Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Peasant, kumbuka kwamba Torres has never won any cup at club level... Na cha pili ni kwamba sioni chesi wakichukua kombe msimu huu, labda mwakani, the players are aging, hata dynamo essien siyo yenyewe, lampard ni causality, drogba amezeeka nk.

Unless muanze upya for the next season, and with liverpool new owners dont expect its going to be easy to win

Ushauri wangu aangalie kiwango cha Carroll afananishe na Torres
YouTube - Luis Suarez debut every touch against Stoke
 
Peasant, kumbuka kwamba Torres has never won any cup at club level... Na cha pili ni kwamba sioni chesi wakichukua kombe msimu huu, labda mwakani, the players are aging, hata dynamo essien siyo yenyewe, lampard ni causality, drogba amezeeka nk.

Unless muanze upya for the next season, and with liverpool new owners dont expect its going to be easy to win


Najua vizuri sana kwamba hajachukua kombe na club, na hii ndio sababu akaamua kwenda Chelsea maana ana chance zaidi ya kuchukua kombe akiwa Chelsea (sio lazima mwaka huu) kuliko Loserfool.
 
Nimesikitishwa sana na maneno haya ya torres; source soccernet
Torres: I never loved Liverpool

February 5, 2011

By ESPNsoccernet staff

Fernando Torres has played down the emotional aspect of his Chelsea debut against Liverpool by claiming the only club he truly loves is Atletico Madrid.
fernandotorresshirt20110204_275x155.jpg
PA PhotosFernando Torres, Chelsea's No. 9


• Henry explains Carroll deal
• Henry praises Dalglish and Anfield
• Carroll: I'll justify price tag
• Torres couldn't wait for Reds revival
• Chelsea v Liverpool: Preview
• Rafa: Torres could have cost £70m
• Luis Suarez interview
Torres has promised not to celebrate if he scores against former club Liverpool at Stamford Bridge on Sunday out of respect for their fans, but he also removed himself from his status as Anfield hero by claiming he "never kissed the badge" while at the Reds.
While many Liverpool fans are unhappy with their former idol's £50million move away from Anfield, Torres bluntly stated he was simply a professional footballer with his own ambitions and that the only club in his heart is Atletico, who he left for Liverpool.
"I never kissed the Liverpool badge,'' he said. "Never. No. Kissed the badge? No. I never did. I never did when I was at Atletico Madrid, and I love Atletico, my former club. I see some players doing that when they join a club but the romance in football has gone. It's a different thing now. People are coming and leaving. When you are joining a club you want to do the best for yourself and that club and that's all.
"Some people like to kiss the badge. They can do it. I only want to score goals and do my job and achieve all the targets the team has. When I was born in Madrid I was not a Liverpool fan or a Chelsea fan. I was only an Atletico Madrid fan. I still am. Maybe it's the only badge I will kiss if I have to kiss one.''
Many have speculated as to the sort of reception Torres will receive from his former supporters, but he is sure that on the field at least, he will be given a friendly welcome, citing captain Steven Gerrard as one who has wished him the best with his new club.
He added: "He was one of the first ones who called me and said if I left, if I stayed, he would help me and support me. Maybe because he was in that situation first. He's been a very good friend and team-mate from the first to the last day. He only wanted the best for me and said he'd agree with whatever decision I made.''
He added: "I think 'traitor' makes no sense. I played three very good seasons there, left massive money there, lots of goals, good performances. I'm very happy with everything I did there. Maybe it's too soon to ask for a good reception. I'm not expecting that. But it would be a surprise for me if I get a very bad reception.''
 
Najua vizuri sana kwamba hajachukua kombe na club, na hii ndio sababu akaamua kwenda Chelsea maana ana chance zaidi ya kuchukua kombe akiwa Chelsea (sio lazima mwaka huu) kuliko Loserfool.
mshkaji huwa unakula nini? mbona kuna wakati unaandika kama umepata wheeda?
 
Najua vizuri sana kwamba hajachukua kombe na club, na hii ndio sababu akaamua kwenda Chelsea maana ana chance zaidi ya kuchukua kombe akiwa Chelsea (sio lazima mwaka huu) kuliko Loserfool.
Chelsea, timu ya juzi ha ha ha! karibuni UEFA ndogo maana hamuwezi kumaliza top 4
 
mshkaji huwa unakula nini? mbona kuna wakati unaandika kama umepata wheeda?


Shhhhhhhhhhhhhh ... ...! Nyamaza usipige kelele mwenzio ametoka kubugia unga kutoka kwa JT imebidi amletee haraka maana alikuwa yuko taabani bila kubwia unga huwa anapata kichaa. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee


Chelsea, timu ya juzi ha ha ha! karibuni UEFA ndogo maana hamuwezi kumaliza top 4


Baeleze mkuu khe khe kheeeeeeeeeeee
 
This JOB was not only perfectly done but also Beautifully Completed...Nice win against Chelsea.....Regardless of DROGBA, ANELKA and TORES but u guys made it very nicely and neat...I really LIKE it....Why cant u make the TOP 4???? With this spirit!!!!! U WILL..........
 
Hahahah... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee, ati torres alisema ataifunga liverpool, and he has gone to a bigger club

huyo ana gundu kwenye club futbol, hata hiyo ya spain ni sababu kuna akina fabregas, hernandes na wengine waliozoea kushinda

nitafanya sherehe kubwa sana tukimaliza juu ya the scums
 
Hahahah... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee, ati torres alisema ataifunga liverpool, and he has gone to a bigger club

huyo ana gundu kwenye club futbol, hata hiyo ya spain ni sababu kuna akina fabregas, hernandes na wengine waliozoea kushinda

nitafanya sherehe kubwa sana tukimaliza juu ya the scums


Fabregas kashinda nini kwenye club?! BTW, hongereni Loserfools kwa ushindi.
 
This JOB was not only perfectly done but also Beautifully Completed...Nice win against Chelsea.....Regardless of DROGBA, ANELKA and TORES but u guys made it very nicely and neat...I really LIKE it....Why cant u make the TOP 4???? With this spirit!!!!! U WILL..........
i love this post mkuu
 
Fabregas kashinda nini kwenye club?! BTW, hongereni Loserfools kwa ushindi.
he has contribute more to the spain team that torres... fuatilia aisee

pole sana lakini, you are a truely peasant mazee, hasa baada ya kibano cha leo with 71M quids onboard while we were 50M quids less

khekhekheeeeeeeeeeee khekheeeeeeeee, khekheeeeeeeeeeeee heheheheeeeeeeeeeeeeeee

we have completed a remarkable double against the scums
 
El Nino Who???? We never walk alone !!!! Liverpool for life not just for Christmas !!!!. You Will Always Walk Alone Torres
 
Tatizo la utabiri bwana! Baadae unalazimika kuwa mpole tu! Sasa huyu Torres lazima auzwe kama Schechvenko! Next summer kuna exodus ya wazee chelsea then they will start rebuilding and he will have to wait for the players to blend and he will be 29 sooner than he thinks! He betrayed us for the money!
 
mmefanya vzur sana kumfunga chelsea ila mmepewa goli mana halikuwa goli halali ila ilikuwa fleesh kumfunga chelsea ila kwa haki saf lakn na hongeren kwa ushnd wa kupewa
 
...ACID, MTM...:clap2::clap2::clap2:....hESHIMA yA bWAWA lA mAINI iNARUDI kIDOGO kIDOGO!!!
sAAFI sANA!!!
 
Chelsea clintonnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn:clap2:Money can not buy history or glory!!
 
Back
Top Bottom