Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mourinho umemaliza. watu wasipoelewa haya uliosema yote basi ujue kuna shida.....

Alafu bado eti wanakua na matumaini ya kuingia top 4 eti kisa kisa bado kuna michezo 8 wakati huo wanasahau bado hawajukatana na gwiji la mbinu Jose Mou na Mzee Wenger......BR ndio wa kulaumiwa ktk yote haya.

Hapo umenena
 

Attachments

  • 1427171695792.jpg
    1427171695792.jpg
    9.5 KB · Views: 76
Last edited by a moderator:
Ntuzu hii notion yako kama BR hashindi teams kubwa anakuwa hana back up ya kum support

Man U mwaka jana nimempiga home and away=fact

Mwaka jana Arsenal kanipiga kwake nikampiga kwangu=fact

Man City mwaka jana nimempiga kwangu kanipiga kwake=fact

Sasa madai kama BR anafungwa na team kubwa ipo wapi?Man U ni team kubwa zaidi ya Chelsea na BR kampiga mara mbili kwenye league

Mkuu swala hapa ni kwamba BR approaching yake ktk timu kubwa imekua ni mbovu na hasa kutokana na kwamba anapenda sn kutaka kuwafunga makocha wakubwa au timu kubwa ili ajisikie fahari na hii inapelekea kuandaa timu yake vibaya na kujikuta akipigwa hapo hapo.....

Msimu uliopita mlimfunga ManU chini ya David Moyes lkn hii ManU chini ya kocha mwenye akili na nidhamu mzee Van Gaal BR ata pata taabu sn kuifunga ni sawa na kwa Mourinho anavopata tabu pia.....

Mzee Wenger anakuandalia dawa yako tu ipo siku atakufunga hapo kwako na hautoamini....utabaki kugawana point na Pellegrine tu na yeye siku City wakia ktk ubora wao jongoo atachinjwa hapo hapo kwenu na kuliwa.

Unaweza ukaniambia ni kwanini mlicheza ktk kiwango kibovu na Swansea? Unaweza kuniambia ni kwanni BR aliweka benchi wacheza wazuri ktk mchezo wenu muhimu wa UEFA pale Madrid? Je, alipata matokeo mazuri ktk mchezo uliofata?
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu hii notion yako kama BR hashindi teams kubwa anakuwa hana back up ya kum support

Man U mwaka jana nimempiga home and away=fact

Mwaka jana Arsenal kanipiga kwake nikampiga kwangu=fact

Man City mwaka jana nimempiga kwangu kanipiga kwake=fact

Sasa madai kama BR anafungwa na team kubwa ipo wapi?Man U ni team kubwa zaidi ya Chelsea na BR kampiga mara mbili kwenye league

Mkuu swala hapa ni kwamba BR approaching yake ktk timu kubwa imekua ni mbovu na hasa kutokana na kwamba anapenda sn kutaka kuwafunga makocha wakubwa au timu kubwa ili ajisikie fahari na hii inapelekea kuandaa timu yake vibaya na kujikuta akipigwa hapo hapo.....

Msimu uliopita mlimfunga ManU chini ya David Moyes lkn hii ManU chini ya kocha mwenye akili na nidhamu mzee Van Gaal BR ata pata taabu sn kuifunga ni sawa na kwa Mourinho anavopata tabu pia.....

Mzee Wenger anakuandalia dawa yako tu ipo siku atakufunga hapo kwako na hautoamini....utabaki kugawana point na Pellegrine tu na yeye siku City wakia ktk ubora wao jongoo atachinjwa hapo hapo kwenu na kuliwa.

Unaweza ukaniambia ni kwanini mlicheza ktk kiwango kibovu na Swansea? Unaweza kuniambia ni kwanni BR aliweka benchi wacheza wazuri ktk mchezo wenu muhimu wa UEFA pale Madrid? Je, alipata matokeo mazuri ktk mchezo uliofata?
 
Last edited by a moderator:
Skrtel kukosa mechi na Arsenal ni pengo sana!Huyu ni moja kati ya CB bora kabisa kwa sasa EPL

Sakho alikuwa bora kabisa ktk game na Man U sababu anajua akikosea Skrtel ata cover,sasa atacheza Lovren daaah

lovren anae wenge sanaa sijui hata itakuaje
 
Unaweza ukaniambia ni kwanini mlicheza ktk kiwango kibovu na Swansea? Unaweza kuniambia ni kwanni BR aliweka benchi wacheza wazuri ktk mchezo wenu muhimu wa UEFA pale Madrid? Je, alipata matokeo mazuri ktk mchezo uliofata?

Unaweza kuniambia kwa nn mlicheza soka bovu na Newcastle?Unaweza niambia kwa nn uli struggle kwa Soton?Sometimes hata makocha wazuri kuna siku mbinu zao zina shindwa

Mkuu Man U ningekuwa timilifu asingenifunga,nakuambia tena SG kawapa Man U game hii na hasa ni mahasira yake ya kuwekwa benchi mechi muhimu kwake ya kuaga kama hii
 
Unaweza kuniambia kwa nn mlicheza soka bovu na Newcastle?Unaweza niambia kwa nn uli struggle kwa Soton?Sometimes hata makocha wazuri kuna siku mbinu zao zina shindwa

Mkuu Man U ningekuwa timilifu asingenifunga,nakuambia tena SG kawapa Man U game hii na hasa ni mahasira yake ya kuwekwa benchi mechi muhimu kwake ya kuaga kama hii

Mbona maswali yangu haujibu wewe na unakuja na maswali yako mengine? Nimeshakwambia hivi km Rooney angemuachia JuanMata apige ule mkwaju wa penalty mlikua mpasuke tu ata km mngekua 11 maana msingerudisha ta km ManU wangekua na beki mbovu km ya timu ya MGAMBO.
 
Still a pissed off me. I can't live with that Manure defeat...

This is from here....Brendan Rodgers has Two Weeks to Fix a Broken Midfield and Save Liverpool?s Season - The Liverpool Offside

Brendan Rodgers has Two Weeks to Fix a Broken Midfield and Save Liverpool's Season

Liverpool struggled against Blackburn and Swansea but survived. They struggled against Manchester United and didn't. Now Brendan Rodgers has two weeks to try and save Liverpool's top four chances.

Having been outplayed by Swansea in the first half, Liverpool were fortunate to enter the break level a week ago. Running out the same personnel in the same formation and having been outplayed just as thoroughly by Manchester United on Sunday, Liverpool were less fortunate. Or they were fortunate to only be down one to a side that, as with Swansea, couldn't have been called lucky if they'd scored two or three.

It was a disappointing showing, perhaps more so given how predictable it really was. Liverpool had run out mostly the same midfield against Blackburn in the FA Cup two weeks previously, only with Emre Can pushed up in place of Joe Allen, and the result had been a dull draw where Liverpool largely failed to control the middle despite their numerical advantage. Blackburn hadn't looked likely to win the match, either, but then they were the Championship side.

A week later, with Can back in the defence and Allen in midfield, came the match against Swansea and a lucky, largely undeserved victory. A week after that largely disappointing showing, Brendan Rodgers selected the same four in the middle to face Manchester United, and for the third time in three matches Liverpool's personnel completely failed to control the middle of the park despite having a numerical advantage there.

There were other problems. Alberto Moreno had the off-night of his life and Raheem Sterling-who Rodgers recently said was poorly suited to playing wingback-looked invisible playing wingback. Daniel Sturridge, goal aside, provided little movement or quality up top and grew increasingly frustrated as he was left increasingly isolated. For the third match in a row, nothing seemed to be working. Only this time, the opposition was better.

Whether it's personnel or tactics or simply overplaying the same core group of players-players like Emre Can, who at 20 years of age looks increasingly jaded from his heavy workload at a position he's only filling in at-it was clear at the half against Swansea that this was a Liverpool side in desperate need of a tweak. All of which made it surprising to see an unchanged eleven running out against United just as they had against Swansea.

Rodgers has had some brilliant managerial moments in his time at Liverpool. He has done some unexpected, unorthodox things and gotten great results. Abandoning any hint of defensive solidity in favour of a holding midfielder judged for his attacking qualities helping to fuel an offensive madhouse last year was something few managers would have tired. Rodgers tried it, and it brought Liverpool as close to a title as they've been in more than two decades.

This season, a switch to three at the back was just as unexpected; just as unlikely. And it's been, over the past few months, arguably just as effective. Yet despite those moments of brilliance and his clear promise, there remain frustrations born of a seeming stubbornness. Even the change in approach this season, successful as it's clearly been, came months after it had become clear that something desperately needed changing.

Things clearly needed changing this week, too, and they didn't against United. The same box-four midfield that had been dominated in the first half against Swansea was again dominated. Then, Steven Gerrard-a player Rodgers seemingly continues to judge for his career contribution rather than his play this season-came on to put the final nail in the coffin, consigning Liverpool to a defeat earned in the first half and at best hugely denting their top four chances.

The fortunate thing, both for Rodgers and for Liverpool, is that there are now two weeks in which to figure out what comes next. Two weeks to figure out what this Liverpool side needs to do to click back into gear after their recent slump in form. There were always going to be dropped points at some stage; Liverpool's top four chances were always going to take a hit. What matters now is fixing the problems quickly and finding the way forward again.

The stubbornness that saw Liverpool fail against United in exactly the same manner in which they'd failed against Swansea and Blackburn is disappointing, but if the problems can be fixed in time for Liverpool to earn all three points on the road against Arsenal they may quickly be forgotten. Personnel; formation; tactics. This is a Liverpool side in need of a change. And that change can't be as long in coming as it was in the autumn.
 
Mkuu Man U ningekuwa timilifu asingenifunga,nakuambia tena SG kawapa Man U game hii na hasa ni mahasira yake ya kuwekwa benchi mechi muhimu kwake ya kuaga kama hii

Yaani wewe bado unajitutumua tu? Ulipaswa kuwa umepewa bakhshishi yako.

Hivi, kumbe kabla ya Gone in 38 seconds' hajatolewa, Loserfools ilikuwa ikiongoza? Kweli ilikuwa nbele kwa bao 1-0. Kisha alipotolewa, wakafungwa magoli 2!

Wewe jamaa ni mweupe sana. Hakuna hoja yoyote ya maana unayotoa sasa zaidi ya kujiweka uchi tu humu.

PSG waliweza kupata droo nyumbani kwa Rentboys wakiwa pungufu. Kipi kiliwashinda Loserfools kupata angalau droo?

Chifu, kuwa mpole tu. Kubali ilipigwa goli 2-1, kisha jipange kwa game ijayo.
 
Yaani wewe bado unajitutumua tu? Ulipaswa kuwa umepewa bakhshishi yako.

Hivi, kumbe kabla ya Gone in 38 seconds' hajatolewa, Loserfools ilikuwa ikiongoza? Kweli ilikuwa nbele kwa bao 1-0. Kisha alipotolewa, wakafungwa magoli 2!

Wewe jamaa ni mweupe sana. Hakuna hoja yoyote ya maana unayotoa sasa zaidi ya kujiweka uchi tu humu.

PSG waliweza kupata droo nyumbani kwa Rentboys wakiwa pungufu. Kipi kiliwashinda Loserfools kupata angalau droo?

Chifu, kuwa mpole tu. Kubali ilipigwa goli 2-1, kisha jipange kwa game ijayo.

Umehama kwenye point yako mfu kama Man U ilitawala soka sasa unakimbilia mifano ya PSG?

Tukikuuliza huko kutawala soka unakosema Man U walitengeneza nafasi ngapi nzuri kipindi cha kwanza unabaki kupepesa macho tu

Kucheza pungufu kwa dakika 51 na kuweza hadi kufunga bao inaonyesha jinsi gani team yangu ilivyo imara!Bayern wamemfunga mtu 7-0 kwa kutumia nafasi ya upungufu!Mfano wako wa PSG unakuwa hauna maana na matokeo ya Bayern na Wale warusi!

Sijapata ona mtu mweupe kwenye uchambuzi wa soka kama ww jamaa!
 
Tisha-TOTO ni kweli tume struggle mechi hizi kati sababu ya kuumia kwa Lucas na SG

Uzuri ni kwamba tuna weeks 2 za mapumziko na Lucas kapona na ataanxa Emitares

Wanao chonga kama tutafungwa Emirates wanajifurahisha tu
 
Last edited by a moderator:
Umehama kwenye point yako mfu kama Man U ilitawala soka sasa unakimbilia mifano ya PSG?

Tukikuuliza huko kutawala soka unakosema Man U walitengeneza nafasi ngapi nzuri kipindi cha kwanza unabaki kupepesa macho tu

Kucheza pungufu kwa dakika 51 na kuweza hadi kufunga bao inaonyesha jinsi gani team yangu ilivyo imara!Bayern wamemfunga mtu 7-0 kwa kutumia nafasi ya upungufu!Mfano wako wa PSG unakuwa hauna maana na matokeo ya Bayern na Wale warusi!

Sijapata ona mtu mweupe kwenye uchambuzi wa soka kama ww jamaa!

Sawa basi 😂😂😂
 
Sawa basi 😂😂😂

Mm sipo bias kama wewe na niliongea hapa baada ya mchezo wenu na Man City

Man U alipoteza mechi na Man City sababu ya uzembe wa kadi nyekundu ya kujitakia beki Smalling!Jinsi Man U alivyocheza mechi ile wangekuwa wako wote 11 Man City angechapwa kiurahisi tu

Lkn Nzi anajaribu kusema hapa kadi ya SG haikuathiri chochote ktk mechi hii!Haya naheshimu mawazo yako
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakuu wenzangu msivunjike moyo!Kumbe SG alichukia sana kuwekwa benchi mechi yake ya nwisho ktk EPL kucheza na wapinzani wakuu!Hata mpira wa kwanza kabla ya kadi alionyesha hasira tupu

Lucas kapona na kizuri zaidi tuna weeks mbili za mapumziko!Tuzidi kushikamana maana soka lina kufungwa;sare na kushinda
 
Yule Sturridge kaumia, je atakuwa nje kwa kipindi kirefu au ilikuwa ni namna ya kukacha kwenda kuchezea timu ya Taifa ili apate mapumziko?

Wakuu wenzangu msivunjike moyo!Kumbe SG alichukia sana kuwekwa benchi mechi yake ya nwisho ktk EPL kucheza na wapinzani wakuu!Hata mpira wa kwanza kabla ya kadi alionyesha hasira tupu

Lucas kapona na kizuri zaidi tuna weeks mbili za mapumziko!Tuzidi kushikamana maana soka lina kufungwa;sare na kushinda
 
Yule Sturridge kaumia, je atakuwa nje kwa kipindi kirefu au ilikuwa ni namna ya kukacha kwenda kuchezea timu ya Taifa ili apate mapumziko?
BAK Ndugu yangu najua sasa unayaogopa sana Majogoo hasa yalivyo jeruhiwa week ya jana

Hasira zangu namalizia Emirates
 
Last edited by a moderator:
Mbona maswali yangu haujibu wewe na unakuja na maswali yako mengine? Nimeshakwambia hivi km Rooney angemuachia JuanMata apige ule mkwaju wa penalty mlikua mpasuke tu ata km mngekua 11 maana msingerudisha ta km ManU wangekua na beki mbovu km ya timu ya MGAMBO.
mkuu unaongelea penalt kutopigwa na mata kwani rooney si alipiga lakini kipa mpira akaufata basi na huyo mata nae huwezi kujua pengine na yee angalipoteza kuliko hata rooney . penalt aliipiga vizuri tu ila kipa aliifata
 
Nimefurahishwa na sentesi yako ya mwisho ulimalizia....



Mkuu km BR hatobadilika hasa anapokutana na timu kubwa, top four hiyo msahau kabisa....

Mna michezo miwili mikubwa ambayo lazima mtapoteza wakati huo ManU wanaweza kupoteza mchezo mmoja tu mkubwa dhidi ya chelsea pale darajani na sasa wako juu yenu kwa points 5.....huoni km hamuwezi kufika top 4?
acha kukariri huyo man u kapigwa na swansea sembuse man city?
 
Back
Top Bottom