Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Euro Qualification imeisha na sijasikia majeruhi wengine zaidi ya Lovren kwetu!Mechi na QPR then Hull City Tigers hata Kolo sina wasi wasi nae!!Mechi zinazofuata baada ya hapo tunahitaji wote wawe kamili!

Any updates concerning Sakho fitness pls?

You know inakuwa ngumu kujua updates za injuries, coz club haijatoa official statements zozote mpaka sasa!

Lakini indications zote zinaonesha SAKHO Atakuwepo against RMA..

Tusubiri Pre-match presser ya BR kesho. ndo tutajua kipi kinaendelea kuhusu hizi injuries...


JUST GET READY TO WITNESS 7 GAMES IN JUST 21 DAYS

ts gonna be a cracker!
 
I think we have had a good time to recover...

My concern sasa ni namna gani BR atapanga defense yake with Glen Johnson back, Joe Allen, much as i am not a big fan of him will be crucial

With Raheem, Adam, Sturridge, Coutinho and Balo coming on in the second half - we will be very strong

My prediction ni kwamba out of the coming seven games, we will win 5 and drop points again Real Madrid away and a draw at home

Lovren will be fit to play

Ila nina shida kidogo na attitude ya players wa LIverpool walio kwenye Englad national team, it seems BR is putting too much pressure for them not to get injured or exhausted and that may work negatively on the players because of negative energy

Chelsea will not beat Liverpool at Anfield this time
 
LOVREN...training today!
 

Attachments

  • 1413389129581.jpg
    1413389129581.jpg
    97.5 KB · Views: 78
LOVREN...training today!

Good news kwa kweli!Lovren ningekuwa mm BR ningempumzisha na QPR!Pia ningempumzisha SG na Hendo lkn ningempa Dan dakika zote 90!

Hawa tunawahitaji sana Jumatano wawe fit 100%
 
Miaka 11 iliyopita siku kama ya leo, SG ndo alikabidhiwa ArmBand na kuwa CAPTAIN wa LFC....the rest is HISTORY
 

Attachments

  • 1413395807449.jpg
    1413395807449.jpg
    66.1 KB · Views: 65
Good news kwa kweli!Lovren ningekuwa mm BR ningempumzisha na QPR!Pia ningempumzisha SG na Hendo lkn ningempa Dan dakika zote 90!

Hawa tunawahitaji sana Jumatano wawe fit 100%

At this stage every Game is crucial for us, i wouldnt risk that by benching our key players...and ni away match, anything can happen..
 
SG via Instagram!!!
 

Attachments

  • 1413396536675.jpg
    1413396536675.jpg
    77 KB · Views: 88
I think we have had a good time to recover...

My concern sasa ni namna gani BR atapanga defense yake with Glen Johnson back, Joe Allen, much as i am not a big fan of him will be crucial

With Raheem, Adam, Sturridge, Coutinho and Balo coming on in the second half - we will be very strong

My prediction ni kwamba out of the coming seven games, we will win 5 and drop points again Real Madrid away and a draw at home

Lovren will be fit to play

Ila nina shida kidogo na attitude ya players wa LIverpool walio kwenye Englad national team, it seems BR is putting too much pressure for them not to get injured or exhausted and that may work negatively on the players because of negative energy

Chelsea will not beat Liverpool at Anfield this time

For all the stick that Glen is getting from a sizeable proportion of the Kop, for me the new boy (what's his name again... that Spaniard?) is actually no better devil.
So, as long as there's no other better replacement for that FBR position, I'll stick with Glen, surely. At least he can make those terrorising runs & cuts inside towards the box, plus his crossing is more decent. That other boy....am clueless, honestly.

Nakubaliana na wewe kuhusu mechi yetu na Chelsea....am confident we're going to have one better over the bastard this time.
Mourinho is likely to be thinking "ay, this is not the same Liverpool of last season, so am going play them like I wd Spurs". A big mistake! BR will be ready for him. "Hendo, no box to box stuff, just stifle Hazard" BR will be barking at Henderson. He is likely to do the same vs Fabregas using Can or Allen. Cripple the Chelsea creativity from those two, the "big mouth" will have been brought down to earth!

Anyways, that's a preview from me, an amateur!
 
Suarez on Facebook!!
 

Attachments

  • 1413399338014.jpg
    1413399338014.jpg
    54.6 KB · Views: 94
It was a mutual benefit engagement

Without him, LIverpool weould have been in number 7 and without Liverpool Luis might have not gotten the current recognition

Wee jamaa,ujue kingereza chako huwa sikielewi kbs,sijui ni mimi tu?? Wadau nyie huwa mnakielewa hiki kizungu cha Janjaweed?
 
Last edited by a moderator:
Wee jamaa,ujue kingereza chako huwa sikielewi kbs,sijui ni mimi tu?? Wadau nyie huwa mnakielewa hiki kizungu cha Janjaweed?

Mbona kinaelewe tu kaka kiingereza cha Janjaweed!

Hapo anasema "Majogoo na Suarez wana urafiki pacha;bila Liverpool kijana Suarez asingekuwa kama alivyo sasa na bila Suarez sisi Majogoo tusingefikia hatua hii"

Mm hywa namuelewa vyema tu!Ndugu yangu magnificent unafuatilia sana verb-noun agreement bana ehehehhe
 
Last edited by a moderator:
Mbona kinaelewe tu kaka kiingereza cha Janjaweed!

Hapo anasema "Majogoo na Suarez wana urafiki pacha;bila Liverpool kijana Suarez asingekuwa kama alivyo sasa na bila Suarez sisi Majogoo tusingefikia hatua hii"

Mm hywa namuelewa vyema tu!Ndugu yangu magnificent unafuatilia sana verb-noun agreement bana ehehehhe

labda alitaka niweke kingereza cha kingereza, wakati nimesoma kingereza cha kswahili...:A S-eek::A S-eek::A S-eek:

kwikwikwikwi
 
Mario on BR
 

Attachments

  • 1413469970100.jpg
    1413469970100.jpg
    20.2 KB · Views: 117
Back
Top Bottom