The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Jamani eeh,nadhani leo mtaungana na mimi kwamba huyu GJ ndo kirusi pale nyuma,leo hajacheza na tumepata clean sheet kwenye gem ngumu ya away! Akae hukohuko kwnye majeruhi daima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani eeh,nadhani leo mtaungana na mimi kwamba huyu GJ ndo kirusi pale nyuma,leo hajacheza na tumepata clean sheet kwenye gem ngumu ya away! Akae hukohuko kwnye majeruhi daima
Jamani eeh,nadhani leo mtaungana na mimi kwamba huyu GJ ndo kirusi pale nyuma,leo hajacheza na tumepata clean sheet kwenye gem ngumu ya away! Akae hukohuko kwnye majeruhi daima
Nadhani leo BR hatalaumiwa kwa kumchezesha Moreno 'asiye na uzoefu na premier,game ya away'!Watu bhana,ha ha ha!
Beer sasa zitanyweka kiurahisi sana!Nilikuwa na msongo sana wa mawazo na matokeo ya Man City!!
Sasa vijana wetu watakuwa na confidence na nzuri zaidi week ijayo hamna mechi ya ligi sababu ya international games break!
YNWA
Kiongozi with all the respect kwako, that's unfair comment on your own player. Acha apone anyang'anywe namba na hao watoto lakini usimuombee kukaa majeruhi.
Hongera zenu sana kwa ushindi..
Last week tulisema ni makosa kumchezesha Moreno kwenye game yake ya kwanza na Man city, na MIMI nikasema hapa angemuanzisha dhidi ya spurs katika game ya away..Man city unaifananisha na spurs??..
Na leo tumecheza Diamond formation, syo 4-3-3 tuliyocheza na Man city..
Man city had Jovetic, navas, nasri wote walikuwa wanakuja upande wake...
Kwa hyo kama BR akikosea ndo tusiseme??
Perfomance ya Moreno dhidi ya Man city utaifananisha na ya Leo???
Thanks mkuu...pole pia kwa kipigo cha jana!
Mkuu gemu ilikuwaje sijaicheki aisee shughuli mingi vijana unawaonaje?
Leo imekuwa perfomance lakini na man city ilikuwa ugeni wa premier!Sasa kama unasifia kiwango cha moreno cha leo ndo tuseme ameshakuwa mzoefu na premier baada ya mechi moja?Kuna siku tu huwa inatokea mchezaji aka underperfome lakini haimaanishi ni mbovu au hana uzoefu.Leo umeisifia diamond kwa kuwa tumeshinda lakini tungepigwa uogeiponda pia!4-3-3 tungeitumia leo na kushinda ungekuja tena na stori nyingine! Pointi yangu ni kuwa tusiwe wepesi sana kulaumu kocha au wachezaji.Tuwe fair
Leo imekuwa perfomance lakini na man city ilikuwa ugeni wa premier!Sasa kama unasifia kiwango cha moreno cha leo ndo tuseme ameshakuwa mzoefu na premier baada ya mechi moja?Kuna siku tu huwa inatokea mchezaji aka underperfome lakini haimaanishi ni mbovu au hana uzoefu.Leo umeisifia diamond kwa kuwa tumeshinda lakini tungepigwa uogeiponda pia!4-3-3 tungeitumia leo na kushinda ungekuja tena na stori nyingine! Pointi yangu ni kuwa tusiwe wepesi sana kulaumu kocha au wachezaji.Tuwe fair