Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

bado miaka mingapi wafikie ile rekodi ytetu ya bila kombe walitucheka sana n kutubeza duni ani hii hiii na bado sana
Wataifikia,wanaivunja na wataitengeneza ya kwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

7Hag siyo mnafiki
Ameongea ukweli wake
Ashagive up

Aluta continua
Vipigo viendelee hadi waseme🤣
 
"alipewa sub akadiss kumpa mkono Klopp kwa hasira eti katolewa when he was just loitering uwanjani kama headless chicken ooh dude nilimuona kabisa huyu ni mwana mpotevu "
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Yaaaaaani wewe haya. Naku zoom tu.

YNWA
 
Hizi sasa ni chuki kwa Le Captain [emoji23]
Hendo hakuwa mzuri sana ila pia hakuwa mbovu sana.
Kuna mechi alikuwa anaziotea sana.
WC pia nadhani imembeba anaweza kuonekana.

Hivi jomba Milner yeye yupo timu gani vile?
Nitammiss kwa ufundi wake wa kuchakata penati.
😂 😂 😂 😂 Yupo Brighton.

YNWA
 

Attachments

  • JamiiForums1263795265.png
    JamiiForums1263795265.png
    175.7 KB · Views: 6
Bobby kumbe una maneno hivi😂😆
Toka jana naona unavyomdis le super Captain Hendo 😁
😂 😂 😂 😂 Remembering em old days when Klopp upped the standards badala ya Yankees wampe sapoti wao wakawa bizy kuwapa wazee mikataba kama vile VVD, Milner, Henderson, Matip nk nk

Haya unayaona sasa ni poor planning by FSG, pale tu tulivyoshinda UCL na EPL basi ilitakiwa chap sana kikosi kila idara kiboreshwe lakini tazama walivyokua wananunua wachezaji utadhan Klopp ni miracle worker..

I wish one day Edwards na Julian Ward wafunguke nini haswa kiliwasukuma kumkacha Klopp na Yankees aisee hii ishu japo haisemwi lakini nayo imetugharimu maana saa sasa Klopp amekua very powerful hana wa kumfunga speed governor.

YNWA
 
Ila tuwe wakweli Liverpool kushiriki Europa haijakaa sawa kabisa.
Kabisa
Yaani tunadhalilika sana, sisi siyo wa kucheza ligi za losers.


[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Remembering em old days when Klopp upped the standards badala ya Yankees wampe sapoti wao wakawa bizy kuwapa wazee mikataba kama vile VVD, Milner, Henderson, Matip nk nk

Haya unayaona sasa ni poor planning by FSG, pale tu tulivyoshinda UCL na EPL basi ilitakiwa chap sana kikosi kila idara kiboreshwe lakini tazama walivyokua wananunua wachezaji utadhan Klopp ni miracle worker..

I wish one day Edwards na Julian Ward wafunguke nini haswa kiliwasukuma kumkacha Klopp na Yankees aisee hii ishu japo haisemwi lakini nayo imetugharimu maana saa sasa Klopp amekua very powerful hana wa kumfunga speed governor.

YNWA
Klopp mwenyewe si alikuwa anajiona baba miujiza.

Ukikaa ukiangalia channel ya LFC yanajisifia kwa kubana matumizi[emoji23]
Upuuzi mtupu

Ona sasahivi eti tunacheza Europa
Yaani hizi ni dharau dah!
Kutoka kucheza fainali,hadi kutupiwa matopeni Europa.

Hao akina Edward watakuwa waliona upuuzi kuendelea kukaa sehemu ambayo hawasikilizwi.
 
We are delighted by the news of Luis Diaz's father's safe return and we thank all those involved in securing his release .

.......
Kama ni habari ya kweli basi tunamshukuru Mungu
Glory to God [emoji119]
 
We are delighted by the news of Luis Diaz's father's safe return and we thank all those involved in securing his release .

.......
Kama ni habari ya kweli basi tunamshukuru Mungu
Glory to God [emoji119]
Wamteke wa Nunez, ili asicheze apunguze kutukera
 
Back
Top Bottom