Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

It is a FACT kwamba chelsea wana fan base kubwa kuliko kuliko liverpool...most of Liverpool fans walishakufaga sababu ya uzee..
 
Historia kubwa inakusaidia nini wakati kwa sasa direction inapotea?

Hatutakiwi kujivunia historia ya Baba wa Taifa letu Nyerere sababu ALIISHA KUFA?

Liverpool ni baba wa soka la Uingereza na nchi washirika wake na Ulaya yote kwa ujumla na itabakia kuwa hivyo!

Based on how many titles do you collect both domestically and internationally,we have to conclude that CHELSEA and Man City is not among of Europe's soccer powerhouse!

Yes,you are not Europe's soccer guru but Majogoo they are!

Ndugu zangu Ntuzu agosti 8 kalou na Mentor mnabisha hata kwa hili?
 
Last edited by a moderator:
Soccer super stars like zinedine, Ronaldo agrees we a fathers of Uk soccer...

Ronaldo resently said he is looking forward to go to Anfileld as he missed those die hard and noise makers fans.. and most the best song in the stadium YNWA... so chelsea plz plz give us a break.. and zip ur mouths... shiiiii
 
Soccer super stars like zinedine, Ronaldo agrees we a fathers of Uk soccer...

Ronaldo resently said he is looking forward to go to Anfileld as he missed those die hard and noise makers fans.. and most the best song in the stadium YNWA... so chelsea plz plz give us a break.. and zip ur mouths... shiiiii


Ata Mimi naweza natoa maoni yangu kua napenda kwenda timu ya mgambo wao ni baba wa soka na pia wana mashabiki wazuri hivyo Azamu na Yanga na myama wakae kimya.


Teh Teh Teh Teh Teh Teh
 
Ata Mimi naweza natoa maoni yangu kua napenda kwenda timu ya mgambo wao ni baba wa soka na pia wana mashabiki wazuri hivyo Azamu na Yanga na myama wakae kimya.


Teh Teh Teh Teh Teh Teh

Kweli uwezo wa kuelewa tunapisha na leo nimeamini.......wewe sio soccer superstar.ronaldo na wenzake waliosema liverpool ina mashabiki bora kabisa duniani ni masuperstar.......teeh teeh teeh.
Ndio maana wenzako wanakuzarau kwa sababu unakurupuka......samahani kwa kutumia hayo maneno makali ilikua sio nia yangu......ila imenibidi kusema maana always unaenda nje ya points.sorry sorry.
 
Ata Mimi naweza natoa maoni yangu kua napenda kwenda timu ya mgambo wao ni baba wa soka na pia wana mashabiki wazuri hivyo Azamu na Yanga na myama wakae kimya.


Teh Teh Teh Teh Teh Teh

kwa hiyo Liverfools ni kama Mgambo bwahahahaha.......... masikini wanajitetea na historia. ni sawa na Mr.Nice aanze kujigamba alishawahi kuwa na hela wakati sasa hivi hana hata mia, awe bora kuliko bharesa eti kisa zamani alishashika pesa zaidi ya za bharesa!" nonsense.

Grabd PA
 
Kweli uwezo wa kuelewa tunapisha na leo nimeamini.......wewe sio soccer superstar.ronaldo na wenzake waliosema liverpool ina mashabiki bora kabisa duniani ni masuperstar.......teeh teeh teeh.
Ndio maana wenzako wanakuzarau kwa sababu unakurupuka......samahani kwa kutumia hayo maneno makali ilikua sio nia yangu......ila imenibidi kusema maana always unaenda nje ya points.sorry sorry.



Hahahaaaaa hayo ni maoni ya Ronaldo yeye mwenyewe binafsi ni km yangu niliyotoa hapo juu. Au kwasababu yeye ni Ronaldo basi akitoa maoni yake ata km kwa mapenzi Yake basi nyie mnameza tu? Kz kweli kweli.

Haina haja ya kuomba samahani hasa kwa kitu ulichokua umekusidia kusema. Maana hiyo ni kawaida yenu sasa baada ya timu yenu kupoteza muelekeo mnashindwa kudhibiti mihemuko yenu na kutoa maneno hovyo!
 
kwa hiyo Liverfools ni kama Mgambo bwahahahaha.......... masikini wanajitetea na historia. ni sawa na Mr.Nice aanze kujigamba alishawahi kuwa na hela wakati sasa hivi hana hata mia, awe bora kuliko bharesa eti kisa zamani alishashika pesa zaidi ya za bharesa!" nonsense.

Grabd PA


Bwahahahaaaa!

Kz ipo mkuu. Lkn Hawa jamaa wakali wanaweza kukutoa ngeu.

Ata Mr Nice Ana fwedha kuliko Bakharesa..... Teh Teh Teh Teh

Kz wanayo......!
 
Bwahahahaaaa!

Kz ipo mkuu. Lkn Hawa jamaa wakali wanaweza kukutoa ngeu.

Ata Mr Nice Ana fwedha kuliko Bakharesa..... Teh Teh Teh Teh

Kz wanayo......!
haitokaa itokee labda wachezaji we2 wacheze peku, na hata wakicheza peku bado 2tawafunga .........

Grand PA
 
King Ken will present Baba Benjamin with his Golden boot award at Barcelona at special request of Baba Delphina(Suarez) jumatano ijayo.
 
Likely Lazar Markovic kaumia mechi ya leo Serbia ma Armenia!Haya ni majanga
 
Hakuna haja ya kutukanana.... washabiki wa Man Utd and Chelsea just behave guys.... sijawahi kwenda kw enye thread yenu tukawakashifu so come here need to behave..

Kops fan lets show these dishonest fan were liverpool fans and we are the special kops...
 
Hivi kwa nini badala ya kubishana na kutukanana nao msiwaache ili kuendeleza mjadala kuhusu maendeleo ya klabu.
Kumbukeni "kukaa kimya si kuogopa ni kuonesha hekima kwa mpuuzi".
 
Ila tuacheni utani mashabiki wa Liverpool kwenye hii thread wanawachukia sana mashabiki wa team zingine hata utoe polite comments,huku nishatukanwa ila tunamalizana kwa kuelewana,mashabiki wa Liverpool humu hawataniwi,kwanza hawataki kuona mashabiki wa teams zingine kwenye thread yao.
.
C.C Grand PA agosti 8 Ntuzu Ngongo Nzi
 
Last edited by a moderator:
Ila tuacheni utani mashabiki wa Liverpool kwenye hii thread wanawachukia sana mashabiki wa team zingine hata utoe polite comments,huku nishatukanwa ila tunamalizana kwa kuelewana,mashabiki wa Liverpool humu hawataniwi,kwanza hawataki kuona mashabiki wa teams zingine kwenye thread yao.
.
C.C Grand PA agosti 8 Ntuzu Ngongo Nzi



Mkuu Viol ni kuvumiliana tu mkuu hicho Ndio kitu cha msingi. Nampongeza sn Malafyale ni Mtu wa furaha matani na upendo na ukweli pia. Ktk hili mashabiki wa Liverpool wabadilike.
 
Last edited by a moderator:
Hivi mtu ambaye hata siyo shabiki wa watani zetu anawezaje kuja hapa na kuandika 'Liverfools'/Loserfools'... kwa nini mnalazimisha utani hivyo???
 
Back
Top Bottom