The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Janjaweed...leo naomba nimtetee Kolo,he was great! Ile penat chanzo ni Raheem kutoa pasi ya kiboya! Hata mimi ningekuwa Kolo ningefanya vilevile...Sakho was superb..ila alisababisha ile faulo iliyozaa goli la kwanza,pamoja na kuwa hakuwa na match fitness,Enrique played very well...Dogo Suso anajua sana,baada ya Markovic kutoka akaingia Suso,game ilibadilika sana
Last edited by a moderator: