Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanted man: Fernando Torres is disillusioned at Liverpool and is tempted by the offer from Chelsea
Naamini mseto wa suarez(street fighter) na carroll utafariji wana anfield kuliko torres ambaye kwa kipindi cha karibuni bado alikuwa anachechemea kurudi kwenye kilele cha ufumania nyavu kilicho watia wazimu mashabiki. Heri zake darajani!
Naamini mseto wa suarez(street fighter) na carroll utafariji wana anfield kuliko torres ambaye kwa kipindi cha karibuni bado alikuwa anachechemea kurudi kwenye kilele cha ufumania nyavu kilicho watia wazimu mashabiki. Heri zake darajani!
Torres anaenda kumalizia career yake ya mpira Chelsea kama alikuwa anataka kombe asingeenda huko....
Torres anaenda kumalizia career yake ya mpira Chelsea kama alikuwa anataka kombe asingeenda huko....
Nitakukumbusha haya maneno yako wakati akinyanyua kombe, kumbuka Chelsea sio kama pretenders Fat Arse.
Nitakukumbusha haya maneno yako wakati akinyanyua kombe, kumbuka Chelsea sio kama pretenders Fat Arse.
Nitakukumbusha haya maneno yako wakati akinyanyua kombe, kumbuka Chelsea sio kama pretenders Fat Arse.
Inaonekana kuwa carol ni mchezeshaji wa timu zaidi kuliko tores..
Inaonekana kuwa carol ni mchezeshaji wa timu zaidi kuliko tores..
Peasant, kumbuka kwamba Torres has never won any cup at club level... Na cha pili ni kwamba sioni chesi wakichukua kombe msimu huu, labda mwakani, the players are aging, hata dynamo essien siyo yenyewe, lampard ni causality, drogba amezeeka nk.Nitakukumbusha haya maneno yako wakati akinyanyua kombe, kumbuka Chelsea sio kama pretenders Fat Arse.