MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
unaikumbuka PRE-SEASON ya Manure??????
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
#GoodOLDtimes
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
#GoodOLDtimes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua Sana kwamba sisi ni watani wa jadi ndo maana nami nikakujibu hivyo hivyo kimatani lakini naona mwenzangu ukapaniki...... Anyway lets end the discussion all its fine.
Hapa tuna demokrasia ya hali ya juu sana!Hapa sio kama kule kwenu ambapo kuna ukiritimba sana wa kupashsna habari
Bet yetu ya kuninunulia kitimoto mzima Majogoo tukishinda na mm kukupa 24 packs ya Savanah tukifungwa bado ipo?
😀 ipoooo!! Kuna uzi niliona unasema uko Canada usharudi? Ila hizo Savana mimi ntafanya biashara tu maana situmii
MB trashed BR on Instagram!!
I dont know kama ni broken English Or alimaanisha kusema Vile!!!
MB kasemaje mkuu?
"SOMEONE DOESN"T LIKE ME, But differently of what they say about me ima a team player and am so proud of my team, of this win and of these fans, lets keep going"
Hapo kuna errors kibao!!! but kutokana na hizo errors inanifanya niamini kuwa alikuwa ameintend kusema "some people dont like me"..
but sijui alimaanisha nini!! manake kama ni MTU basi lazima kamlenga BR...na itamwaribia..
Hivi mtu unajiskiaje kuwa shabiki wa manure????...
Team bovu
Flops kibao
Kocha haeleweki
Msaidizi wake ni GIGGS.
FELLAIN ni mchezaj muhimu.
Ashley Young playing like Di maria
Di Maria playing like The "old" Young
BLIND kiungo Muhimu
HERRERA ndo MAGICIAN
EVANS ni Beki Muhimu.
SCRAPPY WINS...
Ushabiki bhana, huwa unafanya watu wasiamini yale ambayo ni rahisi kuaminika!!..ni kama vile shabiki wa Spurs, So'ton na Man Utd kuamini kuwa watamaliza TOP FOUR this season!!!!!!
"SOMEONE DOESN"T LIKE ME, But differently of what they say about me ima a team player and am so proud of my team, of this win and of these fans, lets keep going"
Hapo kuna errors kibao!!! but kutokana na hizo errors inanifanya niamini kuwa alikuwa ameintend kusema "some people dont like me"..
but sijui alimaanisha nini!! manake kama ni MTU basi lazima kamlenga BR...na itamwaribia..
Liverpool 'umeisahau' makusudically?
Hapa ndipo MB anapo nifurahishaga ila me nahisi kamlenga BR
ni BR tu!!!!!