Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

3r goals gapko
1704145391756.gif
 
Aisee.... Liverpool kwenye hili Dirisha Dogo kama kweli tunautaka Ubingwa tutafute striker mzuri, huyu Nunez siyo kabisa nafasi Kumi anapata Moja, hivi hivi hatuwez fika.
Nunez ni average player [emoji23][emoji23] hamna striker hapo anavitu vya kujifunza kutoka kwa Jota. Kunagoli Gakpo kafunga angekuwa ni yeye angebutua tu [emoji23][emoji23] hana skills kabisa yeye anacho waza ni kufumania nyavu tu
 
Jones has been Fabolous tuombe Mungu wasimuumize Tena maana injini yake ni ya Diesel Inachelewa kuchanganya

Diogo Jota that's someones you can count on (mchezaji ambaye ukimuona benchi wakati mambo ni mabovu kidogo unapata tumaini)he is giving Dirk kuyt vibes

Diaz had ana amazing performance Leo

Ndugu yetu Nunez good runs shida Iko palepale beef lake na "Target" halijawahi kuisha


Salah to be honest tutuammiss Egyptian King.....mm Dua zangu Egypt atupwe nje kwenye makund[emoji855]
 
Nunez ni average player [emoji23][emoji23] hamna striker hapo anavitu vya kujifunza kutoka kwa Jota. Kunagoli Gakpo kafunga angekuwa ni yeye angebutua tu [emoji23][emoji23] hana skills kabisa yeye anacho waza ni kufumania nyavu tu
Yule ni mzigo
 
Mfano ni Rice, hao Jesus na Kai ni bei za kawaida Sokoni kwa sasa kwa average Players. Hapa ndiyo umekuja kucomfirm kuwa Arsenal hawapo vizuri kwenye usajili ndiyomana wanaokota average Players kama hao uliowataja.

Kusajili mchezaji mmoja kwa bei kubwa ni kawaida kwani hata sisi wakati huo tukiwa mafukara tulimsajili Andy Carroll kwa £35M iliyokuwa rekodi kwa bei za wakati huo.

Hivyo Arsenal kumsajili Rice kwa installation ni kawaida sana.

Arteta anawekewa hela mezani lakini asajili wachezaji wa kwa mafungu ndiyomana huishia kukimbilia kwa hao kina Jesus, anapokanyaga Manchester, Chelsea na Man City yeye anaishia kukimbia, hujaona tatizo? Akipewa £200M atatakiwa asajili wachezaji 7, lakini Wenzake wanawekewa £150M kwa wachezaji 2 tu, hapo nani mwenye Bajeti ya uhakika?

Wampe hela Arteta isiyo na masharti ya kusajili World Class Players au hata average ya kina Diego Jota au Luis Diaz au Szobo uone kama atashikika.

Lakini kwa kumpa Hela za masharti za kusajili rejects kama kina Jesus na Kai basi wasitarajie maajabu.

Bado naitetea Arsenal kwa kumwaga pesa. Ishu ni Arteta mwenyewe. Yaani iwe vipi Arsenal iwe ya tatu kutumia pesa kwenye usajili toka aje, na ya tatu kwenye wages bill bado useme bajeti ndogo?? BIG NO to me. Ukimuondoa Haverts the rest were doing good walipotoka.

Ishu sio pesa ishu ni right players watakaofit kwenye falsafa yake. Arteta sio mbaya kwa ubaya anaopewa na wengi na sio mkubwa kwa ukubwa anaopewa na wengi.

See Emery bajeti ndogo ila collection ya players na mbinu zake zinaifanya Villa kuwa hatari. Mcheki Eddie Howe anavyotoa changamoto nzuri na Newcastle yake, De zergbi na B&A yake. Arteta anafeli kwenye recruitment. Hata ile Liverpool pesa ilitoka ila tulifeli kwenye recruitment ya players na hatukuwa na kocha mkubwa. Sometimes budget bila mtumia budget vizuri utafelisha sherehe.

Embu ona Benitez na Mou walipoenda Madrid kikosi bajet kubwa ila hawakufanya aliyofanya Zidane.

Kwangu Arteta anajifelisha mwenyewe tu, kwa kuwa na bad recruitment na kushindwa kuwatumia players wake. Kikosi alichokishindwa Gerrard cha Villa, Emery alikitoa huko kugombania nafasi ya kushuka daraja kwa wachezaji wale wale akaipandisha mpka top ten.

Steve Bruce aliiongeza Newcastle mpka huko tano wa mwisho, Howe akaichukua timu akamaliza top ten. Last season top four.

Arteta sio mkubwa sio mdogo anahitaji timu zisizo na pressure ya mafanikio ya mataji makubwa (EPL & CL).
 
Mkuu Thiago kipaji chake MF might be the best we have kikosini lakini ukitazama uchezaji wetu kwa sasa tumesha evolve new boys to new playing style mzee hakuna kupoza mpira like Thiago style ni one two touches mbele kwa mbele....
Unless Klopp alter the way we are playing now sioni how he will fit with this speedsters boys...
The more he hold the ball the more pressure he creates for us and the more tackles he will get na mwisho unajua nini kitatokea...
If he can raise his game iwe less take ons nk nk man he is very much welcome lakin kama ni yule yule aisee hapana apoe kwanza tuweke gap ya kutosha kileleni.

YNWA

Huwezi kucheza intensity game throught the season. We have many games

FA
Carabao
UEL
Are there, we can use him there.
 
Endo gone so tutabaki na Domy, Jones na Macca probably double pivot DM... FSG wasipoingia sokoni naona kipara akinyanyua kwapa tena.. We have been here before Jones aint winning us the EPL, to win the EPL elite DM is a must maana he provides solid cover kwa defence na extra cover kwa Trent when he goes higher up the pitch we all know Fabinho when on song provided that with so much success...
Mzunguko wa pili utakua survival of the fittest elimination of th weakest hivyo there is no margin for error if we are serious thinking of winning the EPL..

So no in January Salah, No Endo, No Robertson well that tooo much quality we are losing man, Klopp has to be smart asiwachekee ma Yankees tumeshaona Kipara kikosi kimepwaya hivyo ni wakati wa kumkimbiza haswa wasipate kumpumzika..
Umeona how slight off the pass can change games tazama Arsena losing twice hiv hivi hii ndio EPL bhana haina huruma

YNWA

Wasi wasi wangu, kumpata huo World class DM january ni ngumu sana. Yule Palhinha is a good modern DM ila ataenda bayern im guessing. Huyu ingekuwa big deal sana for 3-4 good seasons he is 28 by now, hana muda wa kujifunza kuhusu EPL. Huku tukimpika Bajcetic, he has potential as our future DM.

Fabio Carvalho karudishwa ila atatolewa kwa mkopo and S’ton have shown some interest. Owen Beck amerudishwa kutoka Dundee alipokuwa kwa mkopo. He is a Left footer karejeshwa kusaidiana na Gomez (finger crossed Gomez to stay fit untill the end of the season). Tayari huoni possibility ya kusajili defender. Nami nitakuwa sawa na Klopp otherwise aumie Gomez (God forbid). Kikubwa ni kupata DM wa maana a monster from latinAmerica kama ulaya basi Ureno au Ufaransa na Italy hata Uholanzi sio mbaya.
 
Back
Top Bottom