Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tatizo la Rentboys ni kuwa wapo very defensive. Kila mechi wana prioritize kudefend then wanashambulia kwa kubahatisha bahatisha. Kila wanapocheza kiushambuliaji wanashindwa kuondoka na point 3. kitu kingine ushindi wa Liverpool umezidi kuongeza ushindani wa top 4. Sasa hivi Southampton, Arsenal, Man utd, Liverpool, City timu yoyote inaweza kumaliza katika nafasi ya 2.


Jidanganyeni tu na eti wanalinda tu waulizeni hawa LFC wanaijua shughuli yetu.
 
Mimi siyo bubu..hivyo kuongea siyo jambo la ajabu...

Wewe na wenziyo ni mabubu?

hahahaaaa.... umeichukulia vibaya, mie nililmaanisha unaongea tu, ila humaanishi - manure will never finish second!!

Its a good day today bro
 
Jidanganyeni tu na eti wanalinda tu waulizeni hawa LFC wanaijua shughuli yetu.

Mpo hivyo mkuu. Mkiprioritie kucheza attacking football mnapoteza unity yenu.Hamchukui risk nyingi kushambulia timu. Ndio maana hampotezagi mechi nyingi. Ni mara chache utakayoona Chelsea wanacheza kama walivyocheza Liverpool. Ukiondoa Hazard na maybe Cesc wachezaji wengine akili ipo defending.
 
hahahaaaa.... umeichukulia vibaya, mie nililmaanisha unaongea tu, ila humaanishi - manure will never finish second!!

Its a good day today bro

Nami wala sijaichukulia ubaya...nimeongea kwa kuwa kuongea ni kawaida kwa mtu anayeweza kuongea, au siyo?

Mimi nimeshaweka bet na mloserfool Malafalye...na naweka na maloserfool wote humu sasa kwa kuweka hela, nyiye hata msiweke chochote..

Liverpool ikamaliza juu ya United msimu huu, licha ya kupigwa ban ya mwaka mzima kwenye jukwaa la United, nitawapa washabiki wa Liverpool US$ 100 wa jukwaa hili
 
11046748_10153265067057573_1744261680361472352_n.jpg
 
Back
Top Bottom