
 
Na huu ndo ukweli,wanaKop wenzangu wanajitia upofu,Man city wana team nzuri sana,we have to be realistic

Mkuu nimerudia mara 2 kuangalia game hii!Man City wametufunga sababu ya clinical finishing yao!wao wakipata nafasi wanafunga sisi tukawa tunapoteza!

Mkuu nakuhakikishia Liverpool hii inaweza simama na team yyt ile duniani!Kama alivyosema BR kwenye post match vijana hasa Lovren na Moreno hii ndiyo mechi yao ya kwanza kubwa kucheza watazoea watatulia
 
Niwazuri mno Totenham ss iv wala ucshangae tukipoteza hio gam tatizo cc imekua kama tuna anza

Totenham hawezi mfunga Liverpool hii nakutoa wasi wasi!

Baloteli;Dan na Sterling wanaimaliza mechi hiyo dakika 45 za kwanza
 
Hongereni kwa kutokufungwa mengi zaidi. Mlikuwa na dakika 25 za mwanzo kumaliza mchezo mkashindwa. Huwezi kupanga kikosi cha kitoto namna ile afu umfunge man city.
That squad was highly inexperienced.
Poleni ila ndo ukweli. Liver can not beat City wala Chelsea...labda hizo timu nyingine!!!
 
Namaanisha sana..

Kiongozi kuiita Liverpool siyo team shindani sababu imefungwa na Man City hauitendei haki Liverpool!

Kwa kukumbusha ktk mechi 10 za EPL(miaka 5 sasa)Liverpool KAFUNGWA mara 9 Etihad na kapata sare 1 tu!

Hata mwaka jana na Suarez ndani tulifungwa Etihad au napo hatukuwa washindani?
 
Kiongozi kuiita Liverpool siyo team shindani sababu imefungwa na Man City hauitendei haki Liverpool!

Kwa kukumbusha ktk mechi 10 za EPL(miaka 5 sasa)Liverpool KAFUNGWA mara 9 Etihad na kapata sare 1 tu!

Hata mwaka jana na Suarez ndani tulifungwa Etihad au napo hatukuwa washindani?

Kheeee timu imebanduliwa mara 9 bado unasema shindani? Haya bwana mkubwa Liverpool ni mabingwa na wanajua kucheza kwelikweli
 
Hongereni kwa kutokufungwa mengi zaidi. Mlikuwa na dakika 25 za mwanzo kumaliza mchezo mkashindwa. Huwezi kupanga kikosi cha kitoto namna ile afu umfunge man city.
That squad was highly inexperienced.
Poleni ila ndo ukweli. Liver can not beat City wala Chelsea...labda hizo timu nyingine!!!

Ok hatuwezi mfunga Chelsea lkn Chelsea hata mwaka huu atakuwa namba 3 huko!!

Unamfunga Liverpool na Man City lkn unafungwa na Cardif;Crystal Palace;Sunderland;Fulham;Westbrom ahahahahaha
 
Ok hatuwezi mfunga Chelsea lkn Chelsea hata mwaka huu atakuwa namba 3 huko!!

Unamfunga Liverpool na Man City lkn unafungwa na Cardif;Crystal Palace;Sunderland;Fulham;Westbrom ahahahahaha

Time will tell bro! Time will tell... Chelsea kufungwa msimu huu lazima ujipange sana aisee!!!!
 
Mkuu nimerudia mara 2 kuangalia game hii!Man City wametufunga sababu ya clinical finishing yao!wao wakipata nafasi wanafunga sisi tukawa tunapoteza!

Mkuu nakuhakikishia Liverpool hii inaweza simama na team yyt ile duniani!Kama alivyosema BR kwenye post match vijana hasa Lovren na Moreno hii ndiyo mechi yao ya kwanza kubwa kucheza watazoea watatulia

Unajua watu wanasahau Man city ni timu ngumu na ina kikosi kikubwa,Aguero anaanzia benchi,Navars,Fernandinho?? Afu unalalamika kufungwa na city? They are playing awesome football,a lot of world class players pale,ukilinganisha kikosi chao na chetu,kocha wao na wetu huna haja ya kuumia roho,jana tulistahili kufungwa,na huo ndo ukweli.
 
Back
Top Bottom