Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii game, naikumbuka kama jana, time inakimbia sana, ilikuwa ni 2012.

Abou Diaby, alikimbiza sana kiungo chetu hii game, Arsenal walishinda 2-0.

AND, that was USHINDI wa mwisho kwa Arsenal at Anfield, hawajawahi ku-sniff a win tangu 2012, baada ya hiyo game.

20231222_021350.jpg
 
Hapo sawa mkuu, siunaona Kobbie Maino anavyo kichafua pale Man U? Anapewa game time saivi kaisha improve aisee.

Of course. Bajcetic ile injury imemrudisha nyuma sana na uzuri he is not english player hivyo angekiwasha ingekuwa ni muingereza ningepunguza matarajio kwake.

Atarejea January
 
Trent at the mido ni KDB mtupu

Nafikiri wengi humu wanataka kumuona TAA as MF lkn atalimiti namba za wengi sana pale kwenye mido, wakati hatuna quality defensively huko nyuma. Ila KLOPP walau anamtumia Gomez mambo yakiwa magumu as RB trent anaingia kati.

Kama tungepata quality DM Trent with inverted RB bado angekuwa balaa. Kumbuka our last 8 matches of the last season. Fabinho aliamka kidogo tu TAA akawaka.
 
Performance mbaya ya szobo,analaumiwa Trent

Ngumu kuelewa kwa nini TAA analauniwa.

Kwa mechi ya Westham jana TAA hakuwepo uliona Szobo was everywhere lile goli sio kwa bahati mbaya. Interception aliyofanya Quansah ilimkuta Szobo yupo juu kwa nini hakuwa na muda wa kurudi kusaidia majukumu ya TAA Endo, Gomez and Curtis walirahisisha mambo. Ila akicheza TAA mbovu kuzuia hivyo Szobo hulazimika kushuka chini sana kumsaidia TAA majukumu ya kuzuia.

Ila akipewa room juu afanye yake Szobo atakuwa among World class MF
 
Against Arsenal.

Alisson
Trent
Konate
VVD
Tsimikas

Endo
Dominik
Jones

Salah
Gakpo
Nunez

SET UP.
Alisson
Trent-Konate-VVD-Tsimikas
Dominik-Endo-Jones
Salah-Gakpo-Nunez.

I'd be tempted to start Nunez at LW, Gakpo at ST, (i'd like to see Nunez & Gakpo play these roles intechangeably).

Concern ni kuwa, Jones played 90 minutes against West Ham, so inaonesha kuwa Klopp bado hayupo sure kama, ataanza na Gravenberch au Jones at LCM.

But, Dom-Endo-Jones, ni very balanced MF with Macca still out.

Nakuwa worried na Konate nowadays. Kwa sababu anakosa utulivu wa akili katika kukaba hasa akiwa half ya opponents. Ilikuwa pengo kumkosa Matip mechi ya utd kwa kuwa ana uwezo wa ku dribble hivyo huwa anavunja some lines na kuuvusha mpira kwa dribble na passes.

But i feel kuna mtu atapasuka vibaya

Home advantage limits my fear.
 
Dominik ni BIG, BIG, BIG TALENT.

LFC fans, hawajui wana mchezaji special kiasi gani at their club, he'so so special.

But its not suprising, it took LFC fans a season, kuelewa ni kiasi gani Fabinho alivyokuwa special, ni suala la muda tu.

Gomez, ananifurahisha sana, yupo kwenye very good form, its high time apate his goal sasa.

Man, personally, naona Robertson atahitaji ku-earn his LB spot akirudi, Tsimikas yupo kwenye form nzuri sana pia.

Last 3-4 games Gomez Wowoh has been brilliant, what a performance as RB and LB. Na inampa Klopp option ya 11st eleven and sub too. Wish him injury free same to Elliot maana kuna wachezaji kama gundu, wakianza kuwa form injury hii hapa, inawatoa mchezoni hadi wajitafute. See Matip gave us Classic performance but [emoji17].

Sure Robbo kazi anayo. Tsimi namkubali uwezo wake offensively na quality crosses bad lack 1v1 humsumbua be he usually tries.

We need all them back aisee
Robbo
Macca
Jota
Thiago
Bajcetic

Maana Feb-early April kombe lipo hapo.
 
Against Arsenal.

Alisson
Trent
Konate
VVD
Tsimikas

Endo
Dominik
Jones

Salah
Gakpo
Nunez

SET UP.
Alisson
Trent-Konate-VVD-Tsimikas
Dominik-Endo-Jones
Salah-Gakpo-Nunez.

I'd be tempted to start Nunez at LW, Gakpo at ST, (i'd like to see Nunez & Gakpo play these roles intechangeably).

Concern ni kuwa, Jones played 90 minutes against West Ham, so inaonesha kuwa Klopp bado hayupo sure kama, ataanza na Gravenberch au Jones at LCM.

But, Dom-Endo-Jones, ni very balanced MF with Macca still out.
Front three hiyo ndio dream yangu…. Efficiency !!!
 
Fulham away in the 2nd leg ni very tricky.

Of course itategemea
1. Matokeo ya 1st leg
2. Squad health itakuwaje kwa wakati huo.
3. League position at that time.

Tukiwa na hawa wa sasa hivi na injury wamerudi wote, i think it wont bother to that extent.
 
Nakuwa worried na Konate nowadays. Kwa sababu anakosa utulivu wa akili katika kukaba hasa akiwa half ya opponents. Ilikuwa pengo kumkosa Matip mechi ya utd kwa kuwa ana uwezo wa ku dribble hivyo huwa anavunja some lines na kuuvusha mpira kwa dribble na passes.

But i feel kuna mtu atapasuka vibaya

Home advantage limits my fear.
Sio kwa asses

He is very strong and technical
Asses wana utoto wao
 
Hawa jamaa ni mashabiki wa LFC kweli?

Alikuwa anaifatilia LFC kweli msimu uliopita?

Mkuu tunasaidia hivyo hivyo. Kuna mtu anaipenda timu ile 1st eleven na subs zile baada ya hapo baaaaasi.

Mkuu so far academy imeanza kuleta matunda kwa kiasi chake sio level za Lamasia but atleast

Quansah
Bajcetic
Clark
McConnell
Bradley
Scanlon
Gordon (happy to see him back).

Atleast wakipata game time kwa LFC hata wasipofikia level hizo ila kuna hela nzuri kwa hawa vijana.
 
Jana Klopp started Nunez at LW, he's trying to find solutions.

Diaz is struggling a lot now.

Ngoja tuone, kama Klopp ataona inafaa kumuacha Diaz on the bench against Arsenal, and start with Nunez at LW again.

Klopp hana cha kujiuliza mara mbili, kwa LW Nunez ST Gakpo na RW Salah

Nunez kweli anakosa lkn kwenye kuyatafuta magoli kuanzia , runs, positioning, creating chances, assisting, walau he is better than current Diaz.

Diazi bado hajajipata alipoishia last season sijajua nini kinamsumbua, out current structure offensively? Sio Diaz tu Gakpo same wana struggle.
 
Hii game, naikumbuka kama jana, time inakimbia sana, ilikuwa ni 2012.

Abou Diaby, alikimbiza sana kiungo chetu hii game, Arsenal walishinda 2-0.

AND, that was USHINDI wa mwisho kwa Arsenal at Anfield, hawajawahi ku-sniff a win tangu 2012, baada ya hiyo game.

View attachment 2849390

Lukas Podolski and Santi Carzola,

Carzola [emoji91][emoji91] alijua kuficha mali mguuni.
 
Oh, so why huwa unam-belittle Nunez hapa ambaye Klopp anamjua personally kuliko wewe?

Inauma, mchezaji wako favorite akiwa subjected for criticisms?

Una-insinuate kuwa nina "chuki" na Trent, player ambae nimeanza kum-profile and kumfanyia data projection, since he was a kid, kabla hata hujamjua.

Ni sawa na baadae, nianze kuwakosoa kina Trey Nyoni, McConnell, Gordon etc, players ambao nipo tasked kuwafanyia data projections kila weekend na firms zinazowa-own. na uje kusema nina "chuki".

Trent ni vice-captain now, na hakuna mtu ambaye yupo against na yeye kucheza MF, na mimi nikiwa na tatizo na yeye kucheza MF itakuwa kichekesho because nimeanza kumfanyia data projection akiwa anacheza kama kiungo kwenye academy, kitu ambacho nipo against nacho, ni LFC kuiga set ups za Guardiola, hatuna DM, ambaye ataruhusu Trent awe free kwenye his DLP zone anapo invert, na hii ina-athiri our ball progression na speed ya ku-create chances. solution ni Trent acheze katikati COMPLETELY, let Gomez or other RB aendelee ku-hold width. narudia TENA, hatuna PROFILES za ku-master inverting drafts.

Sijui ambacho hakieleweki ni kipi?

Oh, and PLG will be recruiting me kuanzia February next year (2024), as a secondary Data Collector, and guess what, it happens to be Trent agency. and hii siyo mara ya kwanza nimefanya nao kazi, hence nikakwambia i know Trent, PERSONALLY.

And, kwenye kazi huwa nakuwa mnafiki, but hapa siwezi kuwa mnafiki, because profession inakuwa pembeni, i'm a LIVERPOOL FAN.
Huyu Nunez tumepigwa
Ni suala la muda tu
 
At LFC, player ambaye nilitakiwa nimchukie sana ni JORDAN BRIAN HENDERSON, because ile tendency ya kumkosoa na ku-question his footballing ability, iliniletea matatizo makubwa sana ya kiakili/kisaikolojia.

Nimeanza kumkosoa Henderson kabla hata sijajiunga na Jamii Forums, na naweza kusema, tabu niliyokuwa naipata kwenye other platforms kutokana na my stance on Henderson ndiyo illiyonifanya nijiunge na Jamii Forums.

Nilikuwa ni subject wa racial abuses/slurs kwenye zile platforms za whites/scousers, na baadae nilikuwa napata direct racial abuses, especially uwanjani/pubs, ishu ya ubaguzi isikie kwa mtu mwingine, hakuna kitu kibaya na kinachoumiza duniani kama ubaguzi, na inaumiza zaidi pale unapooma you cant do nothing about it (hence nilikuwa namtetea sana Keita humu, because nilikuwa naona anachopitia).

Sasa, hata humu Jamii Forum, ishu yangu ya Henderson ilinitelea shida kubwa sana kiakili, because nilikuwa subject wa petty abuses kila siku, sometimes mpaka abuses kwa wazazi zlikuwa involved, and for what? football? white person?

Lakini, God knows, i have never hated Henderson, na kama utaweza ku-dig deeper, utakutana na a good article (sold), ambayo i wrote about his journey kwenye football and how his move to Saudi should be respected.

so, chuki kwa Trent? huyu huyu Arnold? mtoto wetu Arnold? bado nacheka.

Back in the days, kulikuwa na jamaa anaitwa Janjaweed, huyu alikuwa hataki hata kumsikia Steven Gerrard, na ilikuwa ni agenda yake yenye valid points kabisa, sasa Jamii Forums ya siku hizi ingekuwaje? unakuwaje na agenda na SG? but zamani ilikuwa ni another day in the office, now una show some slight concerns tena kwa mchezaji unayemjua IN & OUT, mtu anakuja kukwambia una chuki, Janjaweed ulikuwa ukimwambia kwanini humtaki SG, anakupa VALID points, hawa LFC fans wa siku hizi JF hawana hata materials za kutetea hoja zako, you cant even challenge them, because huwezi kupata mjadala.

i rate NUNEZ, na nina materials za ku-protect my points about him.

I rate TRENT, but ikifika muda wa kumkosoa, nitamkosoa because i have materials ya kutosha ya kufanya hivyo na kuwa na mjadala wenye afya kabisa.

Ukiachana na jazba zake, ni Mnyakatari tu ndiye anaweza ku-come at Nunez with valid points, na siyo Nunez tu, ni EVERY single LFC player, but again ni OLD SCHOOL member wa JF, so anaelewa how to structure his arguments, though zinakuwa na jazba za hapa na pale.

Well, Ngwaba, siku hizi amepoa, but Ngwaba wa zamani, if he hates the player, he HATES the player, na anakuambia why na a lot of structured evidence, kama ni mtu wa emotions, unaweza kum-mute.

You see, watu wengi wame-slow down baada ya LFC kushinda PL, kipindi kile tulikuwa tunataka hili kombe kwa hali na mali, lilivyopatikana watu wakaamua ku-lay low, but negative ni kuwa JF kwenye thread ya LFC, imeanza kuzalisha fans wasiojua ku-reason, kutengeneza positive mijadala, and inakuwa dissapointing because unakuwa hata male fans wanaingia kwenye huu mtego, you're a man, you should be able to judge football & footballers without emotions and sentments.

I see, Captain Marvelous, a very good and wonderful human-being, i dont know this dude, but Mungu amemjaalia sana uwezo kwa ku-control mijadala, na kikubwa trolling mindsets za the "so called LFC fans", Captain, offers you everything kama shabiki wa LFC, knows the club in & out, and most impotantly, knows how to talk & interact na different sets of fans, LFC & non-LFC fans, may God continue to bless you brother, i'd like to meet you one day for a cup of coffee.


Then, suala la kuwa Alisson Becker yupo level moja na Kelleher, haikuni-suprise, haikunikata, but i thought, "this is not a football mind, needs to be ignored completely", and i wasnt suprised, because kuna siku humu, MALAFYALE, was shameless enough kuwaambia watu kuwa Henderson was a better captain than Steven Gerrard, ndiyo maana nikaanza kumuita STONE HEAD.

I just take LFC very seriously, na hakuna sehem nzuri ya ku-grow number ya LFC fans kama hapa JF, so its ok kwa rival ku-troll, but new set ya JF LFC fans kuwa na trolling-mindsets, uwezo mdogo wa ku-set up mijadala, haipendezi.

Football is ALL about OPINIONS, but you SHOULD be able to BACK your OPINIONS.
Pole sana Kwa ubaguzi Mkuu

Kelleher wangu😂
Wewe ignore tu ila Imani yangu ni kuwa Kelleher atakuwa kipa hatari sana akipewa airtime.
Kama nyie tu mnavyosema Nunez atakuwa mzuri sana tumpe muda.


Malafyale Liverpool halisi ughonile nkamu
Tuendelee kushikamana na timu 😂
Kumbe ulikuwa unamchukia Gerrard, heri sikuwepo.
 
Back
Top Bottom