Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

It was sakho's show again....fantastic display from the strong CB,hivi kulikuwa na umuhimu gan wa kupoteza £20m kumnunua lovren wakati Una agger na sakho?....anyway...hopeful MosDef unanielewa sasa kwanini Mimi tangu last year Ni pro-Sakho....

Nimekubali Mziki wa SAKHO #TheBeast ..

But credit nyingi pia ziende kwa LUCAS, anawacover vizuri sana mabeki..
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli gari linaonekana kuwaka lakini still tunaitaji stricker anayeweza kufunga na co vinginenyo,kumtegemea ds kwa kuwa amekaribia kurudi sio solution kwan kwake kuwa majeruhi ni laisi kuliko kuwa majeruhi!since tunatengeneza shorts on target chache we need a clinical finisher ndg zangu unless otherwise sterling,cout,marcovic,hendo &even lucas l inawalazimu waanze kufunga na co may be moreno&skretel from the back!lallana ni msahada mzuri but naye miguu mibovu..!tushinde game 5 mfululizo natumai tutakuwa in top 4 bila wasiwasi wowote.

DS anatosha kabisa kama akiwa fit..

tuna strikers wanne kwa sasa (MB, Borin, Lambert na DS) ili kuleta ST mwingine tunahitaji kuwauza baadhi ya ST's...na inaonekana Hakuna ST yoyote atakayeondoka this Month, thats Why Tumeachana na Mpango wa kumrudisha ORIGI this month..

Lakin dirisha bado halijafungwa, chochote kinaweza kutokea..reports zinasema BR ni huge fan wa Paulo Dybala wa Parlemo..so you never know, na tushamscout sana...
 
Jamani kuna habari mbaya leo!Lucas HATAKI kubaki Liverpool anadai kocha BR alikuwa anamdharau sana kipindi kile HACHEZI msimu wa mwaka jana!

BR hajui kabisa ku deal na wachezaji,hata SG kuondoka kwake ni sababu yake yy!Kocha sijui kazungukwa na washauri gani huyu!Ni kocha wa ajabu sana

Siku yangu imeharibika sana maana Lucas ndiyo kaishika team hii hasa akiondoka SG ndiyo uwepo wake utahitajika zaidi

Lucas Leiva wants to leave Liverpool amid Inter Milan links - sources - ESPN FC

BR alishaiblock hiyo move week mbili zilizopita..

chochote kitakachosemwa kuhusu Lucas ni rumours tu..
 
LOL

Team LineUp ya Leo imeLEAK tena..

Nlishasemaga humu, LFC ndo team inayoongoza kuwa na ITK's wengi mitandaoni kuliko team yeyote duniani!!!

kwenye usajili mwezi huu LFC haipo Active sana, basi wameamua waingie kwenye LineUps...
 
LOL

Team LineUp ya Leo imeLEAK tena..

Nlishasemaga humu, LFC ndo team inayoongoza kuwa na ITK's wengi mitandaoni kuliko team yeyote duniani!!!

kwenye usajili mwezi huu LFC haipo Active sana, basi wameamua waingie kwenye LineUps...

Mkuu tunaomba hiyo list pls maana mchana jana alisema SG na MB wata wa asses leo asubuhi
 
Wazima wote humu,hongereni kwanza kwa ushindi mfululizo atleast lakini bado mmeng'ang'ania kuwa mtaa wa 8,Leo ndo leo siku ya hatumwi mtoto dukani ni nani mbabe leo? Ni LVP or The blues,haya mimi ntakuwa pembeni nawasindikiza watani wangu na kikombe cha kahawa na popcorn za kutosha,kila la heri watani wangu natumai mcheza kwao hutunzwa hivyo hamtawaangusha mashabiki wenu.
Cc: Malafyale Ed n Edd nEddy Asprin EMT

Dada leo kwanza nafuta kabisa uwezekano wao wanaojipa wa "quadruple"!

Gari limeweka dada!Naelekea Kigamboni sass nichukue japo pweza nifanye supu huku na watch game
 
Last edited by a moderator:
everlenk hawa Losers lazima niwapige hapo hapo kwao leo..............we kaa utulie utaona sisi ndo the blues mamito.

Hao ndiyo the Blues wenye vikombe vya maana 5 tu ktk historia yao hapa duniani ehehehehe
 
Last edited by a moderator:
Basi mkuu uwe unasema ukweli ata km ukiona mwanamke..........sasa unamtia makamba yote hayo kwasababu umeona mwanamke? Huyu miss chagga darajani ni nyumbani kwake kwasababu mimi mme wake niko pale alafu huyu mke wangu anampenda sn Claudio Makelele..........muulize uone atakavo kujibu.
miss chagga ujue nimekumiss sn....

Nimesema kweli tena kweli tupu!Kule hamna uhuru kama hapa kwetu!Huwezi taniana kule na Miss chaga kama hivi maana Manumbu ata mind eheheheh
 
Last edited by a moderator:
Nimesema kweli tena kweli tupu!Kule hamna uhuru kama hapa kwetu!Huwezi taniana kule na Miss chaga kama hivi maana Manumbu ata mind eheheheh

Sio kweli mkuu kwasababu mara kibao wankuja hawa marafiki zangu wa kike tunapiga nao story....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tunaomba hiyo list pls maana mchana jana alisema SG na MB wata wa asses leo asubuhi

Mignolet.
Can
Skritel
Sakho
Moreno
Lucas
Hendo
Markovic
Coutinho
SG
Sterling

SG kama akiwa Fit ataanza..coz BR amesema anasubiri mpaka Dk ya mwisho kujua kama SG anaweza akaanza leo..so kama ikishindikana Borini/Lallana wanaweza wakaanza!
 
Mignolet.
Can
Skritel
Sakho
Moreno
Lucas
Hendo
Markovic
Coutinho
SG
Sterling

SG kama akiwa Fit ataanza..coz BR amesema anasubiri mpaka Dk ya mwisho kujua kama SG anaweza akaanza leo..so kama ikishindikana Borini/Lallana wanaweza wakaanza!

To win this game BR needs to have respect to chelshit and do what Arsenal did on the last week end.

And to do that we need to be more solidy at the back ...Marko has been brilliant and I am sure he can deal with Azp but I would have jose instead of Moreno
 
To win this game BR needs to have respect to chelshit and do what Arsenal did on the last week end.

And to do that we need to be more solidy at the back ...Marko has been brilliant and I am sure he can deal with Azp but I would have jose instead of Moreno

Markovic is establishing himself into the first team. Stats zinaonyesha kuwa tunashambulia sana kupitia kwake which is a good sign hata kuwa more useful kama attacking midfield maana ana maamuzi ya haraka
 
To win this game BR needs to have respect to chelshit and do what Arsenal did on the last week end.

And to do that we need to be more solidy at the back ...Marko has been brilliant and I am sure he can deal with Azp but I would have jose instead of Moreno

Why Jose??? he offers nothing kwenye kuattack..tunaitaji pace kwenye both flanks..unless tuwe tunacheza kwa kujihami zaidi..
 
Why Jose??? he offers nothing kwenye kuattack..tunaitaji pace kwenye both flanks..unless tuwe tunacheza kwa kujihami zaidi..

That is what i meant...I would prefer him because the doesn't offer what Moreno does on attacking but he is solid on defending...we saw how well it worked on our last game

Hazard and Azp will be over marko and by having jose at the back that, will allow Can to move some steps to right

Inaweza ikaoneka siyo mawazo sahihi hasa kwa kuwa tuko nyumbani lakini sitopenda kuona we got caught out again like last season. Ningependa kuona hatuchezi open style of attacking football all the time, especially kwa timu inayobana uwanja kama chelshit
 
Markovic is establishing himself into the first team. Stats zinaonyesha kuwa tunashambulia sana kupitia kwake which is a good sign hata kuwa more useful kama attacking midfield maana ana maamuzi ya haraka

Kitu kizuri zaidi ni his work rate to help the defenders...there was an incidence where by cleverly alikuwa atutungue kama siyo sliding blocking aliyoifanya. He is doing brilliant kwenye kukaba as well
 
Back
Top Bottom