Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Am certain kuwa FSG watauza team, but hii ni mpaka upanuzi wa Anfield ukamilike, ili wauze kwa faida kubwa zaidi!

FSG had a good policy wakat wanaichukua team, walitaka LFC ianze upya tena (baada ya Daglish kufeli) that's why wakamchukua kocha kijana kabisa ili aanze kuisuka team upya, but kama Owners walitakiwa wajue team ni LAZIMA iwe na DOF, BR hakutaka DOF but ye siyo owner wa LFC, nadhan kama tungekuwa na DOF hata hiz promising talents tunazozichukua zingekuwa za maana kidogo (ilaramend, lucas silva, Firminho, Shaqir, papadopolous, montoya, morata, carvaliho, Danilo etc) lakin tunafel kutokana na ukiritimba uliopo kwenye team, kungekuwa na DOF sidhan kama transfer commitee ingekuwepo!

Kungekuwa na DOF, Aspas, Borin, cissokho, allen, luis Alberto, etc wasingesign kabisa, comolli japokuwa alikuwa na mapungufu but alikuwa anatusaidia kwenye usajili, alimleta Suarez! But comolli hakuwa na nguvu mbele ya Ayre na Daglish, na sasa BR hana nguvu mbele ya Ayre, but as a manger mtu kama Ayre hatakiwi kukusumbua, coz team ikifeli manager ndo utalalamikiwa na siyo Ayre, ayre kaz yake itaendelea kuwepo, na hapo napo FSG wameshindwa kupatatua, Manager ndo anatakiwa awe mtu wa mwisho katika maamuzi, bt the owners wanamsikiliza Ayre, scousers wenye vyeo LFC used to hate on Benitez Coz alikuwa hatak kuburuzwa wala kuamuliwa vitu, ndo maana idea ya kumrudisha LFC huwa inagoma! BR hayupo hivyo!


Na as long as tutakuwa tunapromote na kuwakuza youngsters, team haitaendelea, coz at the end tutawauza madrid au Barca, na kupandisha tena youngsters wengine, hiyo system ishafel Arsenal na inafeli kule Dortmund, na Benifica inazidi kuwa si kitu Ulaya na Sevilla inazidi kuwa club ya kawaida spain just like us pale Uingereza, tunauza Sterling, then tutauza Cou, ibe, Can, Markovic, Moreno etc..then tutanunua kina Vietto na baadae tutawauza tena! That's how it works now, policy ya FSG ishafeli na sasa wanaAim katika Faida tu, mpaka upanuz utakapokamilika wauze club!

FSG wamefeli, Ayre amefeli, na BR as a Manager kama aspochukua FA cup atakuwa amefeli pale Anfield, Manager huwez kuamuliwa mambo na commitee au Ayre ambaye yupo kwenye kitengo cha commercial, manager and his coaches ndo wanatakiwa waamue usajili wa mchezaji!

Fair analysis, mkuu.
 
Am certain kuwa FSG watauza team, but hii ni mpaka upanuzi wa Anfield ukamilike, ili wauze kwa faida kubwa zaidi!

FSG had a good policy wakat wanaichukua team, walitaka LFC ianze upya tena (baada ya Daglish kufeli) that's why wakamchukua kocha kijana kabisa ili aanze kuisuka team upya, but kama Owners walitakiwa wajue team ni LAZIMA iwe na DOF, BR hakutaka DOF but ye siyo owner wa LFC, nadhan kama tungekuwa na DOF hata hiz promising talents tunazozichukua zingekuwa za maana kidogo (ilaramend, lucas silva, Firminho, Shaqir, papadopolous, montoya, morata, carvaliho, Danilo etc) lakin tunafel kutokana na ukiritimba uliopo kwenye team, kungekuwa na DOF sidhan kama transfer commitee ingekuwepo!

Kungekuwa na DOF, Aspas, Borin, cissokho, allen, luis Alberto, etc wasingesign kabisa, comolli japokuwa alikuwa na mapungufu but alikuwa anatusaidia kwenye usajili, alimleta Suarez! But comolli hakuwa na nguvu mbele ya Ayre na Daglish, na sasa BR hana nguvu mbele ya Ayre, but as a manger mtu kama Ayre hatakiwi kukusumbua, coz team ikifeli manager ndo utalalamikiwa na siyo Ayre, ayre kaz yake itaendelea kuwepo, na hapo napo FSG wameshindwa kupatatua, Manager ndo anatakiwa awe mtu wa mwisho katika maamuzi, bt the owners wanamsikiliza Ayre, scousers wenye vyeo LFC used to hate on Benitez Coz alikuwa hatak kuburuzwa wala kuamuliwa vitu, ndo maana idea ya kumrudisha LFC huwa inagoma! BR hayupo hivyo!


Na as long as tutakuwa tunapromote na kuwakuza youngsters, team haitaendelea, coz at the end tutawauza madrid au Barca, na kupandisha tena youngsters wengine, hiyo system ishafel Arsenal na inafeli kule Dortmund, na Benifica inazidi kuwa si kitu Ulaya na Sevilla inazidi kuwa club ya kawaida spain just like us pale Uingereza, tunauza Sterling, then tutauza Cou, ibe, Can, Markovic, Moreno etc..then tutanunua kina Vietto na baadae tutawauza tena! That's how it works now, policy ya FSG ishafeli na sasa wanaAim katika Faida tu, mpaka upanuz utakapokamilika wauze club!

FSG wamefeli, Ayre amefeli, na BR as a Manager kama aspochukua FA cup atakuwa amefeli pale Anfield, Manager huwez kuamuliwa mambo na commitee au Ayre ambaye yupo kwenye kitengo cha commercial, manager and his coaches ndo wanatakiwa waamue usajili wa mchezaji!

Mkuu Umemaliza kila kitu hapo.
 
Aende kwenye 4-3-3 au 4-4-2!

Hatuna midfield wa maana wa kuhold mipira kwenye hiyo 4-1-3-2!

Akienda 4-4-2, basi iwe 4-4-2 Diamond si mbaya!
-----------------------Mig-----------------------
Manq-----Lovren----Sakho-----Moreno
--------------------Lucas-----------------------
-----------Hendo----------Cou-----------------
--------------------Lallana---------------------
---------Sturridge---------Sterling-----------

Hapo kwa Manq, Emre akirudi atasimama yeye, sabab iyo 4-1-3-2 nilikua naangalia sana namna ya kusaidia ukuta kua strong, maana hatuna ukuta kabisa ile gel ya 3-4-3 imeshapotea, can't imagine Kolo/Lovren kusimama na Sakho
 
Akienda 4-4-2, basi iwe 4-4-2 Diamond si mbaya!
-----------------------Mig-----------------------
Manq-----Lovren----Sakho-----Moreno
--------------------Lucas-----------------------
-----------Hendo----------Cou-----------------
--------------------Lallana---------------------
---------Sturridge---------Sterling-----------

Hapo kwa Manq, Emre akirudi atasimama yeye, sabab iyo 4-1-3-2 nilikua naangalia sana namna ya kusaidia ukuta kua strong, maana hatuna ukuta kabisa ile gel ya 3-4-3 imeshapotea, can't imagine Kolo/Lovren kusimama na Sakho

Hapo kwa Lallana, ningemwanzisha Lazar!
 
Mkuu ericford kuna utani huwa unaletwa ila hili siyo jambo la utani vema ukatambua hili ni jukwaa la sports ulipofika siyo sahihi kabisa
 
Last edited by a moderator:
haya jaman watani...mnisamehe

Mkuu hii ni soccer tu, ndio maana hata ushinde ama ufungwe 10-0, bado game ikiisha tunapeana mikono!!P'se fanya ustaarabu tu kwa kuiondoa.
Tuna kila sababu ya kukusamehe tukiamini may be furaha yako ilipitiliza kwa ushindi wa juzi, but la msingi ni wewe kuiondoa picha iyo kwanza.
 
Kwanini mpk sasa hiyo picha bado ipo?
@modirator Invisible nawaombeni mtusaidie kuondoa picha hiyo!
 
Last edited by a moderator:
ericford itoe hiyo picha hapa tafadhali

Hauna adabu na haujafunzwa vyema ulipotoka!Majukwaa yote ya sports hapa tunatembeleana na tunapeana changamoto kwa lugha za heshima

Msamaha wako hauna maana kama utagoma kuitoa picha yako hapa

Ww ni kijana wa hovyo hovyo kabisa kupata kumuona
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hii ni soccer tu, ndio maana hata ushinde ama ufungwe 10-0, bado game ikiisha tunapeana mikono!!P'se fanya ustaarabu tu kwa kuiondoa.
Tuna kila sababu ya kukusamehe tukiamini may be furaha yako ilipitiliza kwa ushindi wa juzi, but la msingi ni wewe kuiondoa picha iyo kwanza.

Jamaa analeta ujinga wa kwenye facebook!
 
Next time ikitokea kitu kama hicho hakuna haja ya kuwatafuta mod we bonyeza Report Abuse tu kuna mod wako active watachukua hatua na sio lazima umtag Invisible huenda hayuko online

Thx Belo
Mambo km hayo yanauzi sn.
 
Last edited by a moderator:
Sawa mkuu, nakubali BR naye ana share yake ya blame (esp kwenye usajili).

Ninachokipinga ni watu kumwangushia yeye pekee jumba bovu wakati mimi naona anajitahidi sana ukizingatia aina ya wachezaji alio nao. Sasa sijui zile needless red cards pia tutamlaumu BR?

These days football success is all about money, nothing else. Na commitment hii FSG wasimwachie BR peke yake - wahakikishe wanai-manage directly. It's now down to them (FSG) to do a Chelsea or ManCity ambao miaka kumi iliyopita or so walikuwa nobodies lakini thanks to commitment ya owners sasa hivi ndiyo football powerhouses si EPL pekee bali UCL pia.

The Yankees need to start buying the best or else sell LFC to the Arabs / Russians!

Tuendelee kusemezana ili tutibu chanzo halisi cha ugonjwa wetu na si dalili za ugonjwa....

Liverpool must spend more to win the league, says Ray Houghton
...............BBC Sport...............

Liverpool need to break their wage structure if they are to win the Premier League, according to former player Ray Houghton.

His comments come after forward Raheem Sterling rejected a new £100,000-a-week contract to stay at Anfield.

Houghton says the club cannot compete with the Premier League's top spenders.
The 53-year-old told BBC World Service: "The owners are going to have to try and do something about it. Whether they are willing to, only time will tell."

Liverpool are seven points adrift of the Champions League places after damaging back-to-back defeats by Manchester United and Arsenal.

Former Republic of Ireland international Houghton said: "Liverpool are not in that area when it comes to actually spending and paying out on wages. They can only bring in a certain calibre of player.
"That may have to change if they are going to really be competitive to win the league and be competitive once they get back into the Champions League."

Liverpool sold top scorer Luis Suarez to Barcelona in the summer for £75m, while their most expensive signing in the summer transfer window was Adam Lallana from Southampton for £25m.
Manchester United, meanwhile, signed Angel Di Maria for a British record £59.7m, Arsenal bought Alexis Sanchez for £35m and Chelsea spent £32m on striker Diego Costa.
Houghton added: "I don't think Liverpool can compete with Manchester City, Chelsea and Manchester United when it comes to paying wages.

"You look at some of the players at their clubs reputedly on £250,000 to £300,000 a week.
"Liverpool can't pay that. I think that the highest-paid player is Daniel Sturridge and I heard that figure is about £150,000 a week."
 
Back
Top Bottom