Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kutolewa kwa SG na CAN kuchukua nafas ndokulitaka igalim timu coz CAN pemben alichemka hakuwa na impact alifanya MDS wa sunderland wa relax na kuja sana mbele..
 
lallana tumemnunua kwa paundi chache kulinganisha na manure walivomchukua Di maria ila wote wana magoli 4 japo di Maria kacheza mechi mingi as die hard liverpool fan tumekula bingo kwenye sajili ila bado kwa Ballo na Lambert
 
Happy bday to young and the beast #Emre Can
 

Attachments

  • 1421068497369.jpg
    1421068497369.jpg
    36.8 KB · Views: 106
lallana tumemnunua kwa paundi chache kulinganisha na manure walivomchukua Di maria ila wote wana magoli 4 japo di Maria kacheza mechi mingi as die hard liverpool fan tumekula bingo kwenye sajili ila bado kwa Ballo na Lambert

Kwa hiyo Lallana ni mzuri kuliko Di Maria?!?

Hizi ni stats za Di Maria:

Games played: 12(1)
Goals scored: 3
Assists: 6
Shots: 40
Pass success percentage: 79.6
MoTM: 1
Key passes per game: 2.5
Average passes per game: 35.5

Za Lallana:
Games played: 13(1)
Goals scored: 4
Assists: 2
Shots: 21
Pass success percentage: 82.5
MoTM: 1
Key passes per game: 1
Average passes per game: 27.4

Haya sema tena...
 
Dr Zalf also leaves #lfc

Mkuu, mbona kuna timua timua hivi? au ni ile blunder ya Remy who was declared unfit ila kwa chelsea yupo fit. Kuna watu wapo pale utadhani ni inside job aisee katika kipindi cha miaka 10 usajili wa maana ni mchache sana ukilinganisha na hela iliyotumika na sasa hivi wanamtaka Delph kumreplace lucas leiva wanaetaka kumuuza Napoli
 
Habari hii kuwa tumempata LAVEZZI kwa £ 8m imekaaje

Bado haijawa official zitakuwa ni rumours tu mpaka sasa. Lavezzi ni winger na tatizo letu si winger ni goli kipa, beki na striker wa maana huyo lavezzi ni 30+ sasa
 
Mkuu, mbona kuna timua timua hivi? au ni ile blunder ya Remy who was declared unfit ila kwa chelsea yupo fit. Kuna watu wapo pale utadhani ni inside job aisee katika kipindi cha miaka 10 usajili wa maana ni mchache sana ukilinganisha na hela iliyotumika na sasa hivi wanamtaka Delph kumreplace lucas leiva wanaetaka kumuuza Napoli

Kuhusu Zalf mkuu ni personal matter za family so haijawa disclosed nini hasa...!

Ngoja tuone kabla dirisha kufungwa itakuaje?
 
Hapa chini ni msimamo wa EPL msimu huu 2014/15 baada ya mechi 21 (yaani sasa) ikilinganishwa na msimu uliopita 2013/14.

Tumepitwa na Manure si kwa vile wao wame-improve (points zao ni zile zile 37) isipokuwa ni kutokana na sisi kuporomoka kwa kupoteza points 10 (yaani kutoka 42 down to 32 points).

Msimu uliopita, mechi 21 tulikuwa wa 4 huku tukiwa tuko 6 points nyuma ya namba 1 lakini mechi 11 baadae tukapanda hadi namba 1.

Msimu huu, mechi 21 tuko nafasi ya 8 na tuko 5 points nyuma ya top 4. Je, baada ya mechi 11 tunaweza kuingia top 4 or even better? Remains to be seen!

EPL 2013-14.PNG

EPL 2014-15.PNG
 
It was in this day miaka 24 iliyopita #lfc ilim-sign Jammie Redknapp
Played 308 games scored 41 goals
 

Attachments

  • 1421337688945.jpg
    1421337688945.jpg
    29.9 KB · Views: 102
Back
Top Bottom