Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
ile mechi aliyetuua ni kipa wa BlancosNi uzembe wao mastrika
Wapo pale ili wafunge na hawakufunga.
Mbona mwenzao benzema akatuweka goli
Mo Salah,mane wote wakatalii uwanjani tukatoka na sifuri.
Akina Mane na Salah walifanya kila kitu na mechi tuliicontrol vya kutosha
Basi tu bahati alikosekana