Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wishing assistant manager Peter Krawietz a very happy birthday 🥳
 

Attachments

  • IMG_20231231_130935_533.jpg
    IMG_20231231_130935_533.jpg
    118.3 KB · Views: 3
Ukitaka ucheke mpaka ufe basi pitia jukwaa la Arsenal [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2858854
Ubingwa tuushindwe wenyewe tu. Arsenal Ana mechi kama 3 za kupigwa huko mbele. City hakosi hata mechi 2 za vipigo huko mbele ingawa kdb karudi. Na Hakuna ambaye wamechukua epl akiwa kafungwa mechi 5 kwa msimu.
Arsenal ashalamba nyasi mara 4 tayari
City mara 3
Liverpool mara 1 tena kimagumashi pale kwa Tottenham.
Tukaze kidogo tu.... Ingawa salah anapoondoka AFCON na Ile winger isipate mtu WA kuichangamsha tutapata shida.
LABDA atamuamini Elliot..... Au yule dogo doak
 
Ubingwa tuushindwe wenyewe tu. Arsenal Ana mechi kama 3 za kupigwa huko mbele. City hakosi hata mechi 2 za vipigo huko mbele ingawa kdb karudi. Na Hakuna ambaye wamechukua epl akiwa kafungwa mechi 5 kwa msimu.
Arsenal ashalamba nyasi mara 4 tayari
City mara 3
Liverpool mara 1 tena kimagumashi pale kwa Tottenham.
Tukaze kidogo tu.... Ingawa salah anapoondoka AFCON na Ile winger isipate mtu WA kuichangamsha tutapata shida.
LABDA atamuamini Elliot..... Au yule dogo doak
Doak bdo sana labda wabadilishane tu kwenye sub
 
Am okay with the status quo kaka... Actually with addition ya DM ili Macca na Domy wasifungwe pingu tena wasogee mbele kiasi ili kuongeza mashambulizi na magoli...
Thiago atakua anaingia dakika ya 70 au 80 huku tukiwa tumeshinda japo sina hakika kama kweli hata gemu 10 atacheza msimu huu EPL is aggressive haitaki soft boys inahitaji hard ones...

YNWA

Yes.!! Uwepo wa Thiago sio lazima atupe 70’ per game ila uwepo wake uwanja kuna quality kubwa sana. Huyu akiingia mnaongoza mbili au tatu utaenjoy mpira
 
[emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374]Klopp akicheza karata vyema dirisha hili kupata DM tuko vizuri au Klopp aedelee na mipango ile ile ya mpangilio wa sub sahihi kwa wakati sahihi... Msimu huu sub wametuweka pazuri sana kwa ma assist, na magoli....

Tutamkosa Salah na Endo kwa mechi kadhaa EPL, Carabao na FA lakin kwa kua bado waliopo wakitulia wanauwezo magoli yatakuja tu ni wakati sasa wa Nunez na Gakpo kuonyesha wapo capable kuridhi majukumu ya Salah kwa vitendo.

YNWA

Suala la kuomba tusiwe na majeruhi wa muda mrefu tu. Sub msimu huu zimetunufaisha kutokana na depth na quality sio kubwa but atleast inaonekana unlike last season.
 
Am okay with the status quo kaka... Actually with addition ya DM ili Macca na Domy wasifungwe pingu tena wasogee mbele kiasi ili kuongeza mashambulizi na magoli...
Thiago atakua anaingia dakika ya 70 au 80 huku tukiwa tumeshinda japo sina hakika kama kweli hata gemu 10 atacheza msimu huu EPL is aggressive haitaki soft boys inahitaji hard ones...

YNWA

Hapo tu kumwaacha Dommy na Macca huru ndio napawazia. Kuwabana defensively ni kuwapunguza ubora wao. Give them proper DM na waachwe huru tutakuwa hatari. So far Endo na Jones wamesaidia defence vizuri bahati mbaya Endo anaondoka kwenda mashindano ya Asian Cup wakati kiwango kimekubali. Macca atacheza as 6 bado, labda tusajili DM (by surprise)
 
Wenyewe wakikuskia unamsema vibaya main striker wao[emoji23][emoji23]. Ila to be honest Jesus was never any good and that's why city binned him off, Arsenal fans just think every signing they make is a world beater, same as Zinchenko, white, viera etc etc

Kwa uliowataja, Viera ndio wasijipe matumia ni bora.

Hao wanahitaji kuzungukwa na World Class players utaona ubora wao ila sio wao wawe WC bora.
 
ili unielewe kwa urahi ngoja nikuelezee kwa mifano.

Miaka ya nyuma tuliwahi kutumia hela nyingi sana katika usahili ambapo tuliwasajili kina Stewart Downing, Charlie Adam tukaja kina Andy Carroll, Jordan Henderson tukawa top 3 katika matumizi kama hao Arenal sasahivi lakini still tulikuwa ni miongoni mwa usajili wa kimasikini unajua kwanini?

- Siku zote Timu zenye Bajeti ndogo inaamini katika kusajili wachezaji wengi average kuliko wachache wenye uwezo ndiyomana tulisajili wengi wa £20 tukafika £150M huku mwenye bajeti kubwa anasajiki wawili tu kwa £150.

Ndiyo Arsenal ya sasa Bajeti yake ni ya kuungaunga ndiyomana Tokea Arteta aje utaona ametumia hela nyingi sana kumbe amesajili Rundo la average player wa £30M na wachache wa bei kubwa za kulipa kwa installation.

Bajeti yake nimesema ni ndogo kwasasababu hawezi kusajili Wachezaji wa £80M au £100M+ na kuwalipa £300K per week ili kujenga kikosi Imara badala yake anaokota average players ili apate wengi kwa wakati mmoja.

Hivyo Arsenal bajeti yake ni kama sisi tu sema Klopp kawa mjanja kidogo kwenye kutafuta wachezaji.

Arteta iwapo atapewa Bajeti kama Chelsea au Man City au Man Unite ya kuweza kuvuta mchezaji wa £90M muda wowote anaojisikia basi atakuwa na Bonge la Timu lisilogusika.

Nadhani umenielewa.

Una point. Lakini kwa ishu ya pesa kwa Arsenal hapana. Rice aliyegombewa hadi na City Arsenal wametoa £105m wakamchukua. Kina Jesus walitoa 57m, kina ben white 50m, Haverts 50m.

Kama hiyo haitoshi Arsenal yupo top three ya timu zenye wage bills kubwa

United.
City.
Arsenal.
Chelsea.
Liverpool.

Ishu ya pesa kwa Arsenal sio kweli ni sababu kuu. Binafsi sio kama Arteta ana cha kuwapa Arsenal, miaka mitano lkn hajaonesha dominance kwa ukubwa aliofanya Pep na Klopp. Ni kama project imekataa after five years.

Arsenal wanakosa right players kufit kwa Arteta. Kuna shida kwenye Scouting na nafikiri bado ile uwengernism unawasumbua. Kikosi hiki cha Arsenal apewe Klopp atakufanyia maajabu. Atleast Arteta should had taken EPL last season.

Muda upo nafasi ipo tusubiri tuone things might change
 
Msimu huu tunamhitaji kila mtu kwasasabau tumeshaona mwanga.

Ameumia Robbo, ameumia Tsimikas, sasa nafasi yao anacheza Gomez kwa ufanisi wa hali ya juu je kuna aliyetegemea hili? Nadhani kabla ya msimu tungeweza kusema "We don't nee Gomez" but sasahivi ni tofauti tunamuhitaji kuliko wakati wowote ule.

Hivyo kwasasa kila mchezaji amathamani mpaka pale tutakapobeba kombe.

Hiki ndicho namaanisha na mie kwa nini tunamuhitaji Thiago.

Elliot kwa sasa anacheza vizuri mno na amekuwa involved na magoli msimu huu, who expected this? Same na Gomez as LB and RB.

We need everyone too many games squad management is important (rotation).
 
Fabio Carvalho amerejea Liverpool akitokea RB Leipzig kwa mkopo. Mshambuliaji huyo anarejea tena Liverpool baada ya kutumia kipindi cha kwanza cha 2023-24 akiwa kwenye ligi ya Bundesliga na kucheza mechi 15 akiwa na Die Roten Bullen, ambao alikuwa amejiunga nao kwa mkataba wa msimu mzima.
 
Ubingwa tuushindwe wenyewe tu. Arsenal Ana mechi kama 3 za kupigwa huko mbele. City hakosi hata mechi 2 za vipigo huko mbele ingawa kdb karudi. Na Hakuna ambaye wamechukua epl akiwa kafungwa mechi 5 kwa msimu.
Arsenal ashalamba nyasi mara 4 tayari
City mara 3
Liverpool mara 1 tena kimagumashi pale kwa Tottenham.
Tukaze kidogo tu.... Ingawa salah anapoondoka AFCON na Ile winger isipate mtu WA kuichangamsha tutapata shida.
LABDA atamuamini Elliot..... Au yule dogo doak

Elliot Szobo and Jota can do better there RW.

Ni suala Klopp achague kuachana na Inverted RB apige flat 4-3-3 ili kuongeza strength upande huo wa RHS.
 
Back
Top Bottom