Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

View attachment 2867035
Hawa wote [emoji115] [emoji115] [emoji115] kwa sasa hatunao kikosini...

Majeruhi hawa hapa
Matip
Domy
Thiago
Tsimikas
Trent
Robertson

Mashindano ya kimataifa
Salah
Endo.

January mechi ni nyingi sana tunahitaji bahati iwe upande wetu kuvuka salama bila kuongeza majeruhi wapya.

YNWA

If you have notice, January to late March mechi ni nyingi especially ukiwa unashiriki mashindano yote. Ndio kipindi LFC tunauguza sana na ndio kipindi City wanawatoa wachezajibwao hospitalini. Sijajua ni Coincidence au vipi.

Wish we could have these Fella apart form Salah and Endo. Hiki ndio kipindi utaona umuhimu wa yeyote unayemjua yupo LFC na umemshuhudia akiisaidia timu. Hiki ndio kipindi cha Bajcetic kuonekana kama angekuwa fit
 
Wewe hawa ma HB mbona wakooo tuuuuu..... Leo natamani acheze RB ku kava kwa Anorld.

YNWA

Bradley is there. Kuna comment nimeona kwenye LFC IG dah.! [emoji851]

Mwamba anakuambia line up ya sasa itasoma Gomez Konate Vvd Gomez

Klopp ana option hizi;
Bradley RB & Gomez LB
Gomez RB & Chambers/Scanlon/Beck LB

Na leo Konate apumzishwe aisee last match alijitoa kwa kiwango kikubwa mno. I will go with Vvd and Quansah (Vvd 2.0) as CB’s. Sasa hivi tunabembeleza bembeleza, kama msimu wa 2020/2021 tulibaki Gomez as Senior CB, tukawa tunamdekeza walau asiumie baada ya Vvd na Matip kuumia. Kweli kisichoriziki hakiliki hakuchukua round akawafuata wenzie
 
Angefilisiwa kama yule mchezaji wa Arsenal Emanuel Eboue na ukizingatia Mane shule kichwani hamna.
Hivi kaka yangu Mane shule hajasomaga?
Ila busara zake zinatosha..jamaa mtaratibu sana.


Wazungu kwenye mali siyo watu kabisaa
Hawaangalii mtu usoni,anakunyonga hivihivi unaona.
 
Kwa kweli nenda tu maana kaanza kuka sawa majeruhi haya hapa yaaan ni shindaaa tupu....

YNWA

Moja ya players wetu wenye form msimu huu mpka sasa. Hata defending alianza ku improve vizuri.

Uzuri wa TAA hana injuries za muda mrefu, hakai mwezi mzima, lkn ndio tutakosa huduma yake murua.
 
Leo kati pale Jk afumbe macho awaweke wakina Nyoni wale watege shule Leo hakuna namna

Injury is just injury mkuu. Hata huko kwenye tizi anaweza kuumia.

Aisee Gomez na Konate wapumzishwe.

Kelleher
Bradley
Quansah
Clark
Chambers
Jones
Gakpo
Jota
Nunez
Vvd
Macca

Huenda tukatoka hivi leo
 
Kwa kweli mimi mpira sijui ila huyu mtoto juzi nimemuangalia alikuwa ananifurahisha.

Mzuri.

Colwill wa Chelsea Last season alicheza Brighton kwa mkopo na kwa mafanikio makubwa sana kiasi cha kumshawishi Klopp kuhitaji huduma yake. Tumeenda London kubisha hodi tukaambiwa £80m, Klopp hakutaka hata maongezi mbio hakurudi. Tumetafuta beki wee bei zimechangamka na wengine hawajafikia level za atakazo Klopp. Huku na huku Jarell Quansah huyu hapa from Academy Klopp akaamua kumtumia hyo.

Imagine how many millions we have saved for not sign Colwill? Wote waingereza wote 20’s wote CB’s.

YNWA hii
 
Aisee mpira sio wa wote na inategemea na fate muda mwingine.

Kuna mchezaji alikipiga Spurs, QPR, Brighton, Fulham, Westham enzi hizo. Kwa walioingalia Fulham ya 2008-2011 hivi watamkumbuka jamaa, na Fulham ya Clint Demspey, Philip Sendaros, Muphy, Hangeland,Mousa Dembele, timu ya nguvu hii ukikutana nayo Craven Cortage unajiuliza mara mbili mbili.

Sasa Zamora na kiwango kile alishangaza watu kwa kusema hapendi kucheza mpira. Unajiuliza commitment ya mazoezi anaipata wapi?

Sasa tuje kwenye story moja hivi. Kuna jamaa anaitwa Jerome Sinclair. Huyu jamaa alikulia academy ya LFC aliichezea LFC not to senior level, but cups game na europe games japo not as a starter those days. Speaking of 2014 huko. He was playing as CF. Katolewa kwa mkopo weee akaamua kustaafu.

Sasa hivi ana Fried Chicken Shop huko Uingereza. Ukisikia “KAMA HAIPO NI HAIPO” ndio hivi visa viwili.

Bobby Zamora hakupenda kucheza mpira ila alipata kuucheza mpira. Jerome Sinclair aliupenda mpira lkn mpira haukumpenda.

Zamora kwa sasa ni 42’
Jerome ni 27’
 
Aisee mpira sio wa wote na inategemea na fate muda mwingine.

Kuna mchezaji alikipiga Spurs, QPR, Brighton, Fulham, Westham enzi hizo. Kwa walioingalia Fulham ya 2008-2011 hivi watamkumbuka jamaa, na Fulham ya Clint Demspey, Philip Sendaros, Muphy, Hangeland,Mousa Dembele, timu ya nguvu hii ukikutana nayo Craven Cortage unajiuliza mara mbili mbili.

Sasa Zamora na kiwango kile alishangaza watu kwa kusema hapendi kucheza mpira. Unajiuliza commitment ya mazoezi anaipata wapi?

Sasa tuje kwenye story moja hivi. Kuna jamaa anaitwa Jerome Sinclair. Huyu jamaa alikulia academy ya LFC aliichezea LFC not to senior level, but cups game na europe games japo not as a starter those days. Speaking of 2014 huko. He was playing as CF. Katolewa kwa mkopo weee akaamua kustaafu.

Sasa hivi ana Fried Chicken Shop huko Uingereza. Ukisikia “KAMA HAIPO NI HAIPO” ndio hivi visa viwili.

Bobby Zamora hakupenda kucheza mpira ila alipata kuucheza mpira. Jerome Sinclair aliupenda mpira lkn mpira haukumpenda.

Zamora kwa sasa ni 42’
Jerome ni 27’
usimsahau Benoit Assoue Ekotto wa Spurs yule Mcameroon alikuwa akirudia kusema kuwa katika vitu hakuwa akivipenda Ni mpira wa miguu, Yaani alijishangaa kwann alikuwa mcheza soka na muda wa kuwa nyumbani anasema Hana mudq wa kucheck mpira kwenye tv yeye ni basketball na vingine
 
Mzuri.

Colwill wa Chelsea Last season alicheza Brighton kwa mkopo na kwa mafanikio makubwa sana kiasi cha kumshawishi Klopp kuhitaji huduma yake. Tumeenda London kubisha hodi tukaambiwa £80m, Klopp hakutaka hata maongezi mbio hakurudi. Tumetafuta beki wee bei zimechangamka na wengine hawajafikia level za atakazo Klopp. Huku na huku Jarell Quansah huyu hapa from Academy Klopp akaamua kumtumia hyo.

Imagine how many millions we have saved for not sign Colwill? Wote waingereza wote 20’s wote CB’s.

YNWA hii
Dogo mitano tena kwake
Anajua
 
Back
Top Bottom