Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
mosedef hamna mchezaji wa Liverpool au Toffees atakubali kukaa nje kwenye mechi hii!
SG aliwahi ulizwa endapo ungeambiwa uchague mechi 2 tu kwa msimu mzima ucheze dakika 90 na zingine games 36 usikae hata bench jibu lake bila hata kuwaza akasema ni Liverpool vs Everton
Sakho hawezi tena kucheza kwa BR=fact
SG aliwahi ulizwa endapo ungeambiwa uchague mechi 2 tu kwa msimu mzima ucheze dakika 90 na zingine games 36 usikae hata bench jibu lake bila hata kuwaza akasema ni Liverpool vs Everton
Sakho hawezi tena kucheza kwa BR=fact
Last edited by a moderator:


