Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

WANANZENGO minilisema tangu usajil unafanyika kuwa mbona sisi tunasajil watt choklet sana,,,iv can anaweza kutia mguu kwenye mido NGILIMAA kama za man city,chelsea,,,ata kama ni depth ya kikosi sio kwa watt kama wetu.TATIZO BR AJIONA KAMA YEYE ANAMBINU KULIKO MAKOCHA WOTE KWENYE EPL...alishindwa wenger na watoto wake ye ataweza?? maviiii..IV KUNA STRIKER WANGAP AD UMCHUKUE MB AF USEME UNATAKA KOMBE,IV SONG NA CAN NA NGILIMAA.
 
Acheni KUMBWELA MASHABIKI MAANDAZI....Rogers ni bonge la kocha. Hivi unategemea nini wakati timu imenunua wachezaji zaidi ya tisa...inahitaji muda wachezaji hawa kuweza kuelewa mfumo wa kocha na kisha mambo yatakuwa safi.


Wachezaj wenyewe ndo hao wakina ballotel,can,lambert nk......ata kama uwe na depth ya wachezaj mia na sub iwe wanaruhusu kubadil mara hamsin,huwez chukua kombe lolote kwa kutegemea hao vishet wetu,..morinyo halikua analalamika striker last season nadhan umeona alichonunua,katoka lampard kaja fabrigas nk..
 
kumlinganisha BR na Shanky ni ukosefu mkubwa sana wa nidhamu kwa shankly,na aliyefanya kitendo hicho alaaniwe milele! This man has won nothing to us,hana trophy yeyote ktk managerial carrier yake!! Tutaanza kumlinganisha na Shanky atakapoleta atleast 2 UCL trophies,5 BPL trophies,FA and league cups! Afu kuna wapuuzi hapa watasema umri wake mdogo,hivi Diego Simione,Judgen Klopp wana umri gani?? Na hawanunui makombe kama akina Morinyo! Nataka kuona BR anafanya kazi field,tunapata matokeo uwanjani,basi! U cant criticize your own player(Balotelli,Dagger,Downing) kwenye media afu utegemee matokeo mazuri

Yeah, right...
 
I like Rafa Benitez a lot - fact. Since he left LFC, I have been supporting all the teams he has coached after that (of course this trend would have stopped had he gone to the Manure, which I'll bet my "pant-less self" he wouldn't have!).

But when it comes to Brendan at LFC, hapo nachora mstari. Yes, Rafa is a good tactician and all that - he has the nous to win you a cup title, etc. But not good enough as he is not living the LFC philosophy.
Some of us are spoiled by the entertaining and all-round conquering package of the Liverpool of old....which is what Brendan has a potential to offer akiwa na resources za kutosha. For me, Brendan's man-management skills (a very critical recipe to team stability) can only draw parallels with a certain Shankly.

Tum-support huyu bwana mdogo ambaye pamoja na limited resources relative to other big clubs, LFC iko si vibaya sana. Kama ni pressure basi tuwapige hawa Wamerakani (Henry & co) wakate pochi la nguvu tuweze kushindana vizuri kwenye soko. Waone wenzao akina Grazers, Abramovich, Peres, etc wasivyofanya ajizi kwenye eneo hili.
 
I have chosen to quit this discussion,kila mtu abaki na lake kichwani mwake.

Mkuu Magnificent, nakubaliana na wewe kwa kweli.... maana naona umemtaja hadi Jamhuri Kiwelo ndiye awe manager wa LFC? Kweli kila mtu ana lake kichwani!!
 
Wachezaj wenyewe ndo hao wakina ballotel,can,lambert nk......ata kama uwe na depth ya wachezaj mia na sub iwe wanaruhusu kubadil mara hamsin,huwez chukua kombe lolote kwa kutegemea hao vishet wetu,..morinyo halikua analalamika striker last season nadhan umeona alichonunua,katoka lampard kaja fabrigas nk..

Hao wote siyo kwamba BR hakuwataka. Mathalani Costa alimhitaji tangu msimu uliotangulia na nusura ampate lakini akamkosa. Tatizo? Pochi.

BR's hands are tied. He has got an eye for talent but he doesn't have the means at his disposal like what "Maureen" has with Abramovich!
 
Mkuu Magnificent, nakubaliana na wewe kwa kweli.... maana naona umemtaja hadi Jamhuri Kiwelo ndiye awe manager wa LFC? Kweli kila mtu ana lake kichwani!!

Hahahahahahaha! Kwa JULIO nimetania tu...wewe kwa hali ya kawaida unaona Julio ni Manager wa kuifundisha LFC kweli??
 
Ndugu zangu msikate tamaa!Liverpool will be stronger than previous year!Believe me and take this to your heart!
Janjaweed magnificent Tores. Pazi na wengineo naona matumaini kibao siku za usoni!

Weeks 2 hizi za international break tutarudi na ligi bado sana hii!Umeona na kupoteza mechi 3 lkn tupo sawa na Arsenal na Man U point moja tu(hawa tutawaacha mbali nina uhakika)Ona Man City points 4 tu na wakumkodolea macho ni Chelsea lkn kama kawaida yake anaweza mfunga leo Arsenal akafungwa mfululizo na avarage teams!

Liverpool will be back
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu msikate tamaa!Liverpool will be stronger than previous year!Believe me and take this to your heart!
Janjaweed magnificent Tores. Pazi na wengineo naona matumaini kibao siku za usoni!

Weeks 2 hizi za international break tutarudi na ligi bado sana hii!Umeona na kupoteza mechi 3 lkn tupo sawa na Arsenal na Man U point moja tu(hawa tutawaacha mbali nina uhakika)Ona Man City points 4 tu na wakumkodolea macho ni Chelsea lkn kama kawaida yake anaweza mfunga leo Arsenal akafungwa mfululizo na avarage teams!

Liverpool will be back


Kufungwa na timu ndogo ilikua Msimu uliopita Sio Msimu Huu! Tumecheza big game 2 tumeshinda moja na tumepata sare moja! Hizo timu ndogo Tumecheza Nazo 5 na tumeshinda zote! Mlisema Costa ni mfungaji wa timu ndogo tu juzi katupia Kwa tumu kubwa! Sasa naona mnageuza nyimbo na tu Na Korasi nyie wenyewe!

Subirini nimaliza kz OT tarehe 26 alafu Nije kwenu!
 
Last edited by a moderator:
Hii ni mara ya kwanza kuona lugha kama hii toka kwako na nina imani kabisa kuwa ulipitiwa tu!

YNWA tunaanza kuwa OK



Siku nikija kwenu lazima mdondoshe points 3 na Kwa gape ilovyo sasaivi ndo itazidi Kua kubwa!

Nimewabakiza wewe Liverpool na Man Utd niwapige ili niwe vzr ktk ligi kabla ya December.

Msimu Huu mtakoma! EPL na CL cups lazima vije Darajani!
 
Ndugu zangu msikate tamaa!Liverpool will be stronger than previous year!Believe me and take this to your heart!
Janjaweed magnificent Tores. Pazi na wengineo naona matumaini kibao siku za usoni!

Weeks 2 hizi za international break tutarudi na ligi bado sana hii!Umeona na kupoteza mechi 3 lkn tupo sawa na Arsenal na Man U point moja tu(hawa tutawaacha mbali nina uhakika)Ona Man City points 4 tu na wakumkodolea macho ni Chelsea lkn kama kawaida yake anaweza mfunga leo Arsenal akafungwa mfululizo na avarage teams!

Liverpool will be back

Kaka hata mimi nakubaliana na wewe actually naona mwanga mbele.....naukitaka kujua atuko mbali na mafanikia just look at the table and the last weekend perfomance against westbrom.....i believe u will notes something.......goods dayz are coming.YNWA
 
Last edited by a moderator:
kumlinganisha BR na Shanky ni ukosefu mkubwa sana wa nidhamu kwa shankly,na aliyefanya kitendo hicho alaaniwe milele! This man has won nothing to us,hana trophy yeyote ktk managerial carrier yake!! Tutaanza kumlinganisha na Shanky atakapoleta atleast 2 UCL trophies,5 BPL trophies,FA and league cups! Afu kuna wapuuzi hapa watasema umri wake mdogo,hivi Diego Simione,Judgen Klopp wana umri gani?? Na hawanunui makombe kama akina Morinyo! Nataka kuona BR anafanya kazi field,tunapata matokeo uwanjani,basi! U cant criticize your own player(Balotelli,Dagger,Downing) kwenye media afu utegemee matokeo mazuri



Ivi mnaposema kununua makombe mnakua mnamaanisha nini? Yani unakwenda Kwa Shoping Mall alafu unanunua kombe? Au timu inacheza kila game na kufanya vzr mpk inakua bingwa na kuchukua kombe? Hebu tujuzeni hii Habari!

The Magnificent hoja yako hii imenifanya nikufikirie km wewe ni The Magnificent kweli Au Watu wamehack account yako?

Cc: agosti 8 Mentor EMT
 
Last edited by a moderator:
Kaka hata mimi nakubaliana na wewe actually naona mwanga mbele.....naukitaka kujua atuko mbali na mafanikia just look at the table and the last weekend perfomance against westbrom.....i believe u will notes something.......goods dayz are coming.YNWA



Keep on dreaming yourself!

Msimu Huu top four Sio yenu!
 
Kufungwa na timu ndogo ilikua Msimu uliopita Sio Msimu Huu! Tumecheza big game 2 tumeshinda moja na tumepata sare moja! Hizo timu ndogo Tumecheza Nazo 5 na tumeshinda zote! Mlisema Costa ni mfungaji wa timu ndogo tu juzi katupia Kwa tumu kubwa! Sasa naona mnageuza nyimbo na tu Na Korasi nyie wenyewe!

Subirini nimaliza kz OT tarehe 26 alafu Nije kwenu!

Hongera kwa ushindi dhidi ya Wenger ambaye Mourihno kaisha mu affect kisaikolojia!!

Kumbuka mmetangulia tu na baiskeli ya miti wenye nafasi hiyo tunakuja
 
Keep on dreaming yourself!

Msimu Huu top four Sio yenu!

Haya kaka naona siku hizi umekua mtabiri a.k.a sheikh hussein yahya.hatutaingia top 4?? Hahaaa kumbuka ligi bado sana.....
 
Hongera kwa ushindi dhidi ya Wenger ambaye Mourihno kaisha mu affect kisaikolojia!!

Kumbuka mmetangulia tu na baiskeli ya miti wenye nafasi hiyo tunakuja


Aiseee Malafyale yani hii waiita baiskeli ya miti? Hii ni David Harison cc 2500 Hapana mchezo mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom