Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

salama sana mkuu, nasikitika tulipoteza machi mbili kilaini sana mkuu, i almost quit supporting Liverpool this season; jamaa walikua wanacheza kama wako bichi

.....pls dont!!!
 
YNWA!!!!-You're Now Walking Alone!teh!teh!teh!

...bitch please!!

Now back to topic... i watched yesterday's game, it was brilliant in every way, we dominated played well and a wonder goal by coates but QPR had a moment of magic!! congrats to them

I would complaint kabisa game ya jana
 
nilipenda bao la kwanza la liver....!

P.S - poleni
 
Huyu Kenny Daglish leo ndio kajifanya kuwakumbuka Raheem Sterling na Eccleston siku zote alikuwa wapi? anawaweka ili apate sababu ya kusema yeye ndio ameweka vibaji vidogo hana lolote mie nataka leo "WIGAN" washinde ili huyu Kenny Daglish na World Class Player wake Caroll waondoshwe upuuzi mtupu Kenny na uwozo wake alioununuwa utupiliwe mbali Hasa Downing na Caroll mnaweza kusema Downing anacheza ila mie naona anakokota tu mpira hajui anapoenda akishindwa ndio ana shoot hana lolote Handerson anapata tabu sababu wabovu wachezaji pale.
 
...bitch please!!

Now back to topic... i watched yesterday's game, it was brilliant in every way, we dominated played well and a wonder goal by coates but QPR had a moment of magic!! congrats to them

I would complaint kabisa game ya jana

YNWA-You're Normally Walking Alone!lol!utaendelea kutukana sana mi nitaendelea kukukera kwa maneno ya kimichezo!karibu uendelee kutukana
 
Kenny should go and while doing so he should also take his English **** (Carol, Downing, Henderson and Adam). He has wasted more than £60 million on rubbish English players with no talent whatsoever!! Yaani hata Wigan wanatupiga ndani ya Anfield??
 
Kenny should go and while doing so he should also take his English **** (Carol, Downing, Henderson and Adam). He has wasted more than £60 million on rubbish English players with no talent whatsoever!! Yaani hata Wigan wanatupiga ndani ya Anfield??

Si amewapa Carling cup jamani? Mnataka nini zaidi wakati mna uhakika wa Europa League (uwanja wenu wa nyumbani)
 
Si amewapa Carling cup jamani? Mnataka nini zaidi wakati mna uhakika wa Europa League (uwanja wenu wa nyumbani)

Mdogo Wake Gerrad ndio alitupa Carling Cup... Timua huyu King Kenny King of What? kama tunavyojuwa ma King huwa wanauliwa huyu aondolewe mbali tena hata kule juu asipewe nafasi kambania Commoli kuleta vifaa vya nguvu sabau ya wale English **** wake Andy Carroll World Class player dah hata tukichukua Mbunge kitambi mmoja bongo atafanya la maana kushinda yeye dogo Raheem Starling kafanya la maana Leo zaidi ya aliyofanya Andy Caroll toka aje.
 
Mdogo Wake Gerrad ndio alitupa Carling Cup... Timua huyu King Kenny King of What? kama tunavyojuwa ma King huwa wanauliwa huyu aondolewe mbali tena hata kule juu asipewe nafasi kambania Commoli kuleta vifaa vya nguvu sabau ya wale English **** wake Andy Carroll World Class player dah hata tukichukua Mbunge kitambi mmoja bongo atafanya la maana kushinda yeye dogo Raheem Starling kafanya la maana Leo zaidi ya aliyofanya Andy Caroll toka aje.

mrudisheni calolina kwao new castle mbadilishane kwa demba ba maana dogo atakusaidieni..
 
Huyu Kenny Daglish leo ndio kajifanya kuwakumbuka Raheem Sterling na Eccleston siku zote alikuwa wapi? anawaweka ili apate sababu ya kusema yeye ndio ameweka vibaji vidogo hana lolote mie nataka leo "WIGAN" washinde ili huyu Kenny Daglish na World Class Player wake Caroll waondoshwe upuuzi mtupu Kenny na uwozo wake alioununuwa utupiliwe mbali Hasa Downing na Caroll mnaweza kusema Downing anacheza ila mie naona anakokota tu mpira hajui anapoenda akishindwa ndio ana shoot hana lolote Handerson anapata tabu sababu wabovu wachezaji pale.

Naona sala yako imejibiwa vizuri.Poleni sana Liver....
 
Poleni wakuu rudisheni hilo goli muwapeleke New Castle where they belong ... .... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
We will never walk alone. But we have to do something!!!
 
Back
Top Bottom