The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Huyu dogo Rossister anapiga bao la kwanza ni mzuri sana .....our next G8.tuendelee kumuangalia in 3 dimension.
kwa hapa tanzania,shabiki mkubwa wa huyu dogo ni ndugu yetu MosDef...nadhani wkt dogo kafunga pale alitabasamu kwa mbaaali
Last edited by a moderator: